Must see Movies

Must see Movies

Hapo kwenye muda mfupi wa mapigano wameendana na uhalisia wa mapigano ya ndege, hayatakiwi kuzidi dakika 5 mkuu, refer kama umeiangalia Ile behind enemy lines ya Owen Wilson Ile scene ya fighter inavokimbizana na makombora. Mda mfupi tu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sawa
Kama mapigano yanapaswa kuwa mafupi basi hizo movie sitakuja kuzielewa. Zaidi nitaziona ni average tu hata wafanye nini [emoji16][emoji16]
I think I like the other tastes more [emoji28][emoji28]
 
Nashangaa kuna mtu anasema eti muvi nzima mtu anakokotwa kwemye mkokoteni [emoji16][emoji16] watu sijui huwa wanaangalua muvi wakiwa wamelewa?
@Mac Alpho rip faza_nelly movie ya The Convenant uzuri wake ni storyline yake ilivyo yaani haichoshi sasa nyie mmeona tu habari ya kukokotwa hamjaona vile Ahmed alivyohustle na mwamba kupita vikwazo mbalimbali vya Talibans.

Pia kabla ya apo kuna kukimbizwa pale wapo wawili tu jamaa wanashuka kilimani hadi mmoja akadrop Riffle yake pia jinsi jamaa alivyompigania jamaa.
 
@Mac Alpho rip faza_nelly movie ya The Convenant uzuri wake ni storyline yake ilivyo yaani haichoshi sasa nyie mmeona tu habari ya kukokotwa hamjaona vile Ahmed alivyohustle na mwamba kupita vikwazo mbalimbali vya Talibans.

Pia kabla ya apo kuna kukimbizwa pale wapo wawili tu jamaa wanashuka kilimani hadi mmoja akadrop Riffle yake pia jinsi jamaa alivyompigania jamaa.
Sisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.

Ukifuatilia wengi hapa kuwauliza hiyo "night agent" inahusu nini utashangaa majibu ya walio wengi. Hiyo COVENANT movie tamu sana. Storyline nzuri na execution nzuri pia.

Ukitaka ngumi nyingi na risasi nyingi zisizo na ulazima angalia movie za kichina, Thailand na the likes
 
Tangu 2023 ianze sijaona Hollywood movie ya maana [emoji23][emoji23]
Nyingi ni average sijui shida ni nini[emoji16][emoji16]
Nimemiss kuona movie kali ya Hollywood. Mbona mwaka jana zilikuwepo nyingi; Uncharted, Sonic the Hedgehog 2, Jurassic world: Dominion, The Bad Guys Animation, Minions: Rise of Gru Animation, Hotel Transylvania: Transformania Animation, The Grayman, Day Shift, Doctor Strange n.k
Ila hii 2023 ni ovyo tu [emoji1781] Kila movie ya Hollywood inayotoka watu wanalalamika haina maajabu [emoji22][emoji22]
Corona iliharibu industry
 
Action za kwenye Day Shift ni za face to face pia story yake ni interesting kwa upande wangu. Pia idea ya vampires naipenda sana, imeinclude comedy ndani yake. All fighting scenes are mind blowing starting with the 1st scene, ile ya yule nigga na old looking vampire (yule bibi), kila kitu kilikuwa unyama sana kwenye ile muvi.

Sasa hiyo Top gun action zake ni za kurusha makombora kutoka kwenye fighting jets, then muvi ikaisha. Mbaya zaidi action zake zipo mwishoni kabisa. Sielewi kwa nini watu wamepagawa nayo [emoji38][emoji38]

Don't get me wrong, Topgun ni movie nzuri kwangu ila sio best. Naiona no average movie

Kama ingekuwa ni rating basi kwangu Day Shift ningeipa 9.1/10 halafu Top gun: Maverick ningeipa 7.2/10
ukishataja tu mambo ya vampires sijui mambo ya midege car racing movies

yaani mie kwa kweli siwez kupenda hata iweje.
 
Ukipata yenye dual ni nzuri kuliko ya subs pekee
mimi nitachukua tu hyo dubbed audio endapo nitakosa eng subtitle ya movie husika

hta kma sielewi lugha ila napenda kusikia watu wakitamka maneno direct

najua wengi inawapa shida kufuatilia movie huku ukisoma subtitle.
 
ukishataja tu mambo ya vampires sijui mambo ya midege car racing movies

yaani mie kwa kweli siwez kupenda hata iweje.
Usiseme hata iweje coz umeshajijengea utamaduni wa kutoziangalia
I'm sure kama umeiona Day Shift usingesema hivi
 
Sisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.

