Kwa hiyo hii ndiyo ring road??Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.
Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.
Kwa sasa Dom,inashindana na Ilala(Dar CC) na Kinondoni tuu na sio takataka zingine.Acha kuchekesha basi?
Dar ipi?
Kawe- goba au?
Hata mwanza kuifikia ni bado saana
Acha kufananisha Dar na vitu vya kijingaSasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Weeeh, ile ya mwanzo ilikua tamu bhana. Ilikua interchange siyo flyover kama ilivyo sasa.Ramani ya ubungo kilicho badilika ni kitu kimoja tu kidogo na hakija athiri ufanisi na malengo ya mradi,
Nacho ni katika original plan njia ya mabasi ta mwendo kasi ilikuwa inapita chini groundlevel, halafu wale wanao kata kona (mfano atokaye kimara kwenda buguruni, au wa buguruni aende manzese) ambao wanapita chini sasa walipaswa wapite katikati, yani kati wanakopita watu wa kutoka mwenge kwenda buguruni, na wa mwenge kwenda buguruni walipaswa wawe ndio wanapita juu usawa wa ipitapo mwendo kasi sasa
Ni rahisi kuona kwa nini mchoro ukabadilishwa, nadhani kuwa ile flow ya magari ya chini ingebaki kupita kati ingekuwa gharama kubwa zaidi na manguzo mengi zaidi. Nafikiri ni suala la kupitia gharama za mradi upya wakabaini kuwa wanaweza kusave gharama bila kuathiri ufanisi wa flyover yenyewe
Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar
Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar
Mara zote CGI uwa zinavutia kuliko uhalisiaMwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.
Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.
Ngoja wakusikie Teargas na MK254 wakupopoe mawe😅Tuacheni masihara, Dar ni level nyingine.
Kwa ukanda wa afrika mashariki na kati bado sijaona jiji la kuikaribia Dar.
JPM, you were a rare gem! Rest well Sir!Mwonekano wa barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma yenye urefu wa kilometa 112.3 ambayo Rais
Samia Suluhu aliweka jiwe la msingi la ujenzi akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, jana Jumatano Februari 9, 2022.
Katika ramani hiyo pia kuna eneo ambalo litahusisha usafiri wa mabasi yaendayo kasi miaka ya baadaye mara baada ya ujenzi wa barabara hiyo kukamilika.
Mapato ya dodoma yanatoka wapi!Kwa sasa Dom,inashindana na Ilala(Dar CC) na Kinondoni tuu na sio takataka zingine.
Unlesa una matatizo makubwa Sana,kama bado kuifikia mdomoni mwako.sawa ila kwenye uhalisia mambo yako hivi [emoji116]
View attachment 2115196
Kwa hiyo hadi leo hujui kwamba Dodoma kuna viwanda? Mojawapo ni kiwanda cha kusafisha dhahabu 👇Mapato ya dodoma yanatoka wapi!
Kuuza kivanja?
Dodoma kuna manufacturing industry gani?!
Dodoma hata kwa mwanza baado saana
Wagogo wenyewe tu wanakukimbia dodoma,wanakuja kuomba dar,Watu wa dodoma mnalinganisha dar na dodoma kwa vumbi lile haiwezi kufanana na dar hata siku moja sio dodoma tu east Africa hao viongozi wako wakimaliza vikao tu basi wanarudi dar hawana namna tu ila serikali kuhamishwa dodoma hawakukubaliana nacho ondoeni lile vumbi kwanza hujui mjini wapi wala porini wapi.
Wanajitoa ufahamu kama vile hawauoni uwekezaji mkubwa dar 🤣Kuipiku dar kwa kigwzo kipi labda?
Unaota iiyaaaaa..Sasa tukisema baada ya Miaka mitano Dodoma itaipita Dar; kuna watu bado wanabisha humu JF......Kwa uwekezaji huu (Mabarabara, Majengo ya serikali); Dodoma lazima itaipiku Dar...
Njoo Dom huku kumeanza kuwa kitovu cha biashara mkuu.Mkuu jiji halijengwi na kukua na serikali bali biashara, ajira na mzunguko wa fedha, je Dodoma itaiweza Dar kwa viegezo hivyo?