pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Watu wa dodoma mnalinganisha dar na dodoma kwa vumbi lile haiwezi kufanana na dar hata siku moja sio dodoma tu east Africa hao viongozi wako wakimaliza vikao tu basi wanarudi dar hawana namna tu ila serikali kuhamishwa dodoma hawakukubaliana nacho ondoeni lile vumbi kwanza hujui mjini wapi wala porini wapi.