Must see Movies

Must see Movies

yani huwezi amini Nmeiangaliaga kwa utulivu sana ...Thomas ni mtu mpambanaji sana hakati tamaa haonyeshi hisia zake kirahisi ila ana mengi ameyabeba ndio mana mwanzoni kabisa Grace anamwambia nikikuimbia wimbo utakuumiza moyo, Ye akamjibu ""Already broken" na Shelby's huwa hawana shida na mtu asie na shida na wao pia sio kwamba ni genge la wanyaaama hapana
wamebalance utu na unyama.. ni watu wenye mikakati hawafanyi fanyi tu Tom anafanya kazi
Tommy ndio tafsir halisi ya mastermind.
 
View attachment 2513318

HEY YOU

Mwamba ni Software Engineer kutokana na shughuri zake anatumia muda mwingi Sana kazini na nyumbani kushinda na kumpyuta Hali inayomfuanya awe mpweke zaidi na ukizingatia hana mpenzi ataweza mpa kampani, kutokana na haali hio inamfanya jamaa kujiunga na mitandaoni ya kijamii ya kufanya mapenzi Mtandaoni yaani una login unachekiana na Mwanamke yeye yupo kwake na wewe upo kwako munafanya mapenzi kwa video charting

Siku moja akiwa anaendelea kufanya vedio Sex na Manzi mmoja ghafra Connection inakata Mwamba akiwa yupo High hivyo anachukia ila mda huohuo Kama dakika 15 mlango wake unagonga akifungua anakutana na Manzi mmoja Pisi kali Manzi anamuomba msaada Mwamba kuchaji PC yake na kumwambia yeye Ni jirani yake kwenye appartment hiohio hapo tu Next Door...Manzi alivyonigia ndani akaomba aende chooni mala Mwamba anaonaa text na picha ya yule Manzi alikuwa akisex nae Mtandaoni akimwambia WAIT mtandao kumbe bila kujua huyu Manzi aliyekuja kuchaji PC ndiye yuoe Manzi anaye sex nae mtaandaoni na lengo la kuja pale geto kuchaji hili akaendelee na pale walipoishi lakini wote hawajuani kwamba ndio wakule Mtandaoni kisanga maana huu nfio unakuwa mwanzo wa ukaribi na kuanza mahusiano ya kimapenzi bila ya kujuana ndio hao huwa wanafanya sex Mtandaoni....

Mzigo ninao pia Nina mizigo mingine mipya ya mwaka huu
1)PLANE ya Gerald Butcher
2)Megan (Horror)
3)True Spirit
4)Baby Ruby
5)Infesto (Crime Scine)

Nicheki PM nakuwekea Movie zaidi ya 200 kwa 9,000 tu
Unaishi wapi?
 
Yani katika Movie zote hapo sijaangalia
ila naona hamnaga kitu kama Peaky Blinders, pia kwakua ni ya waingereza hawanaga sana ule usela mavi mavi
Cilian Murphy ameitendea haki sana nafasi yake zaidi ya sanaa, Yani Thomas ni mtu fulani makini sana
Peaky blinders ni hatari Sana, sema Kuna scenes ziliniuma, vipi umeangalia blacklist ?? princess ariana
 
Mkuu mbona sijajua Hilo, maana niliona walianza kushoot tu[emoji848][emoji848]
Netnaija ipo. Hizi episode zake.
Screenshot_20230304-125253.jpg
 
Squid Game yenyewe sijawahi kuiona na hata mpango sina[emoji1][emoji1] hizi movie zinazo trend sana huwa zinanikataga sana mood
Hata wakanda ilinichukuaga miaka 2 ndio nikaiangalia..
SQUID GAME
LA CASA DE PAPEL
GAME OF THRONE
Empire

Nakosaga mood kabisa
Mimi sasa ndio huwa sishawishiki na Filamu zinazoshika vichwa vya habari mfano tu hiyo GAME OF THRONES mpaka Leo hata trailer tu sijawahi fuatilia.
Black Panther ya kwanza nimeiona mwaka Jana, tena baada ya mdogo angu kuja nayo Ghetto alikuwa anatizama, hii ya Pili nilikuwa nina mpango nayo ila baada ya Introsagvert kusema kuna Character wana mabawa miguuni nishapuuzia [emoji23].

