Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
SawaHapo kwenye muda mfupi wa mapigano wameendana na uhalisia wa mapigano ya ndege, hayatakiwi kuzidi dakika 5 mkuu, refer kama umeiangalia Ile behind enemy lines ya Owen Wilson Ile scene ya fighter inavokimbizana na makombora. Mda mfupi tu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
@Mac Alpho rip faza_nelly movie ya The Convenant uzuri wake ni storyline yake ilivyo yaani haichoshi sasa nyie mmeona tu habari ya kukokotwa hamjaona vile Ahmed alivyohustle na mwamba kupita vikwazo mbalimbali vya Talibans.Nashangaa kuna mtu anasema eti muvi nzima mtu anakokotwa kwemye mkokoteni [emoji16][emoji16] watu sijui huwa wanaangalua muvi wakiwa wamelewa?
Sisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.@Mac Alpho rip faza_nelly movie ya The Convenant uzuri wake ni storyline yake ilivyo yaani haichoshi sasa nyie mmeona tu habari ya kukokotwa hamjaona vile Ahmed alivyohustle na mwamba kupita vikwazo mbalimbali vya Talibans.
Pia kabla ya apo kuna kukimbizwa pale wapo wawili tu jamaa wanashuka kilimani hadi mmoja akadrop Riffle yake pia jinsi jamaa alivyompigania jamaa.
mimi movie napenda zaidi kusikia zile direct speech za wahusika kuliko hzo dubbed audioNdio hiyo. Ila ukiichukua netnaija inakuja na dual audio utaweza kuitizama na kusikiliza lugha ya kingereza safi kabisaView attachment 2654342
Corona iliharibu industryTangu 2023 ianze sijaona Hollywood movie ya maana [emoji23][emoji23]
Nyingi ni average sijui shida ni nini[emoji16][emoji16]
Nimemiss kuona movie kali ya Hollywood. Mbona mwaka jana zilikuwepo nyingi; Uncharted, Sonic the Hedgehog 2, Jurassic world: Dominion, The Bad Guys Animation, Minions: Rise of Gru Animation, Hotel Transylvania: Transformania Animation, The Grayman, Day Shift, Doctor Strange n.k
Ila hii 2023 ni ovyo tu [emoji1781] Kila movie ya Hollywood inayotoka watu wanalalamika haina maajabu [emoji22][emoji22]
ukishataja tu mambo ya vampires sijui mambo ya midege car racing moviesAction za kwenye Day Shift ni za face to face pia story yake ni interesting kwa upande wangu. Pia idea ya vampires naipenda sana, imeinclude comedy ndani yake. All fighting scenes are mind blowing starting with the 1st scene, ile ya yule nigga na old looking vampire (yule bibi), kila kitu kilikuwa unyama sana kwenye ile muvi.
Sasa hiyo Top gun action zake ni za kurusha makombora kutoka kwenye fighting jets, then muvi ikaisha. Mbaya zaidi action zake zipo mwishoni kabisa. Sielewi kwa nini watu wamepagawa nayo [emoji38][emoji38]
Don't get me wrong, Topgun ni movie nzuri kwangu ila sio best. Naiona no average movie
Kama ingekuwa ni rating basi kwangu Day Shift ningeipa 9.1/10 halafu Top gun: Maverick ningeipa 7.2/10
Ukipata yenye dual ni nzuri kuliko ya subs pekeemimi movie napenda zaidi kusikia zile direct speech za wahusika kuliko hzo dubbed audio
as long as iwe na English subtitles tu.
mimi nitachukua tu hyo dubbed audio endapo nitakosa eng subtitle ya movie husikaUkipata yenye dual ni nzuri kuliko ya subs pekee
Usiseme hata iweje coz umeshajijengea utamaduni wa kutoziangaliaukishataja tu mambo ya vampires sijui mambo ya midege car racing movies
yaani mie kwa kweli siwez kupenda hata iweje.
Sisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.
Ukifuatilia wengi hapa kuwauliza hiyo "night agent" inahusu nini utashangaa majibu ya walio wengi. Hiyo COVENANT movie tamu sana. Storyline nzuri na execution nzuri pia.
Ukitaka ngumi nyingi na risasi nyingi zisizo na ulazima angalia movie za kichina, Thailand na the likes
mimi nitachukua tu hyo dubbed audio endapo nitakosa eng subtitle ya movie husika
hta kma sielewi lugha ila napenda kusikia watu wakitamka maneno direct
najua wengi inawapa shida kufuatilia movie huku ukisoma subtitle.
Hapana sio kweliSisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.
Ukifuatilia wengi hapa kuwauliza hiyo "night agent" inahusu nini utashangaa majibu ya walio wengi. Hiyo COVENANT movie tamu sana. Storyline nzuri na execution nzuri pia.
Ukitaka ngumi nyingi na risasi nyingi zisizo na ulazima angalia movie za kichina, Thailand na the likes
Hapana sio kweli
Hata Watz tunajali story na simu hizi lugha sio tatizo kwa watu wengi. Naona watu wengi wanajua English
Wasiojua English wanaangalia hata movie za kutafsiriwa ili waelewe story.
Muvi kama ni mbaya, itabaki kuwa mbaya tu
Hata Mimi siwezi kuangalia movie iliyotafsiriwa [emoji23][emoji23][emoji23]Sio kwa ubaya mkuu, ila katika kitu ambacho siwezi kukaa kuangalia basi ni movie iliyotafsiriwa, jamaa huwa ni waongo sana aiseeh[emoji23].
Kwaiyo kwako Day shift ni bora kuliko Top gun kwa sababu ya wingi wa action sceneAction za kwenye Day Shift ni za face to face pia story yake ni interesting kwa upande wangu. Pia idea ya vampires naipenda sana, imeinclude comedy ndani yake. All fighting scenes are mind blowing starting with the 1st scene, ile ya yule nigga na old looking vampire (yule bibi), kila kitu kilikuwa unyama sana kwenye ile muvi.
Sasa hiyo Top gun action zake ni za kurusha makombora kutoka kwenye fighting jets, then muvi ikaisha. Mbaya zaidi action zake zipo mwishoni kabisa. Sielewi kwa nini watu wamepagawa nayo [emoji38][emoji38]
Don't get me wrong, Topgun ni movie nzuri kwangu ila sio best. Naiona no average movie
Kama ingekuwa ni rating basi kwangu Day Shift ningeipa 9.1/10 halafu Top gun: Maverick ningeipa 7.2/10
ngoja nijaribu nione kma kUsiseme hata iweje coz umeshajijengea utamaduni wa kutoziangalia
I'm sure kama umeiona Day Shift usingesema hivi
I mean ni better than Top gun because it's more interestingKwaiyo kwako Day shift ni bora kuliko Top gun kwa sababu ya wingi wa action scene
Hii ni site gani? Kama hautojali nisogezee link.Kwa wanaopenda ujasusi huu mzigo ni noma sana View attachment 2655128