Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Watu wanaosema uchawi haupo huwa nawachekiiii, nabaki kuwastaajabu kama kweli walizaliwa na kukulia hapa Africa.

Tumezaliwa, tumekua na tumeishi Africa ila tumeamua kutumia bongo zetu badala ya kuamini story za hearsay zinazoaminiwa na wajinga na kuenenzwa na wapumbavu.
 
Kweli hay mambo yapo rena naamini kbsa uchawi upo ila kwa situation hyo ya kichnga apo kuna mtu kacheza na akili zao tu
Possibly kuna mtu kawazidi akili kaiba mtoto kaweka jiwe si ajabu kawafatilia mda tu kapata chance kafanya yake kajua kwa mchezo huo atatek akili za watu watafikirikia mauzauza hayo na hatofatiwa
 
Hakuna uchawi. Mtu yeyote anayeamini uwepo wa ushirikina ni zwazwa grade A1.

Wewe na ndevu zako unaamini huyo mtoto kageuka jiwe kweli? Ni shule gani uliyosomea huu ujinga watu waache kupeleka watoto wao huko?
Hapa Africa hakuna vyuo hivyo ila nenda India na baadhi ya nchi kama hujakutana na vyuo vinavyofundisha uchawi.

Hiyo link yako inasema watu walihukumiwa kwa kufanya mauaji na marehemu walikutwa na majeraha makubwa, ni wapi inaongelea mambo ya ushirikina?

"Amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo, Watu hao sita walikuwa na nia ya dhati ya kuwaondolea uhai watu hao ambao miili yao ilikutwa na majeraha makubwa sehemu za kichwani, shingoni na mgongoni."
Ila we jamaa umekaza fuvu kwa mambo usiyoyajua ilhali huna ulijualo. Eti wanaoamini uwepo wa ushirikina ni mazwazwa, zwazwa ni wewe unayepinga uwepo wa mambo ambayo yapo.

Kwa taarifa yako viongozi wote wa dini wanaamini hayo mambo yapo maana vitabu vyote vitakatifu vimetaja uchawi na vinaukemea. Papa Francis, Maaskofu,Mapadre,Wachungaji,Maimamu,Masheikh,n.k wengi ni wasomi wa viwango vikubwa kukuzidi yet wanajua uchawi upo.Kuamini uwepo wa uchawi/ushirikina haimaanishi kwamba unaunga mkono mambo hayo.

Mhe.Andrew Chenge amasoma Havard University ambako hujawahi kutia mguu na pengine ukafa bila kukanyaga pale, ila muulize kuhusu hayo mambo atakwambia. Mhe.Mizengo Pinda alishawahi kuhojiwa kuhusu kama kweli hayo mambo yapo kule kwao Sumbawanga kama wengi wanavyodai, akakiri yapo kwa sana tu. Sasa we mwenzetu Bufa sijui ulizaliwa na kukulia Amsterdam? Ila sisi tuliozaliwa na kukulia hapa Africa tunajua hayo mambo yapo kwa wingi tu.
 
waminywe kende hao watoe maelezo wasitufanye si wajinga hapa
 
Jiwe limewekwa hapo kuwachota akili mazoba, mtoto kaibiwa tayari.
Angalia video za mtoa ushuhuda jinsi mtoto aluvyoanza kuyeyuka nakubadilika polepole hadi kuwa jiwe akiwa ndani ya nguo. Dunia hii ni complicated kuliko tunavyofikiri!
 
Ngoja tusubiri labda itatokea siku ya tofauti ya miujiza ya ""Jiwe"" kuwa mtoto/mtu,,,kwa maana tangu kale watu ndio wanageukaga mawe tuu,,,mf:Mke wa Lutu aligeuka ""jiwe",,,,Mara marehemu Magufuli nae aligeuka na kujibatiza kuwa yeye ni""jiwe"",,,hujakaa sawa kuna Ngumi jiwe na wala si jiwe ngumi!!!yaani ni mtafaruku tuu!!!###NgojaTusubiri###Hata jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa Jiwe Kuu la Pembeni,,,,yaani hadi waashi walijaribu maskini kulikataa jiwe lakini hatimaye likawa Jiwe kuu la pembeni,,,Jiwe hadi linapewa ukuu!!!Hili Jiwe ni Jiwe gani??
Ni jiwe kuu la pembeni.mkuu
 
Angalia video za mtoa ushuhuda jinsi mtoto aluvyoanza kuyeyuka nakubadilika polepole hadi kuwa jiwe akiwa ndani ya nguo. Dunia hii ni complicated kuliko tunavyofikiri!
watoa ushuhuda wapo kila mahali hata uwongo hukosi shuhuda
 
Angalia video za mtoa ushuhuda jinsi mtoto aluvyoanza kuyeyuka nakubadilika polepole hadi kuwa jiwe akiwa ndani ya nguo. Dunia hii ni complicated kuliko tunavyofikiri!

Kuna video ya tukio lenyewe au video ya mtu anayesimulia hiki kihoja? Una uhakika gani nae hajala njama ya kumdhuru huyu mtoto mchanga?

Kama ni video ya mtoa ushuhuda ana tofauti gani na Zumaridi aliyesema kaenda mbinguni? Nae unamuamini? Tunaposema story zoooote za ushirikina ni story za hearsay muwe mnaelewa.
 
Tumezaliwa, tumekua na tumeishi Africa ila tumeamua kutumia bongo zetu badala ya kuamini story za hearsay zinazoaminiwa na wajinga na kuenenzwa na wapumbavu.
Hearsay? Ok nikuombe ufanye safari kwenda wilaya za Simiyu,Mwanza,Kigoma,Tanga,Katavi,Mara,nk (hasa hasa vijijini) na ukifika Anza kujinadi kuwa hauamini kama uchawi upo, na wala hauna madhara yoyote, halafu uone kitakachokutokea.

Wenzako UDSM wameingia mzigoni kufanya research juu ya mambo hayo tangu mwaka jana, wewe unakaza fuvu bila hata ya research.
 
Angalia video za mtoa ushuhuda jinsi mtoto aluvyoanza kuyeyuka nakubadilika polepole hadi kuwa jiwe akiwa ndani ya nguo. Dunia hii ni complicated kuliko tunavyofikiri!
video iko wapi
 
Hearsay? Ok nikuombe ufanye safari kwenda wilaya za Simiyu,Mwanza,Kigoma,Tanga,Katavi,Mara,nk (hasa hasa vijijini) na ukifika Anza kujinadi kuwa hauamini kama uchawi upo, na wala hauna madhara yoyote, halafu uone kitakachokutokea.

Wenzako UDSM wameingia mzigoni kufanya research juu ya mambo hayo tangu mwaka jana, wewe unakaza fuvu bila hata ya research.
Kuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
 
Back
Top Bottom