Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Na ndio maana hao Wazungu wanakufa Kama inzi!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana hao Wazungu wanakufa Kama inzi!!!
Aliyekuambia tuliwaamini wana habari wetu niWakenya sio Watanzania wa kusikiza taarifa za vijiweni. Our journalists are professionals. Ndio maana tulipowaambia rais wenu amekufa, wanahabari wenu walikuwa wakisema yuko salama na wa afya - mkaamini wanahabari wenu. Hivi kati ya taarifa za wanahabari wa Kenya na Tanzania na wagani walioprove kuwa wa vijiweni?
Ni yule mrithi wa nchiNasikia anaumwa mtoto sio yeye
Inamaana wale waliolipwa fidia waendelee tu kulima?Oxygen Pipe Muda Huu Imekanyagwa 😅😄😃
Bavicha mlichobakiza sasa ni kupambana na Diamond na kuombea,kusherehekea vifo kwa wengine...!!!Kuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa
Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli
Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi
Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?
Mzee yupo wapi mzee mseveni?
View attachment 1832540View attachment 1832542
Ni kweli anaumwa na inasemekana ni korona na kuna nafasi ndogo sana ya kurudi hewani
Naomba video clip inayo oneshaakichomwa chanjo hiyoAkifa huyu msee m7 msingizie ni covid19 na wakati alipigwa chanjo😎!!!
Google tu picha zipoNaomba video clip inayo oneshaakichomwa chanjo hiyo
OkGoogle tu picha zipo
Wanazuga tu ila mgonjwa ni yeye mwenyeweNi yule mrithi wa nchi
Kwa jiwe Ilikuwa udaku??Udaku.
Kumbe ndiyo kwanza ana miaka 76 umri pendwa kwa CovidWanazuga tu ila mgonjwa ni yeye mwenyewe