Musukuma: Maprofesa wanatuchanganya; wakati wa Magufuli walisema hakuna Corona na wakati huu wa Samia wanasema tuchanjwe

Tunahitaji kubadilisha sheria zetu ili mtu awe mbunge anatakiwa awe ana shahada
 
Magu alisema kutokana na waliyoyasema matokeo ya utafiti uliofanywa na wachunguzi/maprofesa/doctors na wanausalama aliowatuma
Si kweli alisema yeye mwenyewe alipeleka sample maabara ya taifa na ndio matokeo yakaonesha zile sample ambazo zilikuwa za mapapai na oil chafu zina Corona, na kule maabara ya Taifa wanaopima hizo sample wala sio hao Maprofesa....ni mkurugenzi tu wa maabara ndio alikuwa na PhD...
 
Acha kuwa zumbukuku, msukuma pamoja na std seven yake lkn bado ana hoja ya msingi kabisaa! Huwezi kuweka taaluma matakoni kwa sababu ya wanasiasa..hivi magufuli angewafanya nn madaktari wote wangebaki na msimamo wa kisayansi!?? Mbona professor wa chuo kikuu huria aliyeandika waraka alibaki kuusimamia ingawa serikali iliupinga!?? Huwezi kuwa msomi huku husimamii ulichosoma!!
 
Mbona na yeye msukuma hakusema ukweli?
 
I don't exactly your position. Unasifia ujinga tulioachana nao kwa Msaada wa Mungu au Unabisha tu Kwa sababu shule yako ni ndogo.
 
Pole sana kwa kufiwa na mwanafamilia. Mwanafamilia mmoja anapotoweka na zaidi ya maelfu usiowafahamu.

Mungu awajalie nguvu za kuishi na hayo machungu.
 
I don't exactly your position. Unasifia ujinga tulioachana nao kwa Msaada wa Mungu au Unabisha tu Kwa sababu shule yako ni ndogo.
Wewe shule ulienda kusomea Ujinga! Wapi ulipoona nimesifia?? Jibu hoja ya huyo darasa la 7, hoja yake ipo wazi ilikuwaje wakati huo wasomi watuambie kitu kingine na leo tena waseme vinginevyo!??
 
Msukuma ana ugomvi mkubwa sana na wasomi sijui kwanini.

Na anageuza habari! Hao maprofesa wakati wa JPM ni lini walifanya utafiti wakagundua Tanzania hakuna korona? Hakukuwa utafiti wowote isipokuwa kulikuwa na matamko kuwa Tanzania hakuna korona
Nadhani ana inferiority kwa sababu ya kuksa elimu. Anajua alichokikosa, na kwa sababu hawezi kukipata, anajitahidi kujipa moyo kuwa siyo kitu muhimu.
 
Ni kauli za walioshindwa kuendelea kusoma. Msomi ni msomi tu, mfumo wa kumfanya mwanasiasa awe juu ya mwanataaluma ndio unaowafanya walazimishwe kutoka nje ya weledi wao
Kwa hilo uko sahihi! Mbunge Musukuma analipwa milioni 11 na marupurupu mengine. Profesa unamlipa milioni 6 bila marupurupu mengine. Hapo Musukuma anajikuta akijiona ni mtu muhimu kuliko kila Profesa.
 
Wewe shule ulienda kusomea Ujinga! Wapi ulipoona nimesifia?? Jibu hoja ya huyo darasa la 7, hoja yake ipo wazi ilikuwaje wakati huo wasomi watuambie kitu kingine na leo tena waseme vinginevyo!??
let us urge objectively, the issue is no body was ready to loss his job simply b'se the knew exactly what their boss wanted by the time being. Usijifanye amnazo or bongolala a.k.a Form seven ukashindwa kujua nchi ilikuwa inaenda kama gari bovu.
 
Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…