Uchaguzi 2020 Musoma yarindima Lissu akilakiwa kwa Shangwe kubwa, fomu za dhamana zajazwa


Atoke vipi kivipi? Imeisha hiyo ndugu yangu. Nchi tunampa Lissu.
 
Hapa si ndo walimpokea Lowassa kwa kudeki barabara halafu wakampongeza kwa kumpa mbunge wa Ccm?
Mathayo Manyinyi Alikua Timu Lowassa pia na hakufanya kampeni kabisa kwa heshima ya Lowassa.

Nadhani umeshaelewa nachomaanisha
 
Sipati picha Mkuu mkija Kanda ya KASKAZINI watu tumejiandaa kweli kweli

Huku tutagalagala haki ya Mungu. watumishi wa umma ndio tutaongoza kumlaki Mh Rais TL. Tumechoka na hii nchi hakuna mfano. Tumaini letu ni Mh Lissu tu.
 
Hakika huyu mtu ni kipenzi cha watu!

Mwenyezi Mungu na amsimamie,
Viva Lissu
 
Nadhani hapa hata mazwazwa ya mataga yamekuelewa vzr sn.....

Huu ndio ukweli ndicho kilichowachosha watz ndio maana wanataka mabadiriko
 
Nasikia kuwa Lisu alitetea sana Wana Mara na ugomvi wao na wenye migodi ya dhahabu. Lisu inasemekana alikamatwa na kuteswa sana na serikali ya CCM.

Nina imani kuna mtu atakuja kuilezea hii kwa urefu hapa

Jee kuna ukweli??? Kwenu wana Mara
 
Nasikia kuwa Lisu alitetea sana Wana Mara na ugomvi wao na wenye migodi ya dhahabu. Lisu inasemekana alikamatwa na kuteswa sana na serikali ya CCM.

Nina imani kuna mtu atakuja kuilezea hii kwa urefu hapa

Jee kuna ukweli??? Kwenu wana Mara
Ni kweli mkuu..... Kuna thread moja ilipostiwa 2016 inaelezea historia ya Tundu Lissu ukisoma utatamani kulia maana Jamaa anatetea watz na raslimali za nchi tangu akiwa mdogo sana......
 
Hapa usalama.wa Lissu naona unaweza kuwa Finyu. Tafadhalini Watu wa Kitengo ndani ya Chadema hakikisheni hakuna Raia anagusa Mwili wa LISSU by direct contact. Msimwamini mtu yeyote.
 
Ni kweli mkuu..... Kuna thread moja ilipostiwa 2016 inaelezea historia ya Tundu Lissu ukisoma utatamani kulia maana Jamaa anatetea watz na raslimali za nchi tangu akiwa mdogo sana......
ooh sawa sawa
Basi jamaa kajiwekea asset kubwa kweli..ndio maana wamempokea kama mfalme.

Kila la kheri kwake,Hongera wanaMara
 
Mtafurahishwa kama alivyofurahishwa gaddaf. Manina. Ulimwengu mzima unajua sisiemu haikubaliki na rais wenu hakubaliki
 
Jpm mmoja ni Lissu 4
 
Chadema siku wakielewa siasa za Tanzania, ndio tutawapa elimu ya uraia.
 
CCM kupambana kwa hoja na Lissu hawataweza, watakachofanya ni kuangalia namna ya kumwengua kwenye mchakato kwa kutumia vyombo vyao yaani Tume ya uchaguzi mahakama..hii ndiyo the last option aliyonayo kwa sasa.!!

Watu wametendwa sana na hususani wanaccm wenyewe yaani huyu Lissu yupo nyuma na wanaccm wengi sana tena wanaojua siasa. Nadhani kwanza tume ya uchaguzi wawe makini sana .

Pili mkulu amekuwa wa ukanda sana angalia mangosha walivyokula shavu yaaani wa kutosha

Ni mkulu wa kwanza kuweka uwanja wa ndege kwao kama seseseko mabutu alivyofanya na haya wale kindakindaki wanayaona na wanakereka sana.

Kudharau uongozi tangulizi nalo limekuwa jambo lisilo na heshima kabisa.
 
Asante sana makamanda wa Mara!
 
Lowassa hamna kitu pale
... Ha ha ha! Lowassa mhula wote wa kampeni 2015 alikuwa na neno moja ambalo akipanda jukwaani analitamka mara tatu tu na hotuba inakuwa imeisha anasaidiwa kuwaaga wananchi; ELIMU, ELIMU, ELIMU. Kweli hamna kitu pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…