Must see Movies

Must see Movies

nimecheki trailer nione hivyo vipondo, daaah nikajua mambo ya akina jai white , Scott Adkins ama iko uwais


kumbe ni vile, basi kwangu hamna vipondo humo.
Action za kwenye hii movie ya Nobody sio exaggerated yaani sio fictitious Sana.
Ni action ambazo zinaweza hata kutokea kwenye real life.

Lakini Iko Uwais action zake zina fiction ya kutosha na zimetiwa chumvi balaa ndio maana muvi zake ni ngumu kukuta anaharibu.

Hata hivyo hiyo Nobody kwa upande wangu iko poa, tena ukizingatia imetoka miaka hii ya 2020s miaka ambayo muvi za action nyingi ni za ovyo.
Nobody ni movie nzuri
 
Inaonrkana hujui vipondo wewe. Huwezi kuroli sarakasi uko ndani ya basi umezungukwa na vibaka. Utakachofanya ni kupiga kwenye maeneo muhimu ili umalize pambano mapema. Kila anayefikiwa na mkono wako inatakiwa ajifikirie mara mbili kabla hajakuvagaa tena.

Nami nakazoa Hiyo muvi inavipondo
acha uongo wewe


movie tu ya shang-chi and the legend of ten rings

kwenye bus kuna mateke yakufa mtu

kma hujui uliza.
 
Action za kwenye hii movie ya Nobody sio exaggerated yaani sio fictitious Sana.
Ni action ambazo zinaweza hata kutokea kwenye real life.

Lakini Iko Uwais action zake zina fiction ya kutosha na zimetiwa chumvi balaa ndio maana muvi zake ni ngumu kukuta anaharibu.

Hata hivyo hiyo Nobody kwa upande wangu iko poa, tena ukizingatia imetoka miaka hii ya 2020s miaka ambayo muvi za action nyingi ni za ovyo.
Nobody ni movie nzuri
mzee iko uwais , jackie chan,Tony jaa

hawa wameanzia kwenye stuntman

hopely unaelewa maana ya stunt man

unachkiona kwnye actions zao asilimia 97 ni kweli


hivi unahabari ile predator(1987) ya Arnold kuna mahali yalitumika mabomu ya ukweli??
 
Jamani ile movie kali kuliko zote za Horror and thriller imetoka online leo
Evil Dead Rise 🔥🔥🔥🔥

Evil Dead Ndio movie yangu bora ya muda wote 🔥🔥
 
mzee iko uwais , jackie chan,Tony jaa

hawa wameanzia kwenye stuntman

hopely unaelewa maana ya stunt man

unachkiona kwnye actions zao asilimia 97 ni kweli


hivi unahabari ile predator(1987) ya Arnold kuna mahali yalitumika mabomu ya ukweli??
Old movies, Mimi ni mgeni sana kwenye movies
Nimemuongelea Iko Uwais kwa ku-refer movie zake za The Raid (1 and 2) na The Night Comes for Us
Kwa mtazamo wangu ninaona ziko too exaggerated ukilinganisha na Nobody
Actions za Iko Uwais ni mgumu sana kufanyika in real life. Sijawahi ona watu watu wanapigana vile, Ila action za kwenye Nobody hata kwenye reality zinaweza kufanyika
Exaggeration kwenye movies za Iko Uwais ndio zinafanya nizipende sana movie zake
I like blood na mambo kibao kwenye movie za Iko Uwais
The Night Comes for Us nairudia kila siku
 
Old movies, Mimi ni mgeni sana kwenye movies
Nimemuongelea Iko Uwais kwa ku-refer movie zake za The Raid (1 and 2) na The Night Comes for Us
Kwa mtazamo wangu ninaona ziko too exaggerated ukilinganisha na Nobody
Actions za Iko Uwais ni mgumu sana kufanyika in real life. Sijawahi ona watu watu wanapigana vile, Ila action za kwenye Nobody hata kwenye reality zinaweza kufanyika
Exaggeration kwenye movies za Iko Uwais ndio zinafanya nizipende sana movie zake
I like blood na mambo kibao kwenye movie za Iko Uwais
The Night Comes for Us nairudia kila siku
Kuna kitu umesema "exaggeration" tuko pamoja hapo[emoji106]. Kwa ufupi movie ya mzee haina stunts nyingi ambazo zinakosa uhalisia in real life. Mfano ukiangalia kama filamu za kichina, kuna stunts nyingi sana mpaka unahisi kama kamba au labda kwa sababu sisi sio martial artists!
 
Old movies, Mimi ni mgeni sana kwenye movies
Nimemuongelea Iko Uwais kwa ku-refer movie zake za The Raid (1 and 2) na The Night Comes for Us
Kwa mtazamo wangu ninaona ziko too exaggerated ukilinganisha na Nobody
Actions za Iko Uwais ni mgumu sana kufanyika in real life. Sijawahi ona watu watu wanapigana vile, Ila action za kwenye Nobody hata kwenye reality zinaweza kufanyika
Exaggeration kwenye movies za Iko Uwais ndio zinafanya nizipende sana movie zake
I like blood na mambo kibao kwenye movie za Iko Uwais
The Night Comes for Us nairudia kila siku
sema ninyi ndo hamjawahi ona on real life

Tony mkongo ushawahi muona wakiwa tiz??


hyo mambo ya akina iko yanafanyika mtaani

nenda hpo mabibo mwisho kuna akina bruce Lee wanapigana the same


humo kwnye nobody hamna vipondo.
 
Jamani ile movie kali kuliko zote za Horror and thriller imetoka online leo
Evil Dead Rise [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Evil Dead Ndio movie yangu bora ya muda wote [emoji91][emoji91]
unapenda horror sio??


mimi hzo evil dead nimezikubali zile za kwanza za Bruce Campbell ( 1982, 1987, 1992)

ya 4 niliona ya kiboya tu , sijui hyo ya 5 itakuwaje...



halafu ushacheki mizigo ya The ring( remake of Ringu)

kma bdo icheki aisee zipo 3
images(100).jpg
 
unapenda horror sio??


mimi hzo evil dead nimezikubali zile za kwanza za Bruce Campbell ( 1982, 1987, 1992)

ya 4 niliona ya kiboya tu , sijui hyo ya 5 itakuwaje...



halafu ushacheki mizigo ya The ring( remake of Ringu)

kma bdo icheki aisee zipo 3View attachment 2616355
Aina hiyo ya The Ring, conjuring, the nun, lights out etc ndo aina ya movies za Horror and thriller nazozipenda ila movies kama wrong turn Sio movie zangu hizo.
Mm movies zangu ni horror and thriller na kidogo za kivita ndio naweza kukaa na kuangalia. Hizo nyingine ni mara chache sana utakuta naziangalia.
 
acha uongo wewe


movie tu ya shang-chi and the legend of ten rings

kwenye bus kuna mateke yakufa mtu

kma hujui uliza.
Hiyo muvi ndo inakudanganya wewe wataalamu wa martial arts hawana muda wa sarakasi kwenye basi. Halafu kwani huyo mzee hakurusha mateke?
 
sema ninyi ndo hamjawahi ona on real life

Tony mkongo ushawahi muona wakiwa tiz??


hyo mambo ya akina iko yanafanyika mtaani

nenda hpo mabibo mwisho kuna akina bruce Lee wanapigana the same


humo kwnye nobody hamna vipondo.
Nenda karudie action za Arian na Ito kwenye The Night Comes for Us
Halafu uniambie kama umewahi kuona fighting moves za aina hii kwenye real life
images%20(28).jpg
 
Back
Top Bottom