Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe


Nonsensical. Mama na wifi wote watiwe nguvuni, wamekula njama ya kumdhuru mtoto, inawezekana hata huko Bariadi katoka kwa mganga.
 
Kanda hizo na watoto wenye ulemavu wa ngozi(albinism)ni mkosi kwenye familia na koo,,,nina uhakika kuwa huyo mtoto alikuwa na mapungufu hayo wameamua kukapoteza!!!
Kwanini lakini?
Majitu ya huko Yana roho mbaya sana
 
hakupatikana kwa mganga huyo? manake hao watoto wa dawa za waganga wengi wanakuwaga majini, ukifika muda anarudi kwao.
 
Haha, sasa watu kuwa uchi nyakati za usiku ni mauzauza, haya mambo hayapo, sema watu washapumbazwa akili na matapeli.

uchawi haupo
 
wazee wa kughecha sasa wameanza kuwa wataalam na wao looooh hatari sana hii, ila kama naona ni sanaa vile , nchi ngumu sana hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…