Must see Movies

MB 600 robo saa bdo huo muda unaotumia ni mwingi

yaani unapata average ya MB 1.5 per second

Ama sawa na 12mbps

kawaida sanaa hyo speed ni level ya 3g.
Kwani shida iko wapi?
Huwa una haraka sana na hiyo muvi au? Watu wengi wanadownload movie na kuiangalia baadaye, huwa hawana haraka sana na hawajali muda wa downloading kufikia dakika 15
Sidhani kama muda wa kudownload kuwa mrefu ni shida, tena ukizingatia haifiki hata dakika 30
Au download wakati unaangalia movie, unaacha movie nyingine inadownload kwa background
 
mimi binafsi siwez subiria hta GB 1 kwa dkika 20


nikiwa na airtel hyo GB 1 kwenye uc browser dk 10 nyingi
 
MB 600 robo saa bdo huo muda unaotumia ni mwingi

yaani unapata average ya MB 1.5 per second

Ama sawa na 12mbps

kawaida sanaa hyo speed ni level ya 3g.
Yeah sio mbaya, unakuta kuna kuna downloads hata 4 zinaendelea kwa wakati mmoja means baada ya huo mda nakuwa nimeshusha movies nne, au season nzima!
Na hapo nipo kwenye limited bandwidth sidhan kama ni mbaya mkuu!
 
Habari wakuuu nataka kucheki THE LAST KINGDOM NATAKA SESON 1 NA 2 MWENYE LINK NAOMBA TAFADHALI SANA MKUUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…