Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

Mtoa mada kasema mangungu ajiudhuru au kujiudhuru kunahitaji mkutano mkuu? Sababu za kujiudhuru ni timu kufanya vibaya chini ya uongozi wake.
 
Mimi ni shabiki wa Simba.

Tatizo la Simba ni Mo tu!
 
Nitamshangaa sana kama atakubali kung'oka kirahisi tu, huku akitambua fika kelele za chura haziwezi kumzuia ng'ombe kunywa maji.
Mimi huwa najiuliza, kama Mo alitoka kwenye uongozi wa Simba, siku aliyokuja rais wa CAF, Mo alikuwepo pale kama nani?
Huyu Mhindi ni mjanja janja tu!
 
Tafadhali aliye Jirani nae amwambie kuwa aachie Ngazi Simba SC kwani GENTAMYCINE huwa Sibahatishi kwa Taarifa.
Ndyo shida ilipo hapo tatzo wajukuu watakula kwa nan na wpo wote kwa babu uwakka nasema stoki hii ndyo nafas yangu weee niende wap nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…