Musoma: Raia wawatuhumu TRA kugonga raia wakiwa wanafukuza magendo

Sirari Rorya
Tanzania

MWIGULU : RELI MPYA SGR ITAGARIMU TRILIONI 23 HADI KUMALIZIKA

Waziri aelezea changamoto ya kumaliza miradi mikubwa ikiwemo mradi wa ujenzi wa reli mpya ya SGR. Katika tarakimu 23,000,000,000,000 hivyo hakuna namna lazima kubanana ili miradi hii iishe kwa kuwa haiwezi kuishia Dodoma halafu abiria wapande daladala maana hakuna treni aina ya daladala na hivyo lazima miradi mikubwa iishe ili tupate faida halisi na za kiuchumi yani economic value na value for money maana hata nchi jirani wanakodolea macho mradi wa reli SGR Reli anawafahamisha wakaazi wa Sirari mheshimiwa waziri Mwigulu .


TOKA MAKTABA : SOMA ZAIDI KUHUHU MRADI HUU UJENZI WA RELI MPYA SGR

 
Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata make na majabali ya mawe kote nchini yaandikwa mwigulu ya kampeni za urais 2015.

Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata inayofanywa na mamlaka za serikali.
Nini hiki mkuu? Sijaelewa
 
Nini hiki mkuu? Sijaelewa

Wananchi wa Sirari wanasema kuwa Mwigulu Nchemba hata majabali pia mawe yalimtambua mwaka 2015.






 
Lakini kayakibu yote.
 

Kuweka rekodi sawa, Rorya (ilipo Sirari) na Musoma ni wilaya za mkoa wa Mara. Hivyo, waliomtwanga bwana matai maswali ni wakazi wa Sirari, mkoani mara. Musoma hata haihusiki.
 
Kubana matumizi hawa jamaa hawataki kabisa kuliongelea wala kukosa posho, maVX8, safari zisizo na mguso ktk kuongeza tija kazi zao, fenicha ghali za ofisi kiwango cha kile kibanda cha walinzi cha Tshs. Millioni 11
Amekanusha
 
Amekanusha
 
 
January makamba alianzia ziara yake mkoa wa Mara , baada ya mwezi mmoja Kaja mwigulu Nchemba mkoa wa
Mara kunanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…