acha wivu vumbi ni asili ya mwanadamu wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi njoo na hoja zenye nguvu kutetea hojaWatu wa dodoma mnalinganisha dar na dodoma kwa vumbi lile haiwezi kufanana na dar hata siku moja sio dodoma tu east Africa hao viongozi wako wakimaliza vikao tu basi wanarudi dar hawana namna tu ila serikali kuhamishwa dodoma hawakukubaliana nacho ondoeni lile vumbi kwanza hujui mjini wapi wala porini wapi.
Huko kuna vijukuu vya interchanges lakint Dom ita kuwa ni tofaugi zitakuwa ni za heshima mkuu.Kuipiku dar kwa kigwzo kipi labda?
Mkuu jiji halijengwi na kukua na serikali bali biashara, ajira na mzunguko wa fedha, je Dodoma itaiweza Dar kwa viegezo hivyo?Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Wewe ni mgogo? MatonyaHuko kuna vijukuu vya interchanges lakint Dom ita kuwa ni tofaugi zitakuwa ni za heshima mkuu.
Huko kuna nusu barabara kibao huku ni full barabara
We utakuwa mzigua wa Dihangala au Mngoni wa Lituhi au Mgogo wa Msunjilile au mmakonde wa Likulombe juu au Sukumagang wa Kolomije au Mchaga wa Kishumundu.Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...we utakuwa
Acha kuchekesha basi?Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Barabara ya kawaida kabisa ila kwadodoma mtaona nikitu cha ajabuMwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.
Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.
Kwa hiyo vile Dar ilionekana 2016 ndo Dodoma inaonekana 2022 hii? Acha utani mkuu pengine hujui miaka mitano inafananaje!Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Kina Job wote watakesha kupiga ma self hapo!!!Barabara ya kawaida kabisa ila kwadodoma mtaona nikitu cha ajabu
Kuipita Dar kwa White Elephant Projects auSasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Iipite mara ngapi mkuu,huko Dar ni madaraja tuu ndio wanalingia.Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Barabara,town planning na mambo mengine ya ustaarabuKuipiku dar kwa kigwzo kipi labda?
RC wa Dom kawachana Sana Tanrods ,wawe wanajenga barabara za world class.ya Ubungo version 1 ilikua 'mithili ya ivyo'
Kama projects gani hizo?
Bakieni huko huko na Jiji lenu la hovyo,linanuka kila sehemu,mumerundikana kama mang'ombe zizini,kila sehemu ni uswazi,mafoleni ya kipuuzi kila sehemu yaani kiufupi kuishi Dar ni mateso..Watu wa dodoma mnalinganisha dar na dodoma kwa vumbi lile haiwezi kufanana na dar hata siku moja sio dodoma tu east Africa hao viongozi wako wakimaliza vikao tu basi wanarudi dar hawana namna tu ila serikali kuhamishwa dodoma hawakukubaliana nacho ondoeni lile vumbi kwanza hujui mjini wapi wala porini wapi.
Huu ujinga kamdanganye Mkeo.Hiyo Dar miaka nenda Rudi imekuwa inajengwa na Serikalini ndio investors wakamiminika kwa sababu ya miundombinu favourable..Mkuu jiji halijengwi na kukua na serikali bali biashara, ajira na mzunguko wa fedha, je Dodoma itaiweza Dar kwa viegezo hivyo?