Aaarrgh maalim,hata weye ni great thinker?Tuache utani basi mkuu!Weye ni pompompo tu wa CCM!ππππππππππThis is Great Thinkers Forum
Tukijitambua haiwezi kuwa hiviWameshatuzunguuka Sasa Hivi Tupo Katikati
Tutapigwa Tutachakaa
Wanachagua Tu Wa Kumpa Fourth Wave
kuanzia lini unanipa sifa hiyo?Aaarrgh maalim,hata weye ni great thinker?Tuache utani basi mkuu!Weye ni pompompo tu wa CCM!ππππππππππ
busket mouth of the puppets and imperialists!!Inaweza ikawa kweli kwasababu kaka wa taifa kigogo kathibitisha Twitter
Hapa tutaweka rekodi sawa ndugu zangu wanaJF.
hii ni thread muhimu ya tafakari.
Inaonekana unashindaga kuangalia sky news sanabusket mouth of the puppets and imperialists!!
huwa sishobokei vyombo vya magharibiInaonekana unashindaga kuangalia sky news sana
Jingalao tunakujua wewe mzee ni pro m7Haijawahi kutokea na kamwe haitatokea
Mnapojijua Mmelewa msianzishe Mada.Hapa tutaweka rekodi sawa ndugu zangu wanaJF.
hii ni thread muhimu ya tafakari.
Acha ujinga wakoMnapojijua Mmelewa msianzishe Mada.
Nakutania mkuu.ππππkuanzia lini unanipa sifa hiyo?
nimekuelewa ila mimi sipendi utaniNakutania mkuu.ππππ
Kunja mikono ya shati tupigane!Mwehu nini weye?ππππnimekuelewa ila mimi sipendi utani
Mungu atang'oa madikteta woteHapa tutaweka rekodi sawa ndugu zangu wanaJF.
hii ni thread muhimu ya tafakari.
Na wanafiki watang'olewa na wanadamuMungu atang'oa madikteta wote