Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh binadamu yeyote anaweza umwa wasifiche, lasivyo ajitokeze hadharani
He was.Magufuli was never admitted at nbo, unatakiwa useme ivyo
He was.
Wajinga tu ndio wanaoamini kuna Corona.Madikteta watapata TABU sana UVIKO unarahisisha MAMBO.
Anaogopa kufanyiwa hujuma mkuu.Ina maana M7 pamoja na udikiteta wake hana hospital yenye hadhi ya kumtibu nchini kwake.Unakaa madarakani miaka 40 ukiugua ghafla unaanza kukimbilia nje. Utawala wake hauna maana.
Ina maana M7 pamoja na udikiteta wake hana hospital yenye hadhi ya kumtibu nchini kwake.Unakaa madarakani miaka 40 ukiugua ghafla unaanza kukimbilia nje. Utawala wake hauna maana.
Akili ndogo ndizo zinazo amini taarifa za vijiweni zisizo na uthibitisho,great minds do not do that.He was.
ThibitishaHe was.
Hiyo chanjo imemfanya aumwe...wazungu bwana washenzi...ngoja watu waliochanjwa waendelee kutokomea...utasikia yatakayotokea huko Rwanda, Kenya na Uganda...wait and watch ...in six months from utasikia Mambo...Kwan ile chanjo alio chanjwa ina semaje
Wakwetu tuliambiwa anachapa kazi tena kawasalimia kumbe Siku nyingi alikuwa ashavuta.
Mficha maradhi kifo humuumbua.
Hata kifo chake mlikana tuipowaambia amekufa.Thibitisha
Wakenya sio Watanzania wa kusikiza taarifa za vijiweni. Our journalists are professionals. Ndio maana tulipowaambia rais wenu amekufa, wanahabari wenu walikuwa wakisema yuko salama na wa afya - mkaamini wanahabari wenu. Hivi kati ya taarifa za wanahabari wa Kenya na Tanzania na wagani walioprove kuwa wa vijiweni?Akili ndogo ndizo zinazo amini taarifa za vijiweni zisizo na uthibitisho,great minds do not do that.
YesWhy africa mashariki viongozi wakiumwa wapelekwa nairobi..
Je huko ndipo kuna hospital bora sana kuliko za nchi zao?
Kwani museven mwenyewe anasemaje labda??Kuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa
Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli
Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi
Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?
Mzee yupo wapi mzee mseveni?
As stupid africans talking of waves,Depends on the country
Sisi itakua second wave, Ile ya mwisho wa mwaka jana was silent