mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Yes ni tcl mkuu smart androidTV gani hii mkuu ni tcl??
Embu nipe maelezo badae nikifika home nijaribu kuinstallInafanya mkuu ila inahitaji elimu kidogo kuinstall kwenye tv.
Naomba nitag kwenye hiyo post yenye hiyo program mkuu
Ukichagua quality itakuletea option ya kuchagua subtitles then utadownload unatakiwa uwe na application ya SPLAYER
Mkuu maelekezo kidogo umefanyaje jinsi hiyo,Uliyopost hii program ubarikiwe sana now maenjoy ipo very smooth kwenye tv.umenifanya mpaka niende simba net kupata unlimited internet View attachment 2659135
Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
Tenet na ujanja wangu wote sikuilewa aiseeIyo Tenet utulize akili tofauti na hivyo utatoka apeche alolo yaani mweupe kabisa usielewe kitu.
Mzigo naona upo hewani tayari, hadi Netnaija upooooSasa kwakuwa niliangalia extractiom 1 na muda umeenda sana ngoja niipakue hii part 1 niirudie kwanza wakati tunasubiri hao marafiki zetu wezi watufanyie wepesi
Ha ha ha haSasa kama Actor mmojawapo wa hyo movie amesema maneno ayo we unafikiri kuna nini apo kinaendelea kama sio kurudishwa darasani kusoma Mathematics [emoji28][emoji23]View attachment 2656493
Ok.kuna option mbili jinsi ya kuinstall kwa tv.ila kabla ya yote make sure umeinstall onstream apk kwenye simu yako..then ingia playstore ya smart tv yako download na install program zifuatazoEmbu nipe maelezo badae nikifika home nijaribu kuinstall
Option no 2 ni kwa kutumia usb flash .unaingiza apk unayotaka kwenye flash yako the unachomeka kwa tv then utaingia kwenye SAFETY GUARD ingia 'App Manager' then utaclick hapo kwenye installation na utaiona flash yako na ukiclick flash ndani utaona apk zako.kila la kheriiiiiii.Embu nipe maelezo badae nikifika home nijaribu kuinstall
Nishaweka procces mkuu juu hapo.thanks sana ubarikiweMkuu hiyo app mimi ndo nilicommend hapa jukwaani ila mimi niliweka kwa simu sikujua kama inafanya kazi kwenye TV , kwahiy process ni zilezile kama za kwenye simu ???
ina version ya TV na simuMkuu hiyo app mimi ndo nilicommend hapa jukwaani ila mimi niliweka kwa simu sikujua kama inafanya kazi kwenye TV , kwahiy process ni zilezile kama za kwenye simu ???
kwangu sio hatari sanaaaWazee wa Horror huu mzigo hatari sana.
EVIL DEAD RISE (2023)View attachment 2659509
nilihisi tu tcl ndo nafikiri ndo mchina pekee anayekuwekea pure android TV kwnye hzi TV za low budgetYes ni tcl mkuu smart android
kabla huja install hyo app kwnye TV yakoMkuu maelekezo kidogo umefanyaje jinsi hiyo,
Daaah mwenyewe nilikuwa sijui hii kitu..ila tcl ipo vzr sana.mtu akikosa samsung basi namshauri abebe hii kitunilihisi tu tcl ndo nafikiri ndo mchina pekee anayekuwekea pure android TV kwnye hzi TV za low budget
ila wengi waliobaki wanakuwekea ile android ya simu kwnye TVs zao
ambayo kimsingi haiko well optimized na TV kwnye user interface
ndo yale unakuta TV kufungua app tu ina load mwaka mzima
trust me hao wanaotaka kutumia hyo onstream kwnye tv kma wewe
kma hawana TVs zenye android TV za kweli
nakuhakikishia hawatopata experience nzuri kama uipatayo wewe kwnye tcl.
Hii ni ya kawaida sana mkuu.Wazee wa Horror huu mzigo hatari sana.
EVIL DEAD RISE (2023)View attachment 2659509