Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

Msukuma anasema kweli, tunafahamu wapingajili humu wanapinga neno "Waarabu" na siyo maendeleo.

Waoingaji mnajisahau kuwa hata hilo neno "bandari" bila ya Waarabu lisengekuwepo.

Kama hilo halitoshi, tusisahau kuwa hata jiji hili, ambalo toka lilipoanzishwa mpaka sasa halijaacha kukuwa na leo hii ni kitovu cha biashara Afrika nashariki na ya kati linaitwa Dar es Salaam.

Dar es Salaam ni jina la Kiarabu 100% tena si jina tu, kinatoka ndani ya Qur'an.

Jiji hili lina historia kubwa na Waarabu na sasa ni wakati muafaka waliendeleze.

Hatuwezi kuibadili historia ya kweli bali tunaweza kuipotosha.


Mwenye chuki na Waarabu ajinyonge.
Huamini kama.tumepata Uhuru?
 
Huu mkataba tunaipinga kwa hoja zenye kueleweka lakini hatujaweka wazi nini haswa suluhisho la tija ndogo ya pale bandarini.

Tuendelee kupoteza wateja wanaohamia Msumbiji na Mombasa kwa kuendelea na kufanya kazi kwa mazoea au tubadilike mazima kwa lengo la ukuaji halisi wa uchumi!?.

Wengi wanaweza kukosoa lakini hawaji na hoja za nini kifanyike kutoka hapa tulipo. Bandari yetu imekuwa ni chanzo cha upigaji wa kudumu, badala ya kuisaidia nchi imekuwa mzigo kwa uchumi wetu.

Tuje na fikra mpya sio kuishia kukosoa uwekezaji wakati tatizo lipo pale pale.
Kazi ya serikali ni ipi? Na je serikali ilishindwa kutumiza majukumu yake kinaachofata ni kipi?

Siku zote mnaisifia humu serikali kufanya kazi nzuri, Leo mnakataa kuna sehemu haufanyi vizuri.

Sheria zipo wazi, dola ipo, serikali ipo. Hamjui mfanye nini?
 
Kuna wakati saa mbovu huonesha majira sahihi! Kwa hiyo siyo ajabu bali tunadili hoja iliyo mezani; Je Mama Samia na Mbarawa wana nia njema na bandari zetu? Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo? Kwa nini tunaendelea kugawa ardhi yetu kwa Waarabu tu? Je kwa nini Marais kutoka Zanzibar ndiyo wanachangamkia ardhi ya Tanganyika? Maana tuliona Rais Ali Hassan Mwinyi naye kutoka Zanzibar ndiye aliyewauzia Waarabu Ngorongoro alipokuwa Rais wa Tanzania.

Hoja hizi zinahitaji majibu.
 
Geita imebaki mashimo matupu halafu anaibuka Msukuma na Baiskeli yake kutetea Bandari ya DSM

Ulinzi wa rasilimali huanzia Jimboni, Wilayani, Mkoani ndio Uje taifani

Watu kama Msukuma ndio huvuruga mambo ya msingi yanapokuwa Kwenye Mjadala wenye nia Njema

Mtu ana PhD ya mchongo kabisa yaani!
Sawq
 
Huamini kama.tumepata Uhuru?
Huamini kwamba uhuru hauifuti historia?

Jina Dar es Salaam limetoka wapi? Jisomee:

 
Suala la hawa jamaa kuchukua bandari yetu hii haizuiliki tena, je

ajira zitakuaje..?,

Usalama wa bandari yetu jee..?

Vipi wahamiaji haramu, bidhaa haramu, silaha kupenyezwa kimagendo.?

Taarifa sahihi za mapato yatokanayo na bandari tuyajuaje..?

Tutamonitor vipi exports zitakazokuwa zinafanyika bandarini..?

Mbao, makinikia, pembe za ndovu, pamba na bidhaa zingine muhimu zitaenda ulaya na mataifa mengine bila control yetu

Hiyo kamati ilihoji haya mambo kweli...?

