Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Muvi zenye promo sana huwa sio nzuri ila muvi kama hizo za kimyakimya unaweza kurudia hata mara 3 kuiangalia.
Angalia muvi hizi zilizokuwa na promo la kutosha uliangalia mara moja hutamani tena
Avatar
Creed
Operation fortune
Black Adam
N.k
Ila no body
Polar
Salt
Agent 47 unrated
White house down
Lone survivor
Na nyinginezo unaweza kuzirudia
Kuna mwana mwingine alipigwa shaba ikadunda kwenye kofia akasema Jesus Luck bastard akaivua kwa wenge akala shaba Sekunde tu[emoji16]Hiyo saving private Ryan. Kuna yule shooter anaeitwa pvt Jackson. Mwamba kabla hajamdungua adui, anashusha mstari wa kwenye biblia. Hii movie ilikua na uhalisia sana.
Pale mwanzoni kuna mwanajeshi kapigwa bomu, utumbo umetoka nje kaushikilia analia huku anasema anamtaka mama yake.
Bado mkuuHiyo na polar hazina majina ya kuvutia ila ni muvi nzuri sana. Polar umesha icheki?
Nimeanza kuangalia movie juzijuzi tu[emoji23][emoji23]asee kaka serious hukuiona hii movie
Kama hiyo White House Down sio poa[emoji106]Muvi zenye promo sana huwa sio nzuri ila muvi kama hizo za kimyakimya unaweza kurudia hata mara 3 kuiangalia.
Angalia muvi hizi zilizokuwa na promo la kutosha uliangalia mara moja hutamani tena
Avatar
Creed
Operation fortune
Black Adam
N.k
Ila no body
Polar
Salt
Agent 47 unrated
White house down
Lone survivor
Na nyinginezo unaweza kuzirudia
Oooh okay icho kigongo download wala hutojutia mb's zako.Nimeanza kuangalia movie juzijuzi tu
I'm a very new member
Sijawahi kuiona nimepita nayo apo ngoja ntafute networkKama hiyo White House Down sio poa[emoji106]
Kashushe na hizi pia Olympus has Fallen, Angel has Fallen na London has Fallen huyo babu Morgan Freeman na Gerard Butler movies zao huwa kali sana.Sijawahi kuiona nimepita nayo apo ngoja ntafute networkView attachment 2615143
Hzo Fallen Fallen ninazo zote tatuKashushe na hizi pia Olympus has Fallen, Angel has Fallen na London has Fallen huyo babu Morgan Freeman na Gerard Butler movies zao huwa kali sana.
View attachment 2615149
Greenland ya Butler ushaicheki?!Hzo Fallen Fallen ninazo zote tatu
Ninayo yaani nikionaga tu movie ya Butler nadownload kwanza then ntaamua nifute baadae au laa mfano hyo Greenland,Fallen zote, Hunter killer,Plane sijazifuta ila kuna hizi The vanishing,Dean of Thieves, last seen alive,Cop Shop nilivyomaliza niliziona za kawaida nikafuta.Greenland ya Butler ushaicheki?!
Yeah zipo nyingine ni hovyo kwa kweli. Mfano Ritual Killer nae Morgan amecheza!Ninayo yaani nikionaga tu movie ya Butler nadownload kwanza then ntaamua nifute baadae au laa mfano hyo Greenland,Fallen zote, Hunter killer,Plane sijazifuta ila kuna hizi The vanishing,Dean of Thieves, last seen alive,Cop Shop nilivyomaliza niliziona za kawaida nikafuta.
download porno tu mkuu , kuokoa muda na bando.Naombeni site za kudownload hiz movies.View attachment 2613406
nimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwaisAyo maneno "One of the best action film in over decade" Hawajakosea kabisa uyo dingi(SAUL GOODMAN) ni anaponda sio kupiga
Pirate bay proxyNaombeni site za kudownload hiz movies.View attachment 2613406
Uyo ni dingi so ni ngumu kumuona akiruka mateke ya maana vipondo namaanisha ni vile piga nikupige plus umafia mwinginimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwais
kumbe ni vile, basi kwangu hamna vipondo humo.
Daaah haupo serious mzeenimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwais
kumbe ni vile, basi kwangu hamna vipondo humo.
Inaonrkana hujui vipondo wewe. Huwezi kuroli sarakasi uko ndani ya basi umezungukwa na vibaka. Utakachofanya ni kupiga kwenye maeneo muhimu ili umalize pambano mapema. Kila anayefikiwa na mkono wako inatakiwa ajifikirie mara mbili kabla hajakuvagaa tena.nimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwais
kumbe ni vile, basi kwangu hamna vipondo humo.
[emoji23][emoji23]kwa maelezo haya mafupi lazima aeleweInaonrkana hujui viponfo wewe. Huwezi kuroli sarakasi uko ndani ya basi umezungukwa na vibaka. Utakachofanya ni kupiga kwenye maeneo muhimu ili umalize pambano mapema. Kila anayefikiwa na mkono wako inatakiwa ajifikirie mara mbili kabla hajakuvagaa tena.
Nami nakazoa Hiyo muvi inavipondo