tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Hakuwah kutibiwa nbo, alikua pale Lugalo militaryHata kifo chake mlikana tuipowaambia amekufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwah kutibiwa nbo, alikua pale Lugalo militaryHata kifo chake mlikana tuipowaambia amekufa.
Peleka kinyeo mbali kizuu wwMadikteta watapata TABU sana UVIKO unarahisisha MAMBO.
Mambo yake unayajua? Pengine hayo aliyoandika yanahusiana na mambo yake!Hakuhusu fanya mambo yako umbea ni sumu
Wacha shobo pembe jeo ww....mafiii inakusumbua na hato sahaulika daima...Ahahahahaha.
Muda wa kunyofolewa roho wapumbavu ni sasa.
Mmoja ashaoza, kazikwa juzi tu lakini utadhani kafa 30 years ago.
Wakati akiugua mlisema ako salama ikuluni, sasa imekua Lugalo military tena?Hakuwah kutibiwa nbo, alikua pale Lugalo military
Hii nakupa ni taarifa ya uhakikaWakati akiugua mlisema ako salama ikuluni, sasa imekua Lugalo military tena?
Nasikia anaumwa mtoto sio yeyeKuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa
Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli
Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi
Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?
Mzee yupo wapi mzee mseveni?
View attachment 1832540View attachment 1832542
proof?Hakuwah kutibiwa nbo, alikua pale Lugalo military
Ni kweli anaumwa na inasemekana ni korona na kuna nafasi ndogo sana ya kurudi hewaniKuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa
Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli
Maana hata Nkurunzinza na Magufuli mambo yalianza hivihivi
Na mkumbuke wimbi la kwanza la corona liliondoka na Nkurunzinza wimbi la pili likaondoka na Magufuli na sasa ni wimbi la tatu je?
Mzee yupo wapi mzee mseveni?
View attachment 1832540View attachment 1832542
Wamepumbaza hadhira.. Za ndani zinasema kimeumana kwa baba mtu.. Anakaribia kula kwa mrija mrefuNasikia anaumwa mtoto sio yeye
Yeah kuna insider alinitonya hivyo hivyo kuwa mzee nae is no more aliveNi kweli anaumwa na inasemekana ni korona na kuna nafasi ndogo sana ya kurudi hewani
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji322][emoji322][emoji322]hatimaye!!!Yeah kuna insider alinitonya hivyo hivyo kuwa mzee nae is no more alive
Kama PM alivyokanusha kuhusu mwendazakeWamepumbaza hadhira.. Za ndani zinasema kimeumana kwa baba mtu.. Anakaribia kula kwa mrija mrefu
Una akili sana mkuu. Umewaza haraka na mbali,kitu ambacho wengine hawanaMambo yake unayajua? Pengine hayo aliyoandika yanahusiana na mambo yake!
Ile ilikuwa kali sana nadhani hatakaa aisahau maisha yake yoteKama PM alivyokanusha kuhusu mwendazake
Huna uhakika kama kifo cha Magufuli ni adhabu kutoka kwa Mungu, acha kumlisha Mungu maneno.Sir God naona anaendelezaa operation ya kutokomeza madikteta uchwara, baada ya kumtandika kiboko magufuli, sasa anamcharaza lolimodo wake.