Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
Asante kwa kuifufua hii rafiki...Hi Team,
Naona ukumbi umepoa sana....
Wapi <b><a rel="nofollow" href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=1397" target="_blank">BAK</a></b>, <b><a rel="nofollow" href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=66516" target="_blank">beli</a></b>ndJacob, <b><a rel="nofollow" href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=19087" target="_blank">Fixed Point</a></b> et al;
Naomba this Friday, tujitahidi kucheki hii kitu.
[video]http://www.imdb.com/title/tt0831387/?ref_=ttmd_md_nm[/video]
Asante kwa kuifufua hii rafiki...
A monster!!!!!! siwapendagi hao majamaa jamani
rafiki wewe kaione tu, mimi hapana kwa kweliWakuu Fixed Point na jouneGwalu mimi pia si mpenzi wa hizi monsters movies, kwa kweli sijawahi kuona hata movie moja ya monsters lakini hii safari hii baada ya kuiona trailer yake imenivutia na hivyo nitaenda kuiona kesho.
Wakuu Fixed Point na jouneGwalu mimi pia si mpenzi wa hizi monsters movies, kwa kweli sijawahi kuona hata movie moja ya monsters lakini hii safari hii baada ya kuiona trailer yake imenivutia na hivyo nitaenda kuiona kesho.
rafiki wewe kaione tu, mimi hapana kwa kweli
Kaka, nakushauri kama hujaenda usiende aisee...
Ni movie mbaya sana...
Nimekuwa disappointed sana siku niliyoingia kuchek hiyo kitu,
Kwa mara ya kwanza nimesinzia theater !
Sijui nini kimetokea kwenye movie hii ila ni wazi director na team yake walipoteza focus.
Nimechukia kweli aisee
ha haaa, pole sana.Mhhh we ndio umeroga mpaka hii movie haijawa nzuri jamani...
Yaani Fixed Point hadi nikakukumbuka....
Ndio movie mbaya kukutana nayo cinema toka uanze mwaka huu kwangu...
BAK ungekuwa unaweka na jina la movie kwenye hizo trailer zako, mara nyingi kama hivi naku job so hapa wanafunga Youtube sites zote hivyo nakuwa sijui ni trailer gani hasa.
Ila ukiweka jina la trailer inakuwa rahisi kuchek kwa mitandao mingine.
Yah, imepigiwa debe sana!!
Ila rating za awali zilikuwa 9.3 mpaka saiv ni 7.5 na nadhani itazidi kushuka!!
Hilo la kushuka katika ratings ni kweli lakini nahisi hii inaweza kabisa kuingiza hadi $500 million kabla ya mwisho wa mwezi ujao. Na bajeti yao ni $160 million
Hahahah pole mkuu! Movie za namna hii mie hunipati hata kwa vipi!Kaka, nakushauri kama hujaenda usiende aisee...
Ni movie mbaya sana...
Nimekuwa disappointed sana siku niliyoingia kuchek hiyo kitu,
Kwa mara ya kwanza nimesinzia theater !
Sijui nini kimetokea kwenye movie hii ila ni wazi director na team yake walipoteza focus.
Nimechukia kweli aisee