Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Matusi na mapovu hayakusaidii kitu comrade. Watanzania wanaimani kubwa sana na CCM na watatupa kura nyingi ili tushinde kwa kishindo.

Eti unafanya nini kwenye bandiko langu nakupa za uso ukajiharishie vizuri.
Mkoa mxima wa Mara, Kagera na kigoma tumeishamkataa huyo muuwaji wenu, na hamtaiba walahi tumejipanga labda mkaibe mtwara hiii kanda tunapeana mafunzo Ya kuhakikisha tumekuwa wa kwanza kutetea watanzania hiyo mikoa mingne itaanza baada Ya kuondoa majeshi huko kutuma huku kwetu na hamtaweza
 
Wakuu,

Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.

Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulala kwao mkubwa kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,

Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.

Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."

View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405


--- both of whom treated us--- or both of them treated us ??.
 
Hao watanzania ni wapi? maana naona woote kwenye bandiko langu wanakushushua, wote wanamkataa huyo unaemtetea sasa watanzania wapi? Angalia kwenye fb kura za kiutafiti kila anaeweka bandiko lisu ni asilimia tisini, ingia pia tweeter ya MO uone kaweka Halafu anahoji watanzania inamaana hamtaki magufuli mbona hamlike mnatweeter tu kwa lisu, nenda uona, njooo huku tarime uone wameanza kujifisha wenyewe wale ambao walikuwa na uthubutu wa kumtetea huyo jambaz wenu
Kwaiyo wewe utafiti wako umeishia kwenye social media tu? Sisi tupo field kamanda tunakutana na watu kila siku inayoenda kwa Mungu tunajua ukweli. Ccm bado sana kutoka madarakani.
 
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amekutana na familia ya Hayati Baba wa Taifa huko Mwitongo, sehemu ambayo alizaliwa na kuzikwa

Miongoni mwa wanafamilia waliowakaribisha ni pamoja na Mtoto wa Mwalimu Nyerere, Madaraka

View attachment 1582392

View attachment 1582397

View attachment 1582401

Kupitia Mtandao wa Twitter Lissu ameandika:


Hakuna kitu kizuri maishani kama kuwa na furaha,amani ya moyo hao wote nawaona wanafuraha kutoka moyoni, wale wenye roho ya kutu wanaolazimisha kupendwa huwa wanatukera sana, Machozi ya WATANZANIA sasa yanaenda kufutwa
 
Mkoa mxima wa Mara, Kagera na kigoma tumeishamkataa huyo muuwaji wenu, na hamtaiba walahi tumejipanga labda mkaibe mtwara hiii kanda tunapeana mafunzo Ya kuhakikisha tumekuwa wa kwanza kutetea watanzania hiyo mikoa mingne itaanza baada Ya kuondoa majeshi huko kutuma huku kwetu na hamtaweza
Hizo ni porojo tu comrade wala zisikufanye ukaweweseka sana.
 
Siasa isikitoe katika imani ya ewe Yehodaya,unataka kusema na wewe unaamini katika mizimu?
Hiyo inaitwa kukumbuka shuka kujifunika wakati kumekucha haimusaidii kamtukana sana Nyerere Lisu mzimu wa Nyerere utahakikisha hashindi
 
Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.
hahahaaa.."Baba wa Taifa alizoea vya kunyonga"Tundu Lissu
Hata akilala kaburini kwa baba waTaifa hapati uraisi
 
Tusijilishe upepo jamani ngoma kama ni hivi basi bado imebana, kwa msio fahamu Mwitongo kwa Baba wa Taifa kama jina linavyojiita kwa sasa pamekuwa ni Miuziumsi kwa kizungu na kwa kiswahili ni sehemu ya makumbusho. Hivyo pana hotel na kila kitu ndiyo maana serikali inawahimiza watu wafike pale kwani unakuwa unakumbuka historia ya Tanganyika mpaka Tanzania na mengine pia unaichangia familia ya Mwalimu Nyerere na serikali.

Hivyo mtu yoyote ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania anakaribishwa Mwitongo kama mtalii wa ndani au wanje, na aliyeteuliwa pale ni Madaraka Nyerere yeye anapokea wageni wowote kwa upendo wote, sisi tulikuwepo pale mwezi wa 5 alitupokelewa na Madaraka mwenyewe hanashida. Hivyo hilo kufanya kama mtaji wa kisiasa au kiki naona ni la kilofa kwani kura kama hazikutosha mtasema tumeibiwa, mbona tulipokelewa hata na Madaraka Nyerere nyumbani kwa baba wa taifa.

