Nafikiri mimi ndio ntakuwa wa mwisho, daktari alithibitisha hicho kifo? Wahuni haoNtakua wa mwisho kuamini hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri mimi ndio ntakuwa wa mwisho, daktari alithibitisha hicho kifo? Wahuni haoNtakua wa mwisho kuamini hili
Sema ngozi nyeusi ndo tushapumbazwaNi kwel unavyosema upo sahihi sna mkuu
Fake newsUTV wapo live mzee baba
USSR
Sio nyeusi tu idea ya uchwawi ipo dunia nzima kama ni kupumbwazwa useme wanadamu tunapumbwazwa.Sema ngozi nyeusi ndo tushapumbazwa
Ngoja tusubiri labda itatokea siku ya tofauti ya miujiza ya ""Jiwe"" kuwa mtoto/mtu,,,kwa maana tangu kale watu ndio wanageukaga mawe tuu,,,mf:Mke wa Lutu aligeuka ""jiwe",,,,Mara marehemu Magufuli nae aligeuka na kujibatiza kuwa yeye ni""jiwe"",,,hujakaa sawa kuna Ngumi jiwe na wala si jiwe ngumi!!!yaani ni mtafaruku tuu!!!###NgojaTusubiri###Hata jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa Jiwe Kuu la Pembeni,,,,yaani hadi waashi walijaribu maskini kulikataa jiwe lakini hatimaye likawa Jiwe kuu la pembeni,,,Jiwe hadi linapewa ukuu!!!Hili Jiwe ni Jiwe gani??Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe 😭
Watakuwa walifanyiwa change kota barabarani, kimazingara.Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe 😭
Nonsense. Huyo mtoto kauawa au kaibwa. Hao watu na yeyote anayeamini hii habari ni mazwazwa wa kiwango cha PhD.
ila ngozi nyeusi basi tumeshakua mateja 😂😂Sio nyeusi tu idea ya uchwawi ipo dunia nzima kama ni kupumbwazwa useme wanadamu tunapumbwazwa.
Yah tumekuwa walevi kabsa mambo madogo tu tunakimbilia tumelogwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila ngozi nyeusi basi tumeshakua mateja [emoji23][emoji23]
Jifunze kusoma na kufikirisha akili, nadhani Mgaranjabo hufahamu vizuri kuna ushirikina mno na waiwahi kuuana hapo, wakapelekwa Mahakamani hukumu imetoka mwaka 2021 watuhumiwa wanyongwe hadi kufa
Waliohusika na mauaji ya watu 17 wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma imewahukumu kunyongwa hadi kufa Watuhumiwa 6 kati ya 9, baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya watu 17 wa familia moja yaliyotokea Februari 10 mwaka 2010 katika eneo la Mgaranjabo lililoko kwenye manispaa ya Musoma mkoani Mara. Mahakama hiyo pia...www.jamiiforums.com
Eeehh😳😳Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe 😭
💯Nonsensical. Mama na wifi wote watiwe nguvuni, wamekula njama ya kumdhuru mtoto, inawezekana hata huko Bariadi katoka kwa mganga.