Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe 😭
Tunataka pia kusikia upande wa mganga mkuu mfawidhi wa hosp aliyojifungua na pia manesi waliomzalisha. Ni kweli alijifungua hao mapacha??

Jeshi la Polisi nao uchunguzi wao usichukue muda.
 
Inafikirisha sana mkuu ila haya mambo ya mauza uza yapo mkuu ,kuna siku nikuwa natazama fainali ya Uefa night kal sna nmetoka usku nikapita maburini ,nikakuta kikundi cha watu wapo uchi , sema nini mkuu kushuhudia haya mambo kuaminika inakuwa ngumu kuna mda inabidi uvunge tu.
Huna akili km unaamini huo ujinga
 
Kaambiwa alete kadi za hao watoto ana kadi moja! Huyoo mama huyo
 
Narudia hujui ulisemalo na Mungu akusamehe
Full stop
Uchawi ni akili yako, ni mind games... alafu wewe inaonekana unaamini sana haya mambo, ni rahisi sana mtu kucheza na akili yako... anakulia taiming unarudi nyumbani anapasua yai mbele yako na kukunyunyizia powder... anaacha karatasi kaandika kama kiarabu kumbe kaandika hata haijulikani...
Kisha anaondoka, cha msingi anahakikisha umemuona, hapo lazima wewe upoteane na unaweza umwa kichwa kabisa sababu ya kuamini..😃😃😃😃
 
Hii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.

Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.

Chanzo: UTV

USSR

----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe


View attachment 2593964
Haya mambo utayasikia kanda ya ziwa tu, sijui shida iko wapi, mambo ya lufikirika mengi huwa yanayokea huko
 
Maeneo ya musoma hasa ukanda wa wazanaki Kuna kitu kinaitwa KITIMBA,kitimba ni watoto wanaozaliwa wakiwa na kasoro za kimaumbile
Kwa Mila za Kule watoto wa namna hiyo ikitokea amezaliwa ktk Kijiji basi anatakiwa kuuwawa haraka sana wanaamini watoto hao huleta mikosi na mabalaa ktk mji aliozaliwa na Kijiji mpaka kata kiujumla.
Ikitokea mmoja wa wazazi amegoma mtoto asiuwawe basi kwanza familia itatengwa na Kijiji kizima, then wazee wa kimira watafanya Kila mbinu ili kumuondoa huyo kitimba eidha kwa kumuiba, kufanya njama za kumuua nk.


Wazee hao wa kimila wanaitwa WANYIKURA(Abhanyikura)
Watoto kuzaliwa na kasoro ya kimabile ni malezi mabovu ya mzazi yaani mama wakati mtoto akiwa tumboni... kama mzazi anatumia kwa wingi pombe, haswa pombe kali na/ au anatumia madawa fulani wakati wa crucial stages za mtoto kukua tumboni zinaathiri maumbile yake... ingia mtandaoni soma kitu wanaita TERATOGENS... utapata picha zaidi...
hivyo hao wanaozaa watoto wenye changamoto, watoto hao ni zao la wao (mama) kukosa kufanya mambo sahihi wakati wa ujauzito... hamna mchawi wala!!
 
Watoto kuzaliwa na kasoro ya kimabile ni malezi mabovu ya mzazi yaani mama wakati mtoto akiwa tumboni... kama mzazi anatumia kwa wingi pombe, haswa pombe kali na/ au anatumia madawa fulani wakati wa crucial stages za mtoto kukua tumboni zinaathiri maumbile yake... ingia mtandaoni soma kitu wanaita TERATOGENS... utapata picha zaidi...
hivyo hao wanaozaa watoto wenye changamoto, watoto hao ni zao la wao (mama) kukosa kufanya mambo sahihi wakati wa ujauzito... hamna mchawi wala!!
Hiyo umeelezea kisayansi lkn wenyewe wanaamini fofauti ndgu
 
Back
Top Bottom