Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe [emoji24]
Mama anajua alichokifanya ..kwanini aliyebeba yeye ndio awe jiwe ... Alimbeba kwa style kila mtu anamuona au alifunika sura ..kuna kamchezo hapo
 
Ngoja tusubiri labda itatokea siku ya tofauti ya miujiza ya ""Jiwe"" kuwa mtoto/mtu,,,kwa maana tangu kale watu ndio wanageukaga mawe tuu,,,mf:Mke wa Lutu aligeuka ""jiwe",,,,Mara marehemu Magufuli nae aligeuka na kujibatiza kuwa yeye ni""jiwe"",,,hujakaa sawa kuna Ngumi jiwe na wala si jiwe ngumi!!!yaani ni mtafaruku tuu!!!###NgojaTusubiri###Hata jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa Jiwe Kuu la Pembeni,,,,yaani hadi waashi walijaribu maskini kulikataa jiwe lakini hatimaye likawa Jiwe kuu la pembeni,,,Jiwe hadi linapewa ukuu!!!Hili Jiwe ni Jiwe gani??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna uchawi. Mtu yeyote anayeamini uwepo wa ushirikina ni zwazwa grade A1.

Wewe na ndevu zako unaamini huyo mtoto kageuka jiwe kweli? Ni shule gani uliyosomea huu ujinga watu waache kupeleka watoto wao huko?

Hiyo link yako inasema watu walihukumiwa kwa kufanya mauaji na marehemu walikutwa na majeraha makubwa, ni wapi inaongelea mambo ya ushirikina?

"Amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo, Watu hao sita walikuwa na nia ya dhati ya kuwaondolea uhai watu hao ambao miili yao ilikutwa na majeraha makubwa sehemu za kichwani, shingoni na mgongoni."
Myazi Mungu aliumba Viumbe vinavyoonekana na visivyoonekana
 
Tunaposema story zote za ushirikina ni story za kusadikika zinazoaminiwa na wajinga na kusambazwa na wapumbavu muwe mnaelewa kenge nyie.

Capture.PNG
 
Atakapokufa wa kwako halafu akageuka jiwe ndio utaelewa
Hakuna mambo haya.

Binadamu ni anazaaa binadamu.
Kenge anaza kenge
Mjusi anazaa mjusi
Nyoka anazaa nyoka
Mamba anzaa mamba
Kuku anatotoa kuku.

Binadamu kuzaa jiwe au mtu kuja kugeuka jiwe, binadamu ni akifa anaharibika na mwisho wa siku kubakia mifupa na mafuvu tu na sio kugeuka jiwe binadamu kugeuka jiiwe ni elimu mpya kabisa na wala hawaijawahi kuwepo kwenye mtaala wowote na ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa.
 
Kumbe? Hapo sawa. Ila bado haimaanishi kwamba uchawi haupo. Tuliowahi kukutana nao tunaujua muziki wake.
Isongetoka serikali kukanusha ulikuwa uishaamini na kutetea kwa nguvu zote.

Na hizo unazosema uliwahi kukutana nazo ni stori tu hearsay mazingaombwe na kuchezewa akili basi na qala hayana uhalisia wowote ule.
 
Kwahiyo mazingaombwe ni nini? Ni sayansi, hallucinations au nini?
Kwa lugha rahisi Ni ufundi uliopo katika formula ambao hata wewe, mimi na yeyote yule akifundishwa anaweza kufanya na ukaonesha matokeo ya kuonelana kwa macho ya kila mmoja. Na wanamaziombwe wanaonekana na kujulikana na watu. Ni watu wasiojificha au kutotaka kujulikana au kuonekana na wengine. Tofautusha na watu wanodai kuwa ni wachawi.
 
Inafikirisha sana mkuu ila haya mambo ya mauza uza yapo mkuu ,kuna siku nikuwa natazama fainali ya Uefa night kal sna nmetoka usku nikapita maburini ,nikakuta kikundi cha watu wapo uchi , sema nini mkuu kushuhudia haya mambo kuaminika inakuwa ngumu kuna mda inabidi uvunge tu.
Ningekuwa mimi ndo wewe, ningewaomba mzigo niwapige mbupu, labda kama vilikuwa ni vibibi, ila kama ma binti na ma jimama, mbupu ingewahusu.
 
Hakuna mambo haya.

Binadamu ni anazaaa binadamu.
Kenge anaza kenge
Mjusi anazaa mjusi
Nyoka anazaa nyoka
Mamba anzaa mamba
Kuku anatotoa kuku.

Binadamu kuzaa jiwe au mtu kuja kugeuka jiwe, binadamu ni akifa anaharibika na mwisho wa siku kubakia mifupa na mafuvu tu na sio kugeuka jiwe binadamu kugeuka jiiwe ni elimu mpya kabisa na wala hawaijawahi kuwepo kwenye mtaala wowote na ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa.
Nimependa juhudi yako ya kudadavua, ila mkuu hatukumaanisha kwa jinsi hiyo uliyoiweka 😊😊 na tunajua hizo kanuni za kimaumbile, tulimaanisha viini macho vya kichawi, mtoto anaibwa unaachiwa kitu cha ajabu.
 
Back
Top Bottom