Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Haitekelezek ww ndio musiba? Judge na mahakimu wake unadhan hawafahamu status yake?Hukumu haitekelezeki.
Hakuna huruma hapa. He reap what he saw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitekelezek ww ndio musiba? Judge na mahakimu wake unadhan hawafahamu status yake?Hukumu haitekelezeki.
hiyo sio kesi kwamba unadaiwa ulikopeshwa ni kesi ya kumdhalilisha mtu..Kesi za madai kati ya kesi huwa sio mbaya saaaana kimtindo
Ngoja nikufundishe Sheria Kilaza wewe! Sheria inasema hivi, ikiwa mtu amehukumiwa ktk kesi ya daawa kulipa fidia ya fedha na akashindwa, basi Mali zake zitakamatwa na kuuzwa ili kulipia fidia anayodaiwa.Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Ametangazwa na mamlaka gani za kisheria kuwa ni muflisi? Je, anayedaiwa ni Kampuni zake au Musiba mwenyewe? Tudadafulie hapo tuelewe!Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Kuna mahali unafeli Sana wewe bush lawyer na nilishakuambia humu kuwa hujui lolote kumhusu Sheria hukunielewa! Huyu musiba ulikuwa unamtetea Sana humu jf Kwa maovu yake na haiyumkini ni mtu wako wa karibu Sana. Jiandae Kwa lolote kuanzia Sasa kwani atakutaja Kama sabaya alivyowataja wapambe wake!Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Umesababishwa nimeshushwa kwenye gari ya CCM niliyokuwa nimepewa lift kwa kucheka hiki ulichoandika... Dah JF sitoiachaKama hana hela Mahakama iamuru aolewe.
Kilolo hakuna mjinga kama huyu!!!Rudi kwenu Kilolo ukalime njegere
Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Mataga hamuishiwi sababu ata Kwa Sabaya mlituambia hawezi kufungwa,Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Kuna watu mnadhani kwamba sheria inapelekwa pelekwa kilevi. Hamna lolote uliloandika hapo. Umeamua kuvifanyia mazoez vidole vyako na kutukumbusha huyo Musiba wako uliyekua chawa wake.Kampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Yaani hata vichache alivyo navyo huwenda wakabeba vyote mpaka awe omba ombaKampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
Bush lawyer mkubwa wwe,ulizia civil prisoner inakuwajeKampuni zote za Musiba zilishafilisika hata mishahara hawezi kulipa, na anadaiwa na watumishi wake kitambo.
Hivyo hizi amri za kulipa aliowac hafua pesa hazitekelezeki sababu kampuni zake lilishaishiwa pesa.
My take; Tusikenue meno tukadhania amepatikana kumbe hakuna chochote atakachopoteza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama hana hela Mahakama iamuru aolewe.