gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Quran haiongopiHivi hizi chuki dhidi ya waisilam zilizo jaa vifuani mwenu huwa zinatokana na nini hasa?
Mbona huku mitaani watu tunaishi vizuri kwa ushirikiano na upendo bila kujali dini zetu ?
Cha kushangaza zaidi waweza kuta una ndugu wa damu waisilam dah.
😀😂🤣🤸 Naam ngome ya zamani ya magaidiChimbo za magaidi hizo
Hah han ndiyo kilio chenu hicho mnachojifichia!!Hayo yanahusiana nini na huu uzi? Nyuzi zake zipo kibao tu.
Hiyo ndiyo Islamophobia yenyewe. Ujinga tu umewajaa.
Msione neno Muislam au Uislam, nyoyo zenu zinawawaka moto. Tunawajuwa.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂sijui kwanini nimesoma huu upumbavu.
Hahaha HahahaMxiuuuuu! Tangu lini taasisi ya elimu inayoendeshwa na waislam ikawa center of excellence?? Labda iwe center for terrorists.
Inashangaza sana kwakweliHii dunia ina watu wajinga wengi sana. Yaani chuo cha ugaidi eti kinatajwa hadharani kabisa!!
Sheikh ponda alisema hawawezi kupewa eneo na kafiriTumshukuru hayati Rais ,, BWM, Benjamin William Mkapa, kuwanyang'anya shirika la Tanesco chuo Chao pale Msanvu Morogoro na kuwapa waislam bure chuo kilichojengwa kwa Kodi na bill za umeme za watanzania wote mpaka wagalatia,,, na Mkapa alikuwa mgalatia safi ila hakuwa mdini.
Mmeishiwa.Hah han ndiyo kilio chenu hicho mnachojifichia!!
View: https://x.com/asli_nabi/status/1839778972801831195
Soma Qur'an japo kidogo, utoke kizani.Porojo za Kila siku mfumo mfumo 🤣🤣
Ni kwani mkapa alifanya hivi, je alifanya kwa hisani ya nani , haingii akili kabisa.Tumshukuru hayati Rais ,, BWM, Benjamin William Mkapa, kuwanyang'anya shirika la Tanesco chuo Chao pale Msanvu Morogoro na kuwapa waislam bure chuo kilichojengwa kwa Kodi na bill za umeme za watanzania wote mpaka wagalatia,,, na Mkapa alikuwa mgalatia safi ila hakuwa mdini.
Haya ni matumizi mabaya ya neno UNIVERSITYChuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa, Tanga, Mtwara na Kigoma. Na nchi jirani Mombasa (Kenya) na Bujumbura (Bujumbura).
NB: Asante MUM kutupa elimu vijana
Hawakuwa na chuo, wakalalamika. Wakati wagalatia wanajenga vyuo, wao wanajenga misikiti, Mkapa akaamua kuingia serikalini akalitia hasara Shirika la Tanesco akawapora chuo kilichokuwa kinatoa utaalam wa umeme, akawapa bure.Ni kwani mkapa alifanya hivi, je alifanya kwa hisani ya nani , haingii akili kabisa.
Know chukua mali za umma na kugeuza kuwa za Taasisi za keep dini
Mimi sioni jama kuna kosa! Mbona sisi Wakatoliki tuna RUCU (Ruaha Catholic University) Tuna SAUT, nk. Na ukienda kwenye hivyo vyuo, utakutana na wanafunzi wa imani tofauti.Ilikuwa kosa la kiufundi kuweka neno "Muslim", katika utambulisho wa chuo, it serves nothing zaidi ya kukimbiza wateja wengine.
Ila jioni huwa tunakula nao komasava pale samaki samaki wakiwa wameweka baibui pembeni. Wananata na biti diamond anasubiri.
Ila kwa nini wanadai kwamba hata eneo la mitambo ya tanesco ni lao?
Ndio nyie wasumbufu huko!Mbona mimi nilisoma hapo,na nipo nipo katika mfumo? Wanaendaga wapi...hujui..pole
Ni mgonjwa. Pole yako itampa nafuu.Hivi siku hizi mbona unaandika na makosa mengi? Au akaunti inatumiwa na mtu mwingine?
Chuo ambacho hata shule ya kata ina nafuuWamshukuru BWMkapa kwa kuwapa hisani ya majengo ya umma hapo morogoro,vipi wameacha kuwalamba viboko wanafunzi wao?