Namimi nachukuwa fursa hii kuwaambia watanzania kuwa waende Mwitongo pana mambo mazuri ya kujifunza pia pana huduma zote za chakula, kulala na mapumziko kwa mtu binafsi hata familia na hata taasisi pia, ni mahala pazuri sana jitokezeni kama Lisu na wengine ni kwa watanzania wote. Ndiyo maana Lisu alimtukana Nyerere lakini Madaraka anampokea hilo ndilo jukumu alilopewa na familia. Ndiyo maana Lisu amekuwa pale na waandamizi wa chama pamoja na yule Askofu wote wamelala pale kwa ghalama zao Madaraka kaingiza na hili ni zuri kuchangia kwani pia panalipa kodi kwa serikali.
Wewe nawe usilete ujinga wako hapa usifikiri watu wote wajinga kama wewe Watanzania wanajua Mwenyekiti wa CCM na Mgombea wa Urais na waCCM wote watakuwa wamevimba karibu wapasuke kwa Mh. Lissu kulala kwa Mwenyekiti mwanzilishi. Mwenyekiti wa sasa alipokuwa Musoma hakukaribishwa Butiama akaishia kuamru Mama Maria aletwe mjini aongeze namba ya vichwa vya waliohudhuria mkutano wake wa kampeni na Mama akasema ukweli uliowauthi wanaCCM. Mh. Lissu akishinda Uchaguzi atakuwa Rais wa wote pamoja na wa CCM wachache (diehards) watakaobaki baada ya hilo chama kuzikwa rasmi na Mwenyekiti kurudi Chato kuchunga mifugo baada ya Uchaguzi. Looking forward for the day!
 
Wakuu,

Tundu Lissu Siku ya Kuamkia leo alilala nyumbani kwa baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kuombwa na watoto wa Baba wa Taifa.

Watoto hao walijisikia furaha kubwa mno kupata ugeni mzito huo ambao wamesema hawajawahi kupata mgeni wa kulala kwao mkubwa kama Lissu na walijisikia kama wako na Baba yao Mzazi.,

Mmoja wa watoto hao Madaraka Nyerere amesema kuwa hawakuamini kama Lissu angewakubalia ombi lao hilo.

Kwenye Ukurasa wake wa Twitter, Tundu Lissu ameandika "In Mara we'd the honour of spending the night at Mwitongo, the birthplace & resting place of Mwl. J. K. Nyerere. We're privileged to be hosted by Madaraka, one of Mwalimu's sons, his sister Neema & her husband Carlo Giero both of whom treated us to a sumptuous dinner & breakfast."

View attachment 1582402View attachment 1582403View attachment 1582404View attachment 1582405
Cc Barbarosa
 
Ni kweli Magu alisema kuwa Bashiru alikua anauza ndizi sokoni aya niambie wapi tulitaka kufanya kuuza ndizi kwa Bashiru kuwa jambo la kitaifa na kuwatangazia walimwengu? Nyie kulala tu chumbani kwa Madaraka mmeona ni bonge la jambo mnadhani kura tutapigia chumbani kwa Nyerere?
Naibu Mwenyekiti wa CHADEMA kulala kwa Mwenyekiti wa CCM mwanzilishi na kuamka salama kuendelea na shughuli zake Chato isingetokea wasiojulikana wangemalizia kazi walioanza na kuboronga maana bado wapo na wanategea wapate upenyo kukamilisha kazi wakachukue chao kilichobaki.
 
Yan wewe mtoa mada inatuona sisi wte ni mang'ombe

Hiyo mwitongo lodge ndio nyumbani kwa baba wa taifa?

Kua serious mzee mama
 
By the way kwenye hii picha ya mwisho naona Tundu Lisu kasimama na beberu mtoa mada naomba unijuze Beberu huyu ni kutoka ubelgiji au Canada?
 
Hii ni habari mpya na inaweza kuleta maana tofauti, Tundu Lissu mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema kupata mwaliko wa malazi na Chakula cha jioni nyumbani kwa baba wa Taifa Marehemu Nyerere kutoka kwa familia yake.

Lingekuwa jambo LA kawaida kama sio kwa CCM kuigeuza familia ya mwalimu kama Mali ya chama (Party property) na kuhodhi hata mambo yao binafsi.

Sasa Leo Mali ya chama imeamua kumuenzi mpinzani mkuu wa mwenyekiti wao bwana Magufuli na kumpa heshima ya kumwalika kwa upendo wote!

Jee hili linaashiria jambo gani? Nafasi ya ccm katika familia hiyo ndio imepotea? Jee wametabiri kuwa huyo Lissu ndio Rais ajaye au ni muendelezo wa "Mapenzi ya Mungu yatimizwe"?

IMG_20200927_192707.jpg
 
Duuhh.. Familia ya Mwalimu haina ubaguzi kabisa naona Madaraka, Neema kama wamejawa na furaha sana, sasa Lissu aombe msamaha hadharani kwa zile kauli zake kuhusu Mwalimu Nyerere.
 
Back
Top Bottom