Must see Movies

Must see Movies

Mkuu hiyo app mimi ndo nilicommend hapa jukwaani ila mimi niliweka kwa simu sikujua kama inafanya kazi kwenye TV , kwahiy process ni zilezile kama za kwenye simu ???
 
Sasa kwakuwa niliangalia extractiom 1 na muda umeenda sana ngoja niipakue hii part 1 niirudie kwanza wakati tunasubiri hao marafiki zetu wezi watufanyie wepesi
Mzigo naona upo hewani tayari, hadi Netnaija upoooo
 
Mzigo umeshatoka
Screenshot_20230616-122633.jpg
 
Embu nipe maelezo badae nikifika home nijaribu kuinstall
Ok.kuna option mbili jinsi ya kuinstall kwa tv.ila kabla ya yote make sure umeinstall onstream apk kwenye simu yako..then ingia playstore ya smart tv yako download na install program zifuatazo
inaitwa 'send files to tv' ipo hivi na nyingine inaitwa 'FX'.kisha utadownlod tena kwenye simu yako apk ya 'send files to tv'.

Then nenda kwende smart tv yako fungua ile apk yetu ya send files to tv utaclick kwenye neno receive nenda kwenye simu yako pia fungua hiyo apk na click neno send.kule kwenye simu yako utaitafuta apk unayoitaka na kuituma kwenye tv yako.ikishaingia utafungua ile Apk ya Fx utaikuta ile apk kwenye file la download, then utaclick install na utakuwa umemaliza kazi.kila la kheri.kwa njiaa hii utaweza send file lolote lile kwenye tv yako .
 

Attachments

  • 16869062241207382277258972410995.jpg
    16869062241207382277258972410995.jpg
    487.1 KB · Views: 20
  • 1686906456675499516422947332861.jpg
    1686906456675499516422947332861.jpg
    456.6 KB · Views: 16
  • 16869069660893947611773307444124.jpg
    16869069660893947611773307444124.jpg
    179.7 KB · Views: 15
  • 16869074441511828033739876825729.jpg
    16869074441511828033739876825729.jpg
    400.4 KB · Views: 19
  • 1686907591771476745791512601434.jpg
    1686907591771476745791512601434.jpg
    369.8 KB · Views: 15
Embu nipe maelezo badae nikifika home nijaribu kuinstall
Option no 2 ni kwa kutumia usb flash .unaingiza apk unayotaka kwenye flash yako the unachomeka kwa tv then utaingia kwenye SAFETY GUARD ingia 'App Manager' then utaclick hapo kwenye installation na utaiona flash yako na ukiclick flash ndani utaona apk zako.kila la kheriiiiiii.
 

Attachments

  • 16869079612266081024491306030200.jpg
    16869079612266081024491306030200.jpg
    542.5 KB · Views: 20
  • 16869081708464996855526572493273.jpg
    16869081708464996855526572493273.jpg
    451 KB · Views: 12
  • 16869083721787941362376626681351.jpg
    16869083721787941362376626681351.jpg
    493.1 KB · Views: 19
  • 16869085280246136387925887081430.jpg
    16869085280246136387925887081430.jpg
    539.3 KB · Views: 15
Mkuu hiyo app mimi ndo nilicommend hapa jukwaani ila mimi niliweka kwa simu sikujua kama inafanya kazi kwenye TV , kwahiy process ni zilezile kama za kwenye simu ???
ina version ya TV na simu

so kma unapeleka kwa TV chagua version ya tv
 
Yes ni tcl mkuu smart android
nilihisi tu tcl ndo nafikiri ndo mchina pekee anayekuwekea pure android TV kwnye hzi TV za low budget

ila wengi waliobaki wanakuwekea ile android ya simu kwnye TVs zao

ambayo kimsingi haiko well optimized na TV kwnye user interface

ndo yale unakuta TV kufungua app tu ina load mwaka mzima

trust me hao wanaotaka kutumia hyo onstream kwnye tv kma wewe

kma hawana TVs zenye android TV za kweli

nakuhakikishia hawatopata experience nzuri kama uipatayo wewe kwnye tcl.
 
nilihisi tu tcl ndo nafikiri ndo mchina pekee anayekuwekea pure android TV kwnye hzi TV za low budget

ila wengi waliobaki wanakuwekea ile android ya simu kwnye TVs zao

ambayo kimsingi haiko well optimized na TV kwnye user interface

ndo yale unakuta TV kufungua app tu ina load mwaka mzima

trust me hao wanaotaka kutumia hyo onstream kwnye tv kma wewe

kma hawana TVs zenye android TV za kweli

nakuhakikishia hawatopata experience nzuri kama uipatayo wewe kwnye tcl.
Daaah mwenyewe nilikuwa sijui hii kitu..ila tcl ipo vzr sana.mtu akikosa samsung basi namshauri abebe hii kitu

Sent from my LYA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom