Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakapokufa wa kwako halafu akageuka jiwe ndio utaelewa
Uchawi upo duniani kote,wewe kama huamini sawa baki ivo
Haisee!
Tunataka pia kusikia upande wa mganga mkuu mfawidhi wa hosp aliyojifungua na pia manesi waliomzalisha. Ni kweli alijifungua hao mapacha??Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe 😭
Huna akili km unaamini huo ujingaInafikirisha sana mkuu ila haya mambo ya mauza uza yapo mkuu ,kuna siku nikuwa natazama fainali ya Uefa night kal sna nmetoka usku nikapita maburini ,nikakuta kikundi cha watu wapo uchi , sema nini mkuu kushuhudia haya mambo kuaminika inakuwa ngumu kuna mda inabidi uvunge tu.
Wewe ulishawahi kuuona huo uchawi, nithibitishie kama uchawi upo?
haha, atasema fulani mchawi, ukimuuliza kuwa wewe ushamuona akifanya uchawi hana jibu la kueleweka 😂Atakwambia story alizosimuliwa tu nayeye kama nyumbu akaamini
Uchawi ni akili yako, ni mind games... alafu wewe inaonekana unaamini sana haya mambo, ni rahisi sana mtu kucheza na akili yako... anakulia taiming unarudi nyumbani anapasua yai mbele yako na kukunyunyizia powder... anaacha karatasi kaandika kama kiarabu kumbe kaandika hata haijulikani...Narudia hujui ulisemalo na Mungu akusamehe
Full stop
Wewe ylikutana nao wapi? Tusimulie ulichoona au kukupata mpaka uamini...Bado uko hai utakutana nayo tu
Haya mambo utayasikia kanda ya ziwa tu, sijui shida iko wapi, mambo ya lufikirika mengi huwa yanayokea hukoHii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.
Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.
Chanzo: UTV
USSR
----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe
View attachment 2593964
Watoto kuzaliwa na kasoro ya kimabile ni malezi mabovu ya mzazi yaani mama wakati mtoto akiwa tumboni... kama mzazi anatumia kwa wingi pombe, haswa pombe kali na/ au anatumia madawa fulani wakati wa crucial stages za mtoto kukua tumboni zinaathiri maumbile yake... ingia mtandaoni soma kitu wanaita TERATOGENS... utapata picha zaidi...Maeneo ya musoma hasa ukanda wa wazanaki Kuna kitu kinaitwa KITIMBA,kitimba ni watoto wanaozaliwa wakiwa na kasoro za kimaumbile
Kwa Mila za Kule watoto wa namna hiyo ikitokea amezaliwa ktk Kijiji basi anatakiwa kuuwawa haraka sana wanaamini watoto hao huleta mikosi na mabalaa ktk mji aliozaliwa na Kijiji mpaka kata kiujumla.
Ikitokea mmoja wa wazazi amegoma mtoto asiuwawe basi kwanza familia itatengwa na Kijiji kizima, then wazee wa kimira watafanya Kila mbinu ili kumuondoa huyo kitimba eidha kwa kumuiba, kufanya njama za kumuua nk.
Wazee hao wa kimila wanaitwa WANYIKURA(Abhanyikura)
Hiyo umeelezea kisayansi lkn wenyewe wanaamini fofauti ndguWatoto kuzaliwa na kasoro ya kimabile ni malezi mabovu ya mzazi yaani mama wakati mtoto akiwa tumboni... kama mzazi anatumia kwa wingi pombe, haswa pombe kali na/ au anatumia madawa fulani wakati wa crucial stages za mtoto kukua tumboni zinaathiri maumbile yake... ingia mtandaoni soma kitu wanaita TERATOGENS... utapata picha zaidi...
hivyo hao wanaozaa watoto wenye changamoto, watoto hao ni zao la wao (mama) kukosa kufanya mambo sahihi wakati wa ujauzito... hamna mchawi wala!!
Upo sawa mkuu ila hakuna sehemu nimesema nimeamini ila kuona nimeona ,kuamin ni kitu kingine.Huna akili km unaamini huo ujinga