Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Ni kweli mkuu kwenye maisha huwa kuna SECOND CHANCE.
 
Hiyo ni kweli kabisa mwangalie hata king kiba[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah wauza unga wanazidi kumaliza vijana.Chid amekua kama Amba rose!apelekwe rehab jamani.
 
Safi sana mkuu, ndiyo maneno ya utu uzima. Sio kuonekana we mjanja wakati mwenzako ana shida.
 
We nae fala kweli. wakat wa kampeni alikuwa tayar na hali hiyo. laana gani sasa? kwanza LEMA kasema ni heshima kubwa kwa Mungu kumtukana FISADI.
 
We are the authors of our own destiny and King Kong wrote a lot
 
Simlaumu Chid, nailaumu Nchi yetu kushindwa kuzuia madawa haya mipakani kwetu.

Baadhi ya watu wanaofanya biashara hiyo pia wanatuharibia nguvu kazi ya taifa
 
Unga ni noma wengine wanasema eti ukila vizuri haukudhuru, mara ooh Kuna first class sijui. Jiulize je Maradona, Whitney Houston, Brenda Fassie walikuwa wanakula dagaa na tembele?
 
Mola anusuru kizazi chetu! Akina Ray C wanaweza kumsaidia Mwenzao kama walivyosaidiwa wao. Tujaribu kuvaa Ubinadamu fanya Chid ni sehemu ya Familia yako
 
Kama sikosei alimpigia kampeni Mr Magu.Akale alikopeleka Mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…