Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Unasafirije kote huko na mtoto wa Mwezi mmoja?. Huyo mama naye hazimo.
 
Hii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.

Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.

Chanzo: UTV

USSR

----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe


View attachment 2593964

Wameamua kutuonyesha live safari hii
Dunia ngumu sana hii
 
Hii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.

Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.

Chanzo: UTV

USSR

----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe


View attachment 2593964
Nchi ina wajinga wengi sana hii pamoja na wapumbavu. Nimeangalia habari nikaona hii taarifa eti na mamlaka zinasema zimelichukua jiwe hilo na kwenda kulifanyia uchunguzi..😀😀😀😀
 
Nchi ina wajinga wengi sana hii pamoja na wapumbavu. Nimeangalia habari nikaona hii taarifa eti na mamlaka zinasema zimelichukua jiwe hilo na kwenda kulifanyia uchunguzi..😀😀😀😀

Nimekumbuka Yale mazingaombwe ya kubadili makaratasi kuwa pesa😅😅
Sasa wameamua kugeuza watu kuwa mawe🙄🙄
 
Hakuna uchawi. Mtu yeyote anayeamini uwepo wa ushirikina ni zwazwa grade A1.

Wewe na ndevu zako unaamini huyo mtoto kageuka jiwe kweli? Ni shule gani uliyosomea huu ujinga watu waache kupeleka watoto wao huko?

Hiyo link yako inasema watu walihukumiwa kwa kufanya mauaji na marehemu walikutwa na majeraha makubwa, ni wapi inaongelea mambo ya ushirikina?

"Amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo, Watu hao sita walikuwa na nia ya dhati ya kuwaondolea uhai watu hao ambao miili yao ilikutwa na majeraha makubwa sehemu za kichwani, shingoni na mgongoni."
Uchawi upo duniani kote,wewe kama huamini sawa baki ivo
 
Hakuna uchawi. Mtu yeyote anayeamini uwepo wa ushirikina ni zwazwa grade A1.

Wewe na ndevu zako unaamini huyo mtoto kageuka jiwe kweli? Ni shule gani uliyosomea huu ujinga watu waache kupeleka watoto wao huko?

Hiyo link yako inasema watu walihukumiwa kwa kufanya mauaji na marehemu walikutwa na majeraha makubwa, ni wapi inaongelea mambo ya ushirikina?

"Amesema kutokana na ushahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani hapo, Watu hao sita walikuwa na nia ya dhati ya kuwaondolea uhai watu hao ambao miili yao ilikutwa na majeraha makubwa sehemu za kichwani, shingoni na mgongoni."
Narudia hujui ulisemalo na Mungu akusamehe
Full stop
 
Kanda hizo na watoto wenye ulemavu wa ngozi(albinism)ni mkosi kwenye familia na koo,,,nina uhakika kuwa huyo mtoto alikuwa na mapungufu hayo wameamua kukapoteza!!!
Huwezi kufanya uchunguzi kama unakwenda na majibu yako

Uo uhakika hautakiwi
Ila unaweza kwenda na maswali na majibu ukahakikishe je mawazo au hisia zako ni sahihi?
 
Ila kama huko mgaranjabo, nakumbuka paliwahi kutokea mauaji ya kutisha miaka ya nyuma🤔🤔 yani walichinja wanafamilia wote, wageni waliokua wameenda kuitembelea familia pia walichinjwa, mifugo yote na wakasogea kwa ndugu aliuekuwa anaishi jirani, hivyo hivyo.😭😭😭😭
 
Kanda hizo na watoto wenye ulemavu wa ngozi(albinism)ni mkosi kwenye familia na koo,,,nina uhakika kuwa huyo mtoto alikuwa na mapungufu hayo wameamua kukapoteza!!!
Nakaa humu brother it's a calculated guess,wamemuua,then kumridhisha mama mtu wametafuta jiwe [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hiyo kata ya Buhare lilikotokea tukio kumbe haiko Musoma? Ok, tufanye haiko Musoma Iko manispaa/wilayani kwenu sasa.
Tatizo hukueleza sawasawa, kata ya Buhare Iko MUSOMA manispaa. Lakini wewe hukueleza hivyo ebu soma tena Uzi wako uone ulichokuwa umeandika. Uwe unatulia ndiyo unaandika ndugu.
 
Maeneo ya musoma hasa ukanda wa wazanaki Kuna kitu kinaitwa KITIMBA,kitimba ni watoto wanaozaliwa wakiwa na kasoro za kimaumbile
Kwa Mila za Kule watoto wa namna hiyo ikitokea amezaliwa ktk Kijiji basi anatakiwa kuuwawa haraka sana wanaamini watoto hao huleta mikosi na mabalaa ktk mji aliozaliwa na Kijiji mpaka kata kiujumla.
Ikitokea mmoja wa wazazi amegoma mtoto asiuwawe basi kwanza familia itatengwa na Kijiji kizima, then wazee wa kimira watafanya Kila mbinu ili kumuondoa huyo kitimba eidha kwa kumuiba, kufanya njama za kumuua nk.


Wazee hao wa kimila wanaitwa WANYIKURA(Abhanyikura)
 
Jifunze kusoma na kufikirisha akili, nadhani Mgaranjabo hufahamu vizuri kuna ushirikina mno na waiwahi kuuana hapo, wakapelekwa Mahakamani hukumu imetoka mwaka 2021 watuhumiwa wanyongwe hadi kufa

Hatari sana hii
 
Uongo mtupu, ushirikina wao. Wameua mtoto, mwili wakaupeleka kwenye mambo yao.
 
Back
Top Bottom