Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Status
Not open for further replies.
Wakenya sio Watanzania wa kusikiza taarifa za vijiweni. Our journalists are professionals. Ndio maana tulipowaambia rais wenu amekufa, wanahabari wenu walikuwa wakisema yuko salama na wa afya - mkaamini wanahabari wenu. Hivi kati ya taarifa za wanahabari wa Kenya na Tanzania na wagani walioprove kuwa wa vijiweni?
Aliyekuambia tuliwaamini wana habari wetu ni
nani,we didn't, we knew something was wrong.

Anyway mngekuwa smart msingekubali the so called chanjo ya C-19?Subirini kitakachotokea within a span of 3yrs,mtapukutika kama Quelea Quelea waliopuliziwa dawa.
 
Hivi unakuwa raisi kwa miongo kadhaa nashindwaje kuanzisha hospitali yenye hadhi nchini kwako?. Unless kama sio kweli kwamba kaenda Kenya.
 
Kuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa

Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli

Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi

Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?

Mzee yupo wapi mzee mseveni?
View attachment 1832540View attachment 1832542
Bavicha mlichobakiza sasa ni kupambana na Diamond na kuombea,kusherehekea vifo kwa wengine...!!!
 
apone haraka, nawaza bomba la mafuta la hoima na hatua tulizokuwa tumefikia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom