Must see Movies

Must see Movies

haahaahaa Sawyer anytime yy ni son of bitch
Jamaa lilikuwa korofi balaa na likasababisha kuchukiwa na wenzake kimtindo. Lilikuwa linajiamini na halikumkubali Jack kabisa kuwa kiongozi wao.
 
Defiance.
Continuum.
The following.
Zero hour.
Hannibal.
Da vinci's demons.
Hemlock groove.
Last resort.
African.
Nashville.
Happy endings.
Lost girl.
Warehouse 13
Homeland.
The american dreams.
Shameless.
Cult.
A gifted man
Blue bloods
The mentalist
Undercover boss
The amazing race
Crossing line,
return of iljimae
The tommorows people
twisted
Gu family book
The newsroom
Unforgettable
Perception
The great escape
American dad
Futurama
Weeds
Top gear
Dracula
The tommorow people
Reign
The voice
Grimm
Ironside
Played
The Goldbergs

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

mkuu hiyo the following imeshatoka season two?
 
Tears of the sun unaweza ukalia.

Nimejaribu kuitafuta hii nimeikosa ni ya wasouth korea ama?maana me sipend za kizungu nawapenda sana hawa wa south korea wanatisha lol na napenda za kusikitisha mpaka nilie
 
Nimejaribu kuitafuta hii nimeikosa ni ya wasouth korea ama?maana me sipend za kizungu nawapenda sana hawa wa south korea wanatisha lol na napenda za kusikitisha mpaka nilie
Muvi imefanyikia NIGER, inaelezea makomando wa USA na vita iliokuwa inaendelea eneo lile la NIGER, kilichopo humo ndani ni utata mtupu na huwezi amini dah........., ni nzuri kwa kweli, nnayo kwenye pc yangu.
 
Mwenye list ya picha kali za hawa wa south Korea anipatie ukiondoa
IRIS
CITY HUNTER
CRUSH THE COCKROACH
A MOMENT TO REMEMBER
MEMORIES OF MURDER
BAD
MY SASSY GIRL
GODDES OF THE WAR
THE CHASER
OLD BOY
MAN CALLED GOD........AMBAYO SIJAITAJA YA ACTIONS YENYE KUHUZUNISHA SANA NA KUKUFANYA ULIE AORODHESHE
 
Nimejaribu kuitafuta hii nimeikosa ni ya wasouth korea ama?maana me sipend za kizungu nawapenda sana hawa wa south korea wanatisha lol na napenda za kusikitisha mpaka nilie
sio ya wasouth korea hiyo. Ni ya kivita inahusu mauaji na ubakaji katika vita ya wenyewe kwa wenyewe katika bara la Africa. Usipolia wewe mgumu. Itafute hutajuta kuiangalia. Humo ndani yupo Bruce Willis na wengineo.
 
Muvi imefanyikia NIGER, inaelezea makomando wa USA na vita iliokuwa inaendelea eneo lile la NIGER, kilichopo humo ndani ni utata mtupu na huwezi amini dah........., ni nzuri kwa kweli, nnayo kwenye pc yangu.
Kati ya top 3 ya movies kali nilizowahi kuziona hii inashika namba moja......
 
Mwenye list ya picha kali za hawa wa south Korea anipatie ukiondoa
IRIS
CITY HUNTER
CRUSH THE COCKROACH
A MOMENT TO REMEMBER
MEMORIES OF MURDER
BAD
MY SASSY GIRL
GODDES OF THE WAR
THE CHASER
OLD BOY
MAN CALLED GOD........AMBAYO SIJAITAJA YA ACTIONS YENYE KUHUZUNISHA SANA NA KUKUFANYA ULIE AORODHESHE
Zile zinazoonyeshwa katika tv chaneli za bongo kama Jumong n.k huzipendi?
 
sio ya wasouth korea hiyo. Ni ya kivita inahusu mauaji na ubakaji katika vita ya wenyewe kwa wenyewe katika bara la Africa. Usipolia wewe mgumu. Itafute hutajuta kuiangalia. Humo ndani yupo Bruce Willis na wengineo.

Ahsante mkuu Ngoja niitafute
 
Back
Top Bottom