Ukifuatilia wengi hapa kuwauliza hiyo "night agent" inahusu nini utashangaa majibu ya walio wengi. Hiyo COVENANT movie tamu sana. Storyline nzuri na execution nzuri pia.

Ukitaka ngumi nyingi na risasi nyingi zisizo na ulazima angalia movie za kichina, Thailand na the likes

Haya yote ni kwasababu nimeshindwa kukikubali unachokisifia wewe? Mimi naangalia mpaka documentaries, usidhani mimi ni mzee wa kufata ngumi au CD zilizotafsiriwa. Kiswalihili, Kiingereza na Kifaransa sio lugha unazoweza kutamba nazo mbele yangu.😂

Nimeangalia Hollywood movies nyingi sana, mbona siajaja kuziponda hapa?

Ieleweke tu kwamba sioni chochote kikubwa sana kwenye COVENANT kinachostahili hiyo hype mnayotoa (9/10), mzoefu wa movies hawezi kutoa rate ya 9 kwa movie kama covenant.

Nieleweke hivyo.
 
mimi nitachukua tu hyo dubbed audio endapo nitakosa eng subtitle ya movie husika

hta kma sielewi lugha ila napenda kusikia watu wakitamka maneno direct

najua wengi inawapa shida kufuatilia movie huku ukisoma subtitle.

Wewe unawaza kama mimi, nipe subtitles tu then nitaangalia movie ya lugha yoyote ile. Maana kinachotakiwa ni kuelewa story na mtiririko wa matukio.
 
Sisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.

Ukifuatilia wengi hapa kuwauliza hiyo "night agent" inahusu nini utashangaa majibu ya walio wengi. Hiyo COVENANT movie tamu sana. Storyline nzuri na execution nzuri pia.

Ukitaka ngumi nyingi na risasi nyingi zisizo na ulazima angalia movie za kichina, Thailand na the likes
Hapana sio kweli
Hata Watz tunajali story na siku hizi lugha sio tatizo kwa watu wengi. Naona watu wengi wanajua English
Wasiojua English wanaangalia hata movie za kutafsiriwa ili waelewe story.
Muvi kama ni mbaya, itabaki kuwa mbaya tu
 
Hapana sio kweli
Hata Watz tunajali story na simu hizi lugha sio tatizo kwa watu wengi. Naona watu wengi wanajua English
Wasiojua English wanaangalia hata movie za kutafsiriwa ili waelewe story.
Muvi kama ni mbaya, itabaki kuwa mbaya tu

Sio kwa ubaya mkuu, ila katika kitu ambacho siwezi kukaa kuangalia basi ni movie iliyotafsiriwa, jamaa huwa ni waongo sana aiseeh😂.
 
Sio kwa ubaya mkuu, ila katika kitu ambacho siwezi kukaa kuangalia basi ni movie iliyotafsiriwa, jamaa huwa ni waongo sana aiseeh[emoji23].
Hata Mimi siwezi kuangalia movie iliyotafsiriwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila naamini kuna Watz wanaangalia za kutafsiriwa. Mi chimbo langu ni Netnaija. Lugha yoyote ile ila cha msingi iwe na subtitles [emoji28][emoji28]
 
Action za kwenye Day Shift ni za face to face pia story yake ni interesting kwa upande wangu. Pia idea ya vampires naipenda sana, imeinclude comedy ndani yake. All fighting scenes are mind blowing starting with the 1st scene, ile ya yule nigga na old looking vampire (yule bibi), kila kitu kilikuwa unyama sana kwenye ile muvi.

Sasa hiyo Top gun action zake ni za kurusha makombora kutoka kwenye fighting jets, then muvi ikaisha. Mbaya zaidi action zake zipo mwishoni kabisa. Sielewi kwa nini watu wamepagawa nayo [emoji38][emoji38]

Don't get me wrong, Topgun ni movie nzuri kwangu ila sio best. Naiona no average movie

Kama ingekuwa ni rating basi kwangu Day Shift ningeipa 9.1/10 halafu Top gun: Maverick ningeipa 7.2/10
Kwaiyo kwako Day shift ni bora kuliko Top gun kwa sababu ya wingi wa action scene
 
Kwa wanaopenda ujasusi huu mzigo ni noma sana
Screenshot_20230612_183046_OnStream.jpg
 
Kwaiyo kwako Day shift ni bora kuliko Top gun kwa sababu ya wingi wa action scene
I mean ni better than Top gun because it's more interesting
Day Shift ni more interesting than Top gun. Kuliko kunihoji sababu moja moja ni heri nije kwenye conclusion

DAY SHIFT na TOP GUN ni MBINGU na ARDHI kwa upande wangu.
Day Shift iko poa kuliko Top gun. That's it
 
Back
Top Bottom