Nilijikuta namwaga chozi bila kupenda....
Mkuu Katavi kumbe na wewe ni kijana wa sasa, naona upoupo sana kwenye muvies...I like that..Bruce Willis huwa hakoseagi huyu actor..i have to watch thissio ya wasouth korea hiyo. Ni ya kivita inahusu mauaji na ubakaji katika vita ya wenyewe kwa wenyewe katika bara la Africa. Usipolia wewe mgumu. Itafute hutajuta kuiangalia. Humo ndani yupo Bruce Willis na wengineo.
Kati ya top 3 ya movies kali nilizowahi kuziona hii inashika namba moja......
mkuu hiyo the following imeshatoka season two?
SWALLOW THE SUN,
BRIDAL MARSK,
A MAN CALLED GOD,
CITY HUNTER,
ATHENA.
Waisema tears of the sun ama.....?
Hii muvi hapana, kuna ile ya mapanki-DARWIN NIGHTMARE (TZ) ulisha iona?
Mkuu Katavi kumbe na wewe ni kijana wa sasa, naona upoupo sana kwenye muvies...I like that..Bruce Willis huwa hakoseagi huyu actor..i have to watch this
Pamoja mkuu...Ha ha ha haaah!! Mkuu mimi ni kijana wa sasa haswaa, itafute aisee hiyo tears of the sun uone namna Bruce Willis alivyocheza.
mkuu cheki na Breaking Bad...ni bonge la series lazima utaipenda...
Kuna hii mpya Banshee noma sana haichoshi bonge la story...action