Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Status
Not open for further replies.
Mugumo is considered a Sacred Tree in the whole world,but people this days wanaikata ovyoovyo!!! Wherever they Grow they connect the Dots to the whole world,Hio mti ilikuwa inatumiwa Kama Shrine Kama vile Kanisa,Kulipotokea Mkasa mbaya watu walitangamana kwa Miti hiyo Africa Mzima na kumuomba Mungu awapee Suluhu,Tafadhali watu wasikate Mugumo Mungu anakasirika,Turudi Tulipotoka na Mapema mambo yasikiwe mabaya kabisa,mf, India wanakufa wengi sai kwa magonjwa mengi tatanishi,Moja ikiwa ni Coronavirus,India wamajaribu kumwomba Mungu wao amabaye ana Kichwa ya Ndovu wakiogelea majini Ni Kama kubatiswa,Lakini haiwasaidii!!! Africa Turudi kuomba Chini ya Milima na Mugumo na Janga hili litaisha kabisa🔥🔥 Yani aliyesikia hii Tafadhali sambazeni injili Tafadhali na musione aibu na Dini yenu na Mungu Atawabariki,Wacoloni Ndio walitufanya tuaibike na Dini zetu kwa kutuambia ni uovu😬🙏
 
Ngoja nikutandike na kitu kizito kwanza.



Hehehe!! Lakini ningeshangaa kama hizi taarifa zingekua kweli maana Museveni hajawa na ujinga wa kukaidi corona, amekua makini siku zote, hafanyi upumbavu wa kujtakia msiba na kusababishia taifa hasara.....
Naona hata mama Suluhu kwake ameongeza umakini, kuna sehemu nimeona ametoa tahadahri yeye mwenyewe, hana ujuha wa kupima mapaipai sijui na mavitu gani hayo.
 

11 May 2021​

Museveni most Loved President. See how African Presidents arrived in Uganda for his swearing-in...​

 
In this day and age of Fake News am very reluctant to believe anything, even if I see something with my naked eyes I first have to blink about ten times, and to ask my neighbour if he/she sees what am seeing...

All I can say, Time will and always Tell
 
naungana na waganda wengi katika maombi mazito ya kumuomba Mungu wa rehema "ampende zaidi" museveni haraka iwezekenavyo.

bila shaka awamu hii Mungu atasikiliza maombi yao na atayafanyia kazi.
 
naungana na waganda wengi katika maombi mazito ya kumuomba Mungu wa rehema "ampende zaidi" museveni haraka iwezekenavyo.

bila shaka awamu hii Mungu atasikiliza maombi ya waganda wengi na atayafanyia kazi.
tanzania tulishtukizwa tu kifo cha JPM, ila waganda taarifa imetolewa bila wasi....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom