Musukuma afunguka Mazito Mkataba wa Bandari/Sijajongwa Gari, Nina Hela

Kwanini kwanza serikkali haikuweza kuangalia kuwa kwa kumpa mwarabu bandari kutaleta sintofahamu,kutokana na muundo wa serikali yenyewe,hata kama mkataba ungekuwa sahihi,kuna mambo unapaswa kuangalia kabla,harafu lazima mjue mnaongoza watu wenye akili,itisheni mjadala tutwangane maswali
 
Mkuu mwaga data usitukane hoja za kiuchumi ni muhimu ili tujifunze kiliko kutuhumu watu.
Wewe pale machine wanunue nane wangeziweka wapi,upande wa baharini eneo walilopewa ni la kukaa ssg 7 tu, mbona huongelei upande wa rtg,we unaposikia bandari imefanya vizuri unazani ni tpa? Juzi hapa tumeipita kenya unazani kwa machine za tpa? Usiongee usichokijua
 
Tatizo mnauza,uwekezaji gani usio na kikomo?Halafu Bandari zote jamani.Si bora hata mngewapa Gateways hata 3 tu.
So na airport mnakwenda kumpa Sheikhe. HAYA KILA LENYE KHERI.
Umesoma mkataba
 
Kwenye swala hili mods tafadhalini sana. Mtuache tuongee sio vinginevyo
Tumevurugwa
Serikali isitishe hili zoezi la uuzwaji wa Bandari
Tusitafutane ubaya
Tanganyika ni sasa
Umesoma mkataba
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

.....karogwa tena.

Kama ana hela kwa nini asizitumie kuunda kampuni kama Double Penentration?
 
Jibuni hoja zake kiuchumi kasema badala ya kukusanya 7bn wanapanda 18bn ajira kutoka 1200 kuenda 75000, hojini hivyo kuliko kipiga kelele
Ebu jitambue kidogo tu!.kwa kurejea mikataba mibovu tuliyowahi kuingizwa mkenge kama nchi.
Ahadi huwa ni zipi na hususan kwenye madini?
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

Kwani mtu akiwa na hela hahongwi? Huyu asitubabaishe na story zake. Kama hajahongwa mbona hakanushi tuhuma?, ameshikilia tu mimi nina apartments, sijui nina nini. Mbona hajatuambia kwa nini hakuwepo kujadili bajeti ya nishati?
 
Kwa sababu ndiyo waalimu ndiyo wanachukua takribani 50% ya watumishi wote wa serikali.
 
"muulize marehemu Donald Max" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

Hajajibu hoja vizuri,

Mosi, Kasema mkataba siyo WA miaka mia moja, Je mkataba ni WA miaka MINGAPI?

Pili,Kwanini hawakwenda kujifunza na kule ilikowekeza ambalo Kuna mgogoro?
 
Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma

UFAFANUZI SAFI KABISA NI WAKATI SASA WAANDISHI WA HABARI WAKAPELEKWA HUKO NA KURUSHWA LIVES, ILI WATANZANIA WAJIONEE WENYEWE, PIA VIFUNGU VYOTE VYENYE UKAKASI VIONDOLEWA KATIKA MKATABA UTAKAOANDIKWA.
 
Ukoo wako unamiliki mabasi ya hivyo mangapi kwani?.
 
Albert Einstein: Akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msukuma kawapiga mbali sana kiakili wazee wa ndani ya box!.
 
Albert Einstein:"AKILI NI KILE ANACHOBAKI NACHO MTU BAADA YA KUONDOA YALE ALIYOFUNDISHWA DARASANI"
Sasa wewe ondoa yale uliyofundishwa darasani,yaani hiyo diploma, degree na PHD,ndiyo ujilinganishe na Musukuma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Kuna hoja ngumu hapa!?..unaelewa chochote kuhusu escrow, dowans na Richmond!?..unaijua kweli mikataba mibovu ya nchi hii wewe au unaenda na vibe za media!?..fuatililia bunge ujue kuhusu uwekezaji unaotakiwa kufanya bandari,siyo kubeba maneno ya malaya mange kimambi
 
Hee bi mchele povu lote hili kisa musukuma hivi sio kafiri yule ama maslah ya waarabu kwanza ukafiri wake baadae ee
Kawa rafiki wa mgalatia kisa mwarabu achukue bandari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani Richmond, Dowans na Richmond kwako ni mifano ya mikataba mizuri?

Unaongea kama una kiwiliwili peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…