Ni suala la muda CDF akawa ulamaa kutoka UAE na jeshi letu kwenda mikononi mwa watoto wa baniani [emoji848][emoji57][emoji706][emoji706][emoji706]

Wanaanza kidogo kidogo mwisho watataka kulima wenyewe, control ya Mbuga zetu itakua kwao, kila kitu kitakua chao

TANZANIA INAELEKEA KUBAYA,
 
Kazi ya serikali ni ipi? Na je serikali ilishindwa kutumiza majukumu yake kinaachofata ni kipi?

Siku zote mnaisifia humu serikali kufanya kazi nzuri, Leo mnakataa kuna sehemu haufanyi vizuri.

Sheria zipo wazi, dola ipo, serikali ipo. Hamjui mfanye nini?
Hizi ni changamoto nzuri za nchi yenye amani. Kumbuka hayo mataifa makubwa yana uhuru una miaka zaidi ya 200 lakini kuna mahali panaboreshwa bado.
 
Haka kajamaa kanafikiri kuwa na mdomo wa kuongea basi umemaliza kila kitu.......hivi kwa elimu ya la saba unaweza vipi ku comprehend mambo mazito ya mstakabali wa nchi yanayohitaji elimu kubwa with high reasoning capacity.

Yaani kutembelea dubai na kuona mashine tu zinafanya kazi badala ya watu hiyo tayari ni justification ya kugawa bandari kwa waarabu!

Kwa sasa nchi ina wasomi wengi sana, hivi haiwezekani mbunge angalau awe na elimu ya shahada ya kwanza ili angalau tuwe na wabunge wanaoweza kutoa hoja kwa weledi.​
 
Huyu alimwingiza Chaka Lowassa kisha akamtosa

Akaja kumuingiza Chaka Magufuli

Mtu aliyekula nyama ya mtu huwa haachi

Kupenda hela za dezo akakusanya wajinga wajinga wenzake akalazimisha kuingia GGM. Eti chama kinataka kutembelea uwekezaji. Akazuiwa getini. RPC mmoja akasema huwezi kuingia bila kibali. Akaanza naye bifu.
Kwa ufupi ni kweli hajasoma na anaungaunga kama yeye mwenyewe anavyosema.
Prof labda Kishimba🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tujulize hivi trillion 2 hatuna? Hii si ni kuhairisha tu vitu vichache tunaipata. Tatizo la Tanzania sio pesa, bali ni matumizi na vipaumbele

Jana nimemsikia msigwa anasema Hawa wanakuja kuweka trillion 4, ambayo sisi tusingeweza
Msigwa anashindwa kuelewa Kuna matumizi mengi tunafanya na yanapotea zaidi ya hiyo trillion 4

Yes wanaweka 4T ila Hawa DP inatakiwa waweke 9T kukamilisha GATE 9 ,pesa tunazo kabisa eg Tunatenga 550B kila mwaka kununua magari ambayo matumizi(wese+maintanance) yake ni mara mbili ya gharama za kununulia ,bado kuna pesa zinapotea kwenye semina ,warsha,makongamano ,per diem na vitu vinayotaka kunafana na hivyo ni nyingi sana!
 
Tujulize hivi trillion 2 hatuna? Hii si ni kuhairisha tu vitu vichache tunaipata. Tatizo la Tanzania sio pesa, bali ni matumizi na vipaumbele

Jana nimemsikia msigwa anasema Hawa wanakuja kuweka trillion 4, ambayo sisi tusingeweza
Msigwa anashindwa kuelewa Kuna matumizi mengi tunafanya na yanapotea zaidi ya hiyo trillion 4
JPM alituonyesha tunaweza, lakini hawa ndugu wengine wanaturudisha utumwani...SGR ni trilioni ngapi tushindwe ya bandari...Pesa huwa zipo bank na siyo kwingine...Chamsingi tuondoe hao binadamu ambao tangu enzi wanaendeleza nepotiam kwa nafasi critical ndiyo sababu hawana ubunifu zaidi ya kufisadi mali ya watanzania
 
Back
Top Bottom