Musoma, Tanzania
Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara
Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata mawe na majabali ya (mawe) kote nchini yaandikwa mwigulu rais ktk ya kampeni za urais 2015.
Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.
Wananchi waliobeba box 5 thamani yake kwa ujumla shilingi 70,000 wanakamatwa na pia wenye magari wanaosafirisha wafanyabiashara hao wadogo nao wanapigwa fani kwa kubeba mizigo hiyo ya abiria mfano box hizo za sabuni.
Kinachowauma ni kuwa jambo hilo haliwatokei wafanyabiashara wakubwa ....
Source : Bongo5
Kumbukumbu za wananchi wa Sirari wakati Mwigulu Nchemba alipotia nia kugombea urais kuelekea uchaguzi 2015
==
Mbele ya Waziri Nchemba Raia mbalimbali wametoa kero zao kwa waziri wa fedha Mwigulu Nchemba ambapo dereva wa taxi amelalamikia kunyimwa leseni na LATRA na kupigwa faini kubwa kila anapokamatwa.
Aidha watu wengine wawili wamelalamikia suala la maafisa wa TRA kuwafukuza raia kwa fuji wakikimbiza magendo hali inayosababisha vifo kwa watu hao.
Raia mwingine amelalamikia fedha za miradi ambazo ni robo ya fedha hizo ndizo hufika kwenye vijiji.
Akijibu kero hizo waziri wa fedha amesema serkali imeyasimia na itayafanyia kazi.
Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara
Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata mawe na majabali ya (mawe) kote nchini yaandikwa mwigulu rais ktk ya kampeni za urais 2015.
Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.
Wananchi waliobeba box 5 thamani yake kwa ujumla shilingi 70,000 wanakamatwa na pia wenye magari wanaosafirisha wafanyabiashara hao wadogo nao wanapigwa fani kwa kubeba mizigo hiyo ya abiria mfano box hizo za sabuni.
Kinachowauma ni kuwa jambo hilo haliwatokei wafanyabiashara wakubwa ....
Source : Bongo5
Kumbukumbu za wananchi wa Sirari wakati Mwigulu Nchemba alipotia nia kugombea urais kuelekea uchaguzi 2015
==
Mbele ya Waziri Nchemba Raia mbalimbali wametoa kero zao kwa waziri wa fedha Mwigulu Nchemba ambapo dereva wa taxi amelalamikia kunyimwa leseni na LATRA na kupigwa faini kubwa kila anapokamatwa.
Aidha watu wengine wawili wamelalamikia suala la maafisa wa TRA kuwafukuza raia kwa fuji wakikimbiza magendo hali inayosababisha vifo kwa watu hao.
Raia mwingine amelalamikia fedha za miradi ambazo ni robo ya fedha hizo ndizo hufika kwenye vijiji.
Akijibu kero hizo waziri wa fedha amesema serkali imeyasimia na itayafanyia kazi.