Musoma: Raia wawatuhumu TRA kugonga raia wakiwa wanafukuza magendo

Musoma: Raia wawatuhumu TRA kugonga raia wakiwa wanafukuza magendo

Musoma, Tanzania

Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara


Source : Bongo5

IMG-20220912-WA0048.jpg
 
Sirari Rorya
Tanzania

MWIGULU : RELI MPYA SGR ITAGARIMU TRILIONI 23 HADI KUMALIZIKA

Waziri aelezea changamoto ya kumaliza miradi mikubwa ikiwemo mradi wa ujenzi wa reli mpya ya SGR. Katika tarakimu 23,000,000,000,000 hivyo hakuna namna lazima kubanana ili miradi hii iishe kwa kuwa haiwezi kuishia Dodoma halafu abiria wapande daladala maana hakuna treni aina ya daladala na hivyo lazima miradi mikubwa iishe ili tupate faida halisi na za kiuchumi yani economic value na value for money maana hata nchi jirani wanakodolea macho mradi wa reli SGR Reli anawafahamisha wakaazi wa Sirari mheshimiwa waziri Mwigulu .


TOKA MAKTABA : SOMA ZAIDI KUHUHU MRADI HUU UJENZI WA RELI MPYA SGR

 
Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata make na majabali ya mawe kote nchini yaandikwa mwigulu ya kampeni za urais 2015.

Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.
Nini hiki mkuu? Sijaelewa
 
Nini hiki mkuu? Sijaelewa

Wananchi wa Sirari wanasema kuwa Mwigulu Nchemba hata majabali pia mawe yalimtambua mwaka 2015.


1663004343232.png




 
Musoma, Tanzania

Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara



Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata make na majabali ya mawe kote nchini yaandikwa mwigulu ya kampeni za urais 2015.

Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.

Wananchi waliobeba box 5 thamani yake kwa ujumla shilingi 70,000 wanakamatwa na pia wenye magari wanaosafirisha wafanyabiashara hao wadogo nao wanapigwa fani kwa kubeba mizigo hiyo ya abiria mfano box hizo za sabuni.

Kinachowauma ni kuwa jambo hilo haliwatokei wafanyabiashara wakubwa ....

Source : Bongo5

Lakini kayakibu yote.
 
Musoma, Tanzania

Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara



Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata mawe na majabali ya mawe kote nchini yaandikwa mwigulu ya kampeni za urais 2015.

Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.

Wananchi waliobeba box 5 thamani yake kwa ujumla shilingi 70,000 wanakamatwa na pia wenye magari wanaosafirisha wafanyabiashara hao wadogo nao wanapigwa fani kwa kubeba mizigo hiyo ya abiria mfano box hizo za sabuni.

Kinachowauma ni kuwa jambo hilo haliwatokei wafanyabiashara wakubwa ....

Source : Bongo5


Kumbukumbu za wananchi wa Sirari wakati Mwigulu Nchemba alipotia nia kugombea urais kuelekea uchaguzi 2015

View attachment 2354863


Kuweka rekodi sawa, Rorya (ilipo Sirari) na Musoma ni wilaya za mkoa wa Mara. Hivyo, waliomtwanga bwana matai maswali ni wakazi wa Sirari, mkoani mara. Musoma hata haihusiki.
 
Kubana matumizi hawa jamaa hawataki kabisa kuliongelea wala kukosa posho, maVX8, safari zisizo na mguso ktk kuongeza tija kazi zao, fenicha ghali za ofisi kiwango cha kile kibanda cha walinzi cha Tshs. Millioni 11
Amekanusha
 
Siku 90 kwa watu 200 ni takriban 4.5 bil. Hii mbali ya gharama ya magari ikijumuisha mafuta na maintainance pamoja na vitendea kazi vingine.
Hiyo yote kutafuta jibu ambalo tayari linajulikana kuwa tozo haitakiwi.
Safi sana Mwigulu. Hakika wewe kweli ni Dr. Wa uchumi.
Amekanusha
IMG-20220912-WA0053.jpg
 
Musoma, Tanzania

Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara



Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata mawe na majabali ya (mawe) kote nchini yaandikwa mwigulu rais ktk ya kampeni za urais 2015.

Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.

Wananchi waliobeba box 5 thamani yake kwa ujumla shilingi 70,000 wanakamatwa na pia wenye magari wanaosafirisha wafanyabiashara hao wadogo nao wanapigwa fani kwa kubeba mizigo hiyo ya abiria mfano box hizo za sabuni.

Kinachowauma ni kuwa jambo hilo haliwatokei wafanyabiashara wakubwa ....

Source : Bongo5


Kumbukumbu za wananchi wa Sirari wakati Mwigulu Nchemba alipotia nia kugombea urais kuelekea uchaguzi 2015

View attachment 2354863

 
January makamba alianzia ziara yake mkoa wa Mara , baada ya mwezi mmoja Kaja mwigulu Nchemba mkoa wa
Mara kunanini?
 
Back
Top Bottom