Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Aisee CCM imejaa wabunge mazwazwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kweli aliamini hivyo mbona alikuwa mbele kupiga na kufagilia nyungu...!!Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.
Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.
Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?
Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.
Chanzo: Clouds Digital
Mkuu, leta basi matokeo ya utafiti kwamba Tanzania kuna koronaUle haukuwa utafiti kuwa Tanzania hakuna korona, isipokuwa ulikuwa utafiti kuwa korona hata kwenye mapapai inaonekana. (Labda mchato alitaka kuiaminisha dunia kuwa corona is a Hoax)
Waziri wa afya, Katibu MKUU WA wizara ya afya, mganga Mkuu wa serikali, wote ni jirani zako . Waulize hayo maswali. Ila chato wanawalaumu sana.Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.
Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.
Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?
Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.
Chanzo: Clouds Digital
hujamuelewa msukuma-anahosema kwa nini prof A anatoa jib tofauti na prof bForm seven ni Shida, yaani yeye anadhani kipindi cha utawala ULE yale maamuzi ya kupinga na Kuficha kuwa Corona haikuwepo yanaweza ku-hold water kwa kiongozi wa sasa mwenye Maono (uongozi sikivu). Hivi ni kweli huyo form Seven hajui hasara ya kupoteza wapendwa wetu kwa Maamuzi ya ajabu ajabu. Mimi Ilikuja kunizidishia machungu na niliuchukia utawala ule zaidi tena Zaidi pale tu Dada yangu Daktari alipofariki kwa corona and was the only Dr in our family. Baba alikuwa anatuambia alimsomesha kwa gharama kubwa. Tumwombe tu huyo form seven hasiturudishe matesoni,kwani maamuzi ya uongozi wa sasa kuhusu Corona (task force ya kumshauri SSH kuhusu Corona) ni sahihi na yaheshimiwe. Anachojifanya hajui ni kuwa, Watawala uliopita Ulikuwa unaogopwa, ulikuwa utawala wa YES BOSS or ONE MAN SHOW kila alichokisema mtawala ndicho wasaidizi wake walikitenda na kutuaminisha kuwa tuko sahihi ili mradi tu Maisha na familia zao vilineemeka na utawala ule.
Utafiti mwepesii kabisa ambao hata mtoto anaukubali ni kuona vifo sababu ya korona. Sasa nikuulize wewe, Tanzania hakuna mtu hata mmoja aliyekufa na korona?Mkuu, leta basi matokeo ya utafiti kwamba Tanzania kuna korona
Haukua utafiti wa kujua kama kuna korona.Acha uongo kwahyo yale mapapai ni ww uliyafanyia utafiti?
Huyu muheshimiwa Msukuma yaani kila anapotoa hoja haachi kabisa kuwadhihaki wana taaluma sijui kana kwamba walimkosea nini au wao ndio walikuwa namemzuia asisome?Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.
Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.
Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?
Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.
Chanzo: Clouds Digital
amuulize Dr Ndungulile kilichompataMbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.
Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.
Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?
Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.
Chanzo: Clouds Digital
Musukuma kajenga hoja nzuri sana ila kuna watu watampinga lakini ukweli uko palepale-maprofesa ao hao walisema hakuna corona Tanzania lakini pia wakaenda mbali kwa kusema hata vifaa vya kupimia vinanganya ndio maana mbuzi, fenesi na mapapai yalipatikana na korona hivyo huo ni uzushi mtupu ila leo wamebadili gia angani wanasema korona ipo na chanjo inahitajika.Hahahaaaa...... Msukuma ni la 7 lakini anaongoza kwa kujenga hoja mwanana bungeni!
Fiksi za JPM, jamaa alikuwa muongo sanaUle wa mapapai ulikuwa ni nini bwashee?
Usiseme "sisi", sema wewe, usiwapangie wengineChanjo ya corona ni ufisadi tu. wakowapi wanaoumwa korona Tanzania? Kama korona inawafuta wavaa barakoa hao wa high profile ambao wakati Hayati yupo walikuwa hawavai na wala hawakufa, basi wachanjwe wao. Yawezekana virusi vinaambatana na mawazo ya kiutawala utawala na ndiyo maana hata chanjo inagusa hadi DNA na RNA ili pengine iwaondolee hisia za utawala ili corona wasiwafuate.
Sisi tusio viongozi hatuna korona na hatuvai mabakkoa na hiyo korona haijatufuata, watuache.
Si rahisi kuelewa mpangi huu ni ufisadi wa aina gani.
Uzuri maprofesa wote waliofanya utafiti ni makada wa ccmMbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.
Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.
Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?
Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.
Chanzo: Clouds Digital
Usimlaani sana, anayo sababu. Kuna kitu kinaitwa REDET pale UD, Mlimani, Chuo kikuu. Kilianzishwa na huyo anayejiita Profesa Mkandara. Kila leo REDET ikawa ni kusema uongo tu! Leo hii bado anaaminika hadi kupewa kuzungumzia mambo ya kitaifa. Aibu tu!Msukuma ana ugomvi mkubwa sana na wasomi sijui kwanini.
Na anageuza habari! Hao maprofesa wakati wa JPM ni lini walifanya utafiti wakagundua Tanzania hakuna korona? Hakukuwa utafiti wowote isipokuwa kulikuwa na matamko kuwa Tanzania hakuna korona
Hata hawa wa ndani, wengi wao wamesoma PhD zao huko huko nje anakotaka wakachukuliwe.Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.