Ujue Filamu kama hizo zinaumiza moyo sana unapokuwa ushajiandaa kwamba nacheck bonge la filamu, ila unachoenda kukutana nacho ni tofauti na ulichosimuliwa yani ni zile filamu zinapakwa asali nyingi kama Lugha za vijana wa Dar es salaam [emoji1787][emoji23].
 
Mimi sasa ndio huwa sishawishiki na Filamu zinazoshika vichwa vya habari mfano tu hiyo GAME OF THRONES mpaka Leo hata trailer tu sijawahi fuatilia.
Black Panther ya kwanza nimeiona mwaka Jana, tena baada ya mdogo angu kuja nayo Ghetto alikuwa anatizama, hii ya Pili nilikuwa nina mpango nayo ila baada ya Introsagvert kusema kuna Character wana mabawa miguuni nishapuuzia [emoji23].

Ujue Filamu kama hizo zinaumiza moyo sana unapokuwa ushajiandaa kwamba nacheck bonge la filamu, ila unachoenda kukutana nacho ni tofauti na ulichosimuliwa yani ni zile filamu zinapakwa asali nyingi kama Lugha za vijana wa Dar es salaam [emoji1787][emoji23].
Achana na Introsagvert mkuu hizo ni preference zake tu[emoji16][emoji16]
 
Mimi kuelezea siwezi kwa kweli ndio maana nahofia nisije nikaelezea nikaharibu ladha halafu ukafikiri ni mbaya kisa usimulizi wangu mbovu[emoji38][emoji38]
Huyo demu kwenye cover page anaitwa Wednesday na amehamishwa na wazazi wake kutoka shule aliyokuwa anasoma kwenda Nevermore. Nevermore ni shule ya outcasts, wanafunzi wake ni kama watu wa kawaida tu ila wana abilities mbalimbali ambazo binadamu wa kawaida hawana, wengine wana uwezo wa kujibadilisha na kuwa viumbe hatari.
Kwenye maeneo ya jirani ya Nevermore kuna mauaji yanafanyika na watu wanashindwa kujua ni nani anayefanya hivi huku Mayor wa Jericho town na askari mkuu wa mji huo wanafikiri kuwa ni dubu ndio anafanya haya mauaji. Lakini ukitafakari kwa kina inaonekana kiumbe kinachofanya mauaji haya ni kiumbe chenye akili kwa sababu kinaua na kuchukua baadhi ya viungo vya mwili kama vidole gumba, moyo n.k
Wednesday ni binti jasiri, anafuata njia zake, hajali hisia za watu, ni mkaidi hakati tamaa, genius jeuri na ni mchunguzi pia. Kwa mara ya kwanza kabisa Wednesday alipata kuona kiumbe hiki kikiua mtu mbele ya macho yake. Ndipo Wednesday akaanza kukifuatilia. Wednesday anapata psychic visions zinazomsaidia kuona past na future na zilikuwa zinampa mwangaza sana kwenye uchunguzi wake. Baadaye kabisa Wednesday anakuja kugundua kuwa huyo Monster ni mwanafunzi mmojawapo kutoka Nevermore school. Anajiuliza maswali mengi huyu monster [emoji88][emoji88] ni nani, na kwa nini akiua anachukua viungo, anashirikiana na nani hapo shuleni na mambo mengine kibao.
Hivyo Wednesday anaamua kupeleleza hili suala kiundani zaidi huku akiwahisi baadhi ya watu kuhusika.
Wednesday 2022 ni miongoni mwa series zilizotazamwa zaidi Netflix kwa sasa
View attachment 2501420
Mi niliipotezea baada ya kusoma sehem kuwa ni comedy flan nikaamua kuachana nayo Kumbe ina vitu poa sana
 
Back
Top Bottom