sawa kuridhisha nafsi ni neema piaNipo musoma tena mtaani lakini naona boda boda tu hapa mtaani kwangu pako shwari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa kuridhisha nafsi ni neema piaNipo musoma tena mtaani lakini naona boda boda tu hapa mtaani kwangu pako shwari
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo mjipange kwa hilo "TUMEIBIWA"
Na kwasababu hilo neno tumeisha lisikia mara nyingi.
Sasa uje kivita uone moto wake mpaka mtakaosalimika mtakuwa wakimbizi hapo Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mie Msomali ?Tatizo lako unaongea ukiwa ndani ya chupa...!
Waliyo ndani ya chupa hawawezi kuona dunia ilivyobadilika...
Nchi hii ni ya Watanzania na wakiamua, hawashindwi kitu...!!
HahahaHuoni hiyo picha au umelewa mchana wote huu..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haya bwana lakini ukifatilia nyie watu wa Singida ni wa kuja tu.Eeh, eti nini?
Wewe wasema, inawezekana ni hao...!
Hao ni watu wachache sana hata Diamond pekee anazidi hao akija kupiga mzikiJiwe kajificha anapanga nitoke vipi
Kapilimba alitoa taarifa ya kijasusi kuonyesha Lissu na Zitto ndio wanasiasa wenye ushawishi zaidi
Kuelekea uchaguzi 2020 akaishia kutumbuliwa sasa ndio naelewa kwamba idara ya usalama wa taifa inajuwa nani rais ajaye.
... And the time is now...Time will tell
👍👍Naona mawingu ya kampeni mvua bado
Duh...Ubaguzi Tena?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haya bwana lakini ukifatilia nyie watu wa Singida ni wa kuja tu.
Mie ni miongoni mwa Watz org kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe kajificha anapanga nitoke vipi
Kapilimba alitoa taarifa ya kijasusi kuonyesha Lissu na Zitto ndio wanasiasa wenye ushawishi zaidi
Kuelekea uchaguzi 2020 akaishia kutumbuliwa sasa ndio naelewa kwamba idara ya usalama wa taifa inajuwa nani rais ajaye.