Must see Movies

Must see Movies

Yoyote alizitazama hizi movie hapa, atoe recommendation niingie mzigoni.

GET OUT
TENET
SEVEN
SHOOTER
THE GREEN MILE
INSIDE MAN.

Lakini pia kama kuna movie nyingine za moto ambazo unaweza suggest unaweza kuweka. Genre ni Action, Thriller, Crime and Mystery.
 
Sasa wewe unajudge movie ambayo haujaiona then unaanza kuingiza movie za Jackie Chan [emoji38][emoji38]
Nilichokuwa nasema ni kwamba Day Shift ni kali kuliko Top gun
Kwenye Top gun Maverick sijaona cha maana zaidi ya hype ambayo watu wanaipa
Kwanza umeshajionesha kuwa ili movie iwe nzuri kwako ni lazima iwe na characters unaowapenda wewe. Sishangai kwa nini hukuiangalia Day Shift
Top gun sio movie ya kuishindanisha na Day shift kuanzia mapato ya movie, rate na Tuzo Top gun inakuwa imeiacha Day shift mbali sana
 
Top gun sio movie ya kuishindanisha na Day shift kuanzia mapato ya movie, rate na Tuzo Top gun inakuwa imeiacha Day shift mbali sana
Naongelea movie yenyewe sio mafanikio
Mimi siamini kuwa movie ikiuza sana eti ndio nzuri. Naangalia ni muvi ipi imekonga moyo wangu.

Day Shift kuwa kali kuliko Top gun ni mtazamo wangu. Nilikuwa siongelei mauzo wala mafanikio
 
Yoyote alizitazama hizi movie hapa, atoe recommendation niingie mzigoni.

GET OUT
TENET
SEVEN
SHOOTER
THE GREEN MILE
INSIDE MAN.

Lakini pia kama kuna movie nyingine za moto ambazo unaweza suggest unaweza kuweka. Genre ni Action, Thriller, Crime and Mystery.
Ya kwanza story yake ipo vizuri ni horror movie ya pili nayo ni kali mambo yake sijui ni kama physics 🤣ila wengine watakuja maliza za chini hizo,
 
Yoyote alizitazama hizi movie hapa, atoe recommendation niingie mzigoni.

GET OUT
TENET
SEVEN
SHOOTER
THE GREEN MILE
INSIDE MAN.

Lakini pia kama kuna movie nyingine za moto ambazo unaweza suggest unaweza kuweka. Genre ni Action, Thriller, Crime and Mystery.
Kaangalie The Night Comes for Us [emoji28][emoji28]
 
Sisi watanzania wengi huwa hatujali sana storyline(lugha tatizo kubwa sana kwa wengi wetu). Sie tunataka waongee kidogo ngumi zianze kutembea na risasi zipigwe za kutosha. Ndo maana wengi wanasifia SISU, RAID, na zingine zenye hadhi kama hiyo.

Ukifuatilia wengi hapa kuwauliza hiyo "night agent" inahusu nini utashangaa majibu ya walio wengi. Hiyo COVENANT movie tamu sana. Storyline nzuri na execution nzuri pia.

Ukitaka ngumi nyingi na risasi nyingi zisizo na ulazima angalia movie za kichina, Thailand na the likes
Hapana haiko Ivo tunaelewa sana hizo lugha hata bila subtitle hata kama mtu huyadaki maneno yote, Covenant ukiipa 9/10 je hacksaw ridge tuipe ngap mana story zake ni kama zinataka kufanana hivi. Kubali ukatae story Yale ni average tu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Yoyote alizitazama hizi movie hapa, atoe recommendation niingie mzigoni.

GET OUT
TENET
SEVEN
SHOOTER
THE GREEN MILE
INSIDE MAN.

Lakini pia kama kuna movie nyingine za moto ambazo unaweza suggest unaweza kuweka. Genre ni Action, Thriller, Crime and Mystery.
get out ni story nzuri sana, kwa wale wazee wa kupenda vitonga vya kulelewa

kma utaipenda hyo get out pasi na shaka utaipenda na

INVITATION (2022)

ila nakusihi sanaaaaa

tazama hzi

1. dead silence (2007)
2. vacancy (2007)
3. orphan (2009)



pia usiache kutazma hyo GREEN MILE iko so emotional.
 
Yoyote alizitazama hizi movie hapa, atoe recommendation niingie mzigoni.

GET OUT
TENET
SEVEN
SHOOTER
THE GREEN MILE
INSIDE MAN.

Lakini pia kama kuna movie nyingine za moto ambazo unaweza suggest unaweza kuweka. Genre ni Action, Thriller, Crime and Mystery.
Iyo Tenet utulize akili tofauti na hivyo utatoka apeche alolo yaani mweupe kabisa usielewe kitu.
 
Iyo Tenet utulize akili tofauti na hivyo utatoka apeche alolo yaani mweupe kabisa usielewe kitu.
[emoji1787][emoji1787]inaonekana ni suala limeumiza watu wengi duniani. Binafsi sijawahi kuiangalia nikaimaliza.

Maisha yalivyokuwa magumu hivi wengine tunahitaji kitu cha kufuraisha ubongo, sasa unaangalia movie lakini unajikuta unakaza fuvu ova unajiandaa na mtihani.
Screenshot_20230613-180842.jpg
 
Iyo movie kaka nimeiangalia kama siku tatu na ni HD kabisa sio kwanza Cam version lakin nilikuja kuelewa nilivyoelezewa na mshkaji wangu, Sasa movie ya masaa 2-3 naingalia masaa 72 unafikiri kuna nini apo[emoji16]
Hiyo Tenet inapaswa niishushe kutest IQ yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787]inaonekana ni suala limeumiza watu wengi duniani. Binafsi sijawahi kuiangalia nikaimaliza.

Maisha yalivyokuwa magumu hivi wengine tunahitaji kitu cha kufuraisha ubongo, sasa unaangalia movie lakini unajikuta unakaza fuvu ova unajiandaa na mtihani.View attachment 2656293
Mimi mpk kuja kuielewa TENET ilibidi niende YouTube nikakuta video jamaa ameielezea kwa undani ndipo nikaludi tena kuitazama nikaelewa
 
Back
Top Bottom