Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Huko ni kupuyanga?
 
Lazima atawasumbua tu hao akina nyerere haishi visasi


Hakuna watoto ambao hawajali kama wa Nyerere wao maisha yao ya kawaida ...useme ukiwatesa watakosa kula Pizza ...
Wakati wa Kikwete Makongoro alishughulikiwa sana hadi akakosa ujumbe wa NEC na MWENYEKITI CCM MARA kwa kuwabana mtandao kwenye vikao vya chama , ni mjumbe pekee wa NEC ambaye alikuwa anasimama kumwambia Kikwete ,Lowassa na Rostam ukweli bila kuwaogopa wala kupepesa jicho.
Hata sasa kwenye kamati kuu mjumbe pekee mwenye uwezo wa kumuambia Magufuli ukweli bila kuonyesha kumuogopa au kuogopa atamfukuza ni Makongoro ....hadi kuna siku Magu aliwauliza wasaidizi wake , "...huyu anajiamini na nini ?"
Ujuwe hana shukrani Makongoro na Bulembo ndio watu pekee 2015 walimpigia kampeni nchi nzima wakati ule mgumu . ....safari hii kwa obsession za kina Bashiru na Pole wakawaondoa
 
Mwalimu Nyerere alipinga ubaguzi sana. Lissu ni Mtanzania kama Watanzania wengine
 
Aisee duuuh

Hata hapo CCM nakongoro yupo tu kimwili kiitikadi yule mpinzani kitambo.

Kumbe jamaa wanawazingua sana akina NYERERE
 


JPM alilenga kumdhalilisha Makongoro kwakua anatajwa tajwa kuwa Rais. Jiulize nani aligombea urais na MAGU 2015 hajadhalilishwa kisiasa
 
Mgombea wa Urais wa CHADEMA amelala Nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa

Kwa heshima anayopewa Baba wa Taifa ndani ya CCM na nchi kwa Ujumla hii haina madhara kwa familia na Chama?

Mama Maria alisimamishwa atoe neno kwenye mkutano wa kampeni za CCM.

Akasema hana la kusema yeye kawekwa kuongeza idadi ya watu tu
pale.

Kwa watu tunaojua kusikiliza mtu tulielewa.Kwa mama kama yule aliyeiona historia ya nchi nzima tangu inazaliwa kusema vile, ilikuwa kama anaikosesha radhi CCM.
 
Mgombea wa Urais wa CHADEMA amelala Nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa

Kwa heshima anayopewa Baba wa Taifa ndani ya CCM na nchi kwa Ujumla hii haina madhara kwa familia na Chama?

Pale kuna gesti hata wewe Ukitaka unalala, kwa hiyo hakuna tatizo hapo
 
Hayati baba wa Taifa angekuwa hai leo angekuwa bennet na mzalendo mwenzake Tundu Lissu
 
Andiko zuri nimejifunza mengi hapa.
Nadhani bila blaa blaa CHADEMA ni CHADEMA chenye mikakati na sera nzuri kwa Taifa.
Mfano kuna Bavicha queen..Kuna Bawacha,Bavicha na kuna Baraza la wazee .
Sera zao zinajikita ktk misingi ya utu haki na maendeleo.
Ila CCM na vyombo vya dola zinaona CDM n chama kinachokuja kuahiribu maslahi yao.
 
Mwaka huu magufuli bila kumwaga damu hawezi kutangazwa msindi maana kushindwa ameshashindwa kabla hajaanza
 
Nimeshangaa sana jinsi Abdalla Bulembo alivyo kimya, kama vile sio yeye aliyekuwa kampeni manager wa Magufuli 2015
 
Nimeshangaa sana jinsi Abdalla Bulembo alivyo kimya, kama vile sio yeye aliyekuwa kampeni manager wa Magufuli 2015
Ccm ina vichwa vingi siyo kama chadema kwamba akiondoka Mbowe chama kina kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…