Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Status
Not open for further replies.
Iko hivi :
Kama siku za kuishi hapa duniani kwa Museven zimeisha basi atakufa tu iwe ni covid-19 third wave au whatever, death is inevitable.

Swali la kujiuliza ni kwanini viongozi wa Africa wakiugua hukimbilia kutibiwa nje ya nchi zao?
 
Corona Virus Vaccine is just mare dreams,The Vaccines don't work,Museveni alikuwa amechanjwa na dawa best of the best Mbona haikumsaidia,India wanakufa Kama flies na wao Ndio wanaotengeneza Vaccines za Astrzeneca???? America wamechanjwa wengi Lakini Corona virus type ya Delta inaua watu kabisa ni Ile tu wanajifanya wanaishi kawaida!!!!South Africa wamechanjwa wengi na bado wenye wamechanjwa wanakufa!!!Huu Ni ugonjwa wa kupunish sinners,Holywar,Tuishi kwa maombi Jameni,na mjihadhari kabisa
 
Mnapenda fake news kuliko kupambana na njaa inayowatandika kila mwaka.

Hivi huwa mnashindwa kuverify news kabla ya kufungulia uzi?

h.PNG
 
The Bible says their is going to happen unatural things,like deaths, rumours of war,people against people,(Drought*like Madagascar the Country is gradually turning in to a Desert and it was a fully green Nation full of many different species of Vegetation,Trees,Birds and Animals) Floods*where there was no water before!!And many Disasters Gonna happen😳🙏Pray
 
Why africa mashariki viongozi wakiumwa wapelekwa nairobi..

Je huko ndipo kuna hospital bora sana kuliko za nchi zao?

Madikteta wote huwabamiza watu wao na kuwaaminisha kwamba kuna makuu wanafanya, ila yakija ya kuja wanakua wa kwanza kuletwa huku Nairobi, natumai hii ya Museveni itawekwa wazi hatafichwa fichwa na kusemwa kwamba yupo busy anafanya kazi.
Corona ni balaa, haina cha urais wala nani, kila mmoja anapaswa kuchukua tahadhari na kuacha ukaidi, namtakia kila la kheri walau yeye hajawa akionyesha mfano mbaya wa kukaidi.

Jameni ifahamike corona ipo, na ni zaidi ya balaa, halafu gharama za hiyo hospitali ya Nairobi aisei chukueni tahadhari.
 
Corona Virus Vaccine is just mare dreams,The Vaccines don't work,Museveni alikuwa amechanjwa na dawa best of the best Mbona haikumsaidia,India wanakufa Kama flies na wao Ndio wanaotengeneza Vaccines za Astrzeneca???? America wamechanjwa wengi Lakini Corona virus type ya Delta inaua watu kabisa ni Ile tu wanajifanya wanaishi kawaida!!!!South Africa wamechanjwa wengi na bado wenye wamechanjwa wanakufa!!!Huu Ni ugonjwa wa kupunish sinners,Holywar,Tuishi kwa maombi Jameni,na mjihadhari kabisa
Uko sahihi kabisa. This disease is a punishment to the incorrigible wicked, to a debased disobedient generation. And trust me, the worst is yet to come.

People should repent and turn to their creator or else many will perish.
 
Why are you getting agitated, are you the one who's been taken ill. Just check the twitter feeds
Just let him be si you know His Gang Ssk Gang hawaamini Corona ipo waliambiwa na Mwendazake hivo,Sasa kila mkasa wa Corona ukitokea yeye na Gang yake watasema ni Uongo,si walisema pia ya mwendazake ilikuwa Uongo🤔Tafakari hayo
 
Ina maana M7 pamoja na udikiteta wake hana hospital yenye hadhi ya kumtibu nchini kwake.Unakaa madarakani miaka 40 ukiugua ghafla unaanza kukimbilia nje. Utawala wake hauna maana.
Zipo. Mbona hata jiwe alipelekwa huko.kuna sababu
 
Uko sahihi kabisa. This disease is a punishment to the incorrigible wicked, to a debased disobedient generation. And trust me, the worst is yet to come.

People should repent and turn to their creator or else many will perish.
Very true👌If Vaccines are not the solution,Africa Mzima inafaa wakutane kwa Mugumo Tree Waombe Mungu msamaha mpaka Nguo ziwatoke,Kama ambavyo watu wazamani walifanya,wakifanya hivyo Naona Kama Haya Mikasa Mungu atatuondolea🙏Naamini
 
Hizi hasira kapambane na Waganda wanaosherekea kwenye mitandao kuhusu hizi tetesi, wanatamani sana iwe kweli, aisei madikteta hii corona imeamua kulala nao mbele...

Ngoja nikutandike na kitu kizito kwanza.

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom