Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Museveni is very ill and admitted in a hospital here in Nairobi

Status
Not open for further replies.
Ahahahahaha.
Muda wa kunyofolewa roho wapumbavu ni sasa.
Mmoja ashaoza, kazikwa juzi tu lakini utadhani kafa 30 years ago.
Wacha shobo pembe jeo ww....mafiii inakusumbua na hato sahaulika daima...
 
This further and let me know if you need anything else from me please let us know what we can do that for you but you are welcome to join us for dinner tonight and then [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa

Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli

Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi

Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?

Mzee yupo wapi mzee mseveni?
View attachment 1832540View attachment 1832542
Nasikia anaumwa mtoto sio yeye
 
Kuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa

Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli

Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi

Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?

Mzee yupo wapi mzee mseveni?
View attachment 1832540View attachment 1832542
Ni kweli anaumwa na inasemekana ni korona na kuna nafasi ndogo sana ya kurudi hewani
 
Sir God naona anaendelezaa operation ya kutokomeza madikteta uchwara, baada ya kumtandika kiboko magufuli, sasa anamcharaza lolimodo wake.
Huna uhakika kama kifo cha Magufuli ni adhabu kutoka kwa Mungu, acha kumlisha Mungu maneno.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom