Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hao wote wawekwe ndani waonyeshe walikopeleka mtoto.Kwa kweli kuna kitu hakiko sawa, halafu mama anaeleza mkavu huyo hana hata wasiwasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote wawekwe ndani waonyeshe walikopeleka mtoto.Kwa kweli kuna kitu hakiko sawa, halafu mama anaeleza mkavu huyo hana hata wasiwasi
Jiwe limewekwa hapo kuwachota akili mazoba, mtoto kaibiwa tayari.
Hii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.
Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.
Chanzo: UTV
USSR
----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe
View attachment 2593964
Nchi ina wajinga wengi sana hii pamoja na wapumbavu. Nimeangalia habari nikaona hii taarifa eti na mamlaka zinasema zimelichukua jiwe hilo na kwenda kulifanyia uchunguzi..😀😀😀😀Hii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.
Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.
Chanzo: UTV
USSR
----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe
View attachment 2593964
Na mazoba yanavhoteka haswa...Jiwe limewekwa hapo kuwachota akili mazoba, mtoto kaibiwa tayari.
Nchi ina wajinga wengi sana hii pamoja na wapumbavu. Nimeangalia habari nikaona hii taarifa eti na mamlaka zinasema zimelichukua jiwe hilo na kwenda kulifanyia uchunguzi..😀😀😀😀
Bado uko hai utakutana nayo tuHaha, sasa watu kuwa uchi nyakati za usiku ni mauzauza, haya mambo hayapo, sema watu washapumbazwa akili na matapeli.
uchawi haupo
Uchawi upo duniani kote,wewe kama huamini sawa baki ivoHakuna uchawi. Mtu yeyote anayeamini uwepo wa ushirikina ni zwazwa grade A1.
Wewe na ndevu zako unaamini huyo mtoto kageuka jiwe kweli? Ni shule gani uliyosomea huu ujinga watu waache kupeleka watoto wao huko?
Hiyo link yako inasema watu walihukumiwa kwa kufanya mauaji na marehemu walikutwa na majeraha makubwa, ni wapi inaongelea mambo ya ushirikina?
"Amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo, Watu hao sita walikuwa na nia ya dhati ya kuwaondolea uhai watu hao ambao miili yao ilikutwa na majeraha makubwa sehemu za kichwani, shingoni na mgongoni."
Narudia hujui ulisemalo na Mungu akusameheHakuna uchawi. Mtu yeyote anayeamini uwepo wa ushirikina ni zwazwa grade A1.
Wewe na ndevu zako unaamini huyo mtoto kageuka jiwe kweli? Ni shule gani uliyosomea huu ujinga watu waache kupeleka watoto wao huko?
Hiyo link yako inasema watu walihukumiwa kwa kufanya mauaji na marehemu walikutwa na majeraha makubwa, ni wapi inaongelea mambo ya ushirikina?
"Amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo, Watu hao sita walikuwa na nia ya dhati ya kuwaondolea uhai watu hao ambao miili yao ilikutwa na majeraha makubwa sehemu za kichwani, shingoni na mgongoni."
Huwezi kufanya uchunguzi kama unakwenda na majibu yakoKanda hizo na watoto wenye ulemavu wa ngozi(albinism)ni mkosi kwenye familia na koo,,,nina uhakika kuwa huyo mtoto alikuwa na mapungufu hayo wameamua kukapoteza!!!
Uko sahihi mkuu. Kaibwa au kauwawa kupunguza ukali wa maishaNonsense. Huyo mtoto kauawa au kaibwa. Hao watu na yeyote anayeamini hii habari ni mazwazwa wa kiwango cha PhD.
Nakaa humu brother it's a calculated guess,wamemuua,then kumridhisha mama mtu wametafuta jiwe [emoji24][emoji24][emoji24]Kanda hizo na watoto wenye ulemavu wa ngozi(albinism)ni mkosi kwenye familia na koo,,,nina uhakika kuwa huyo mtoto alikuwa na mapungufu hayo wameamua kukapoteza!!!
Tatizo hukueleza sawasawa, kata ya Buhare Iko MUSOMA manispaa. Lakini wewe hukueleza hivyo ebu soma tena Uzi wako uone ulichokuwa umeandika. Uwe unatulia ndiyo unaandika ndugu.Hiyo kata ya Buhare lilikotokea tukio kumbe haiko Musoma? Ok, tufanye haiko Musoma Iko manispaa/wilayani kwenu sasa.
Hatari sana hiiJifunze kusoma na kufikirisha akili, nadhani Mgaranjabo hufahamu vizuri kuna ushirikina mno na waiwahi kuuana hapo, wakapelekwa Mahakamani hukumu imetoka mwaka 2021 watuhumiwa wanyongwe hadi kufa
Waliohusika na mauaji ya watu 17 wahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma imewahukumu kunyongwa hadi kufa Watuhumiwa 6 kati ya 9, baada ya kukutwa na hatia ya mauaji ya watu 17 wa familia moja yaliyotokea Februari 10 mwaka 2010 katika eneo la Mgaranjabo lililoko kwenye manispaa ya Musoma mkoani Mara. Mahakama hiyo pia...www.jamiiforums.com
Kauza kuna kitu nyuma ya maelezo yake hakiko sawahhmmm huyo mtoto itakuwa kaibwa!
Wewe ulishawahi kuuona huo uchawi, nithibitishie kama uchawi upo?Bado uko hai utakutana nayo tu