Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

Una shida sehemu weweπŸ€”
 
unatakiwa u deny kuambiwa wewe mzuri. wenzako tulizaliwa na sura nzuri sana tukawa tunachukia kua hivyo. nashukuru kwa sasa sura ilishabadilika.
 
Another Man Down 😀
 
Weka picha mkuu itapendeza sana , ukiweka mada kukisifia au kukikosoa kitu na hujaweka picha bado hatuwezi kuamini kama unachosema ni kweli tutaona unatupanga tu
 
ila jf wanaume wanajisifia uzuri wao kuliko hata wanawake,,,oyaaaa nyie tumehama sasa hautaki mahandisamu ni maokotoooo
Umeandika nilichotaka kuandika. Siku hizi nyuzi za wana kujisifia urembo humu JF zimekuwa nyingi. Zamani hata sisi wakurungwa huwezi kukuta mwanaume anajisifia au huwezi kumwambia mwanaume mwenzako kwa kumsifia uzuri au eti umemmiss.
Siku hizi mambo ya vijana yamekuwa ya kulegealegea tu
 
yani sijui wamevurugwa nini,,au ndo style mpya ya kutongoza vitoto vya 2000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…