Must see Movies

Must see Movies

Muvi zenye promo sana huwa sio nzuri ila muvi kama hizo za kimyakimya unaweza kurudia hata mara 3 kuiangalia.
Angalia muvi hizi zilizokuwa na promo la kutosha uliangalia mara moja hutamani tena
Avatar
Creed
Operation fortune
Black Adam
N.k

Ila no body
Polar
Salt
Agent 47 unrated
White house down
Lone survivor
Na nyinginezo unaweza kuzirudia

Kweli asee kama hyo black adam nimeona tu trailer lake sijataka poteza mb zangu hizo zingine sio za kuzirudiarudia
 
Hiyo saving private Ryan. Kuna yule shooter anaeitwa pvt Jackson. Mwamba kabla hajamdungua adui, anashusha mstari wa kwenye biblia. Hii movie ilikua na uhalisia sana.

Pale mwanzoni kuna mwanajeshi kapigwa bomu, utumbo umetoka nje kaushikilia analia huku anasema anamtaka mama yake.
Kuna mwana mwingine alipigwa shaba ikadunda kwenye kofia akasema Jesus Luck bastard akaivua kwa wenge akala shaba Sekunde tu[emoji16]
 
Muvi zenye promo sana huwa sio nzuri ila muvi kama hizo za kimyakimya unaweza kurudia hata mara 3 kuiangalia.
Angalia muvi hizi zilizokuwa na promo la kutosha uliangalia mara moja hutamani tena
Avatar
Creed
Operation fortune
Black Adam
N.k

Ila no body
Polar
Salt
Agent 47 unrated
White house down
Lone survivor
Na nyinginezo unaweza kuzirudia
Kama hiyo White House Down sio poa[emoji106]
 
Guardians of the Galaxy vol. 3
Mzigo ushatoka. Ila ni cam version tu. Ipo clean sana ila ina mb za kutosha[emoji16]
Screenshot_20230509-062945.jpg
 
Greenland ya Butler ushaicheki?!
Ninayo yaani nikionaga tu movie ya Butler nadownload kwanza then ntaamua nifute baadae au laa mfano hyo Greenland,Fallen zote, Hunter killer,Plane sijazifuta ila kuna hizi The vanishing,Dean of Thieves, last seen alive,Cop Shop nilivyomaliza niliziona za kawaida nikafuta.
 
Ninayo yaani nikionaga tu movie ya Butler nadownload kwanza then ntaamua nifute baadae au laa mfano hyo Greenland,Fallen zote, Hunter killer,Plane sijazifuta ila kuna hizi The vanishing,Dean of Thieves, last seen alive,Cop Shop nilivyomaliza niliziona za kawaida nikafuta.
Yeah zipo nyingine ni hovyo kwa kweli. Mfano Ritual Killer nae Morgan amecheza!
 
Ayo maneno "One of the best action film in over decade" Hawajakosea kabisa uyo dingi(SAUL GOODMAN) ni anaponda sio kupiga
nimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwais


kumbe ni vile, basi kwangu hamna vipondo humo.
 
nimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwais


kumbe ni vile, basi kwangu hamna vipondo humo.
Inaonrkana hujui vipondo wewe. Huwezi kuroli sarakasi uko ndani ya basi umezungukwa na vibaka. Utakachofanya ni kupiga kwenye maeneo muhimu ili umalize pambano mapema. Kila anayefikiwa na mkono wako inatakiwa ajifikirie mara mbili kabla hajakuvagaa tena.

Nami nakazoa Hiyo muvi inavipondo
 
Inaonrkana hujui viponfo wewe. Huwezi kuroli sarakasi uko ndani ya basi umezungukwa na vibaka. Utakachofanya ni kupiga kwenye maeneo muhimu ili umalize pambano mapema. Kila anayefikiwa na mkono wako inatakiwa ajifikirie mara mbili kabla hajakuvagaa tena.

Nami nakazoa Hiyo muvi inavipondo
[emoji23][emoji23]kwa maelezo haya mafupi lazima aelewe
 
Back
Top Bottom