wataalam wa masuala ya afya wanasema ngono inampa mtu raha kias cha DOPE 80-120 UNITS sasa madawa yanampa dope kias cha unit 1200 plus plus so ndo mana kuacha madawa ni shida mana ni matam na yanaburudisha nerves mara kumi zaid ya papuchi..kama umenote mateja wengi si watu wa madem sana
Eti wataalamu wa Masuala ya Afya!!! Sema Sales Officers wa Ngada wanasema .....! We unajua Raha na ladha halisi ya ****? We unadhani Madawa ya kulevya yangesababisha Adam Atende dhambi? Mwenyezimungu ni Fundi kweli kweli aliweka jambo mtu kama Bakhresa na Hayati Matonya wanafikia Climac na ku enjoy sawa.