Musukuma: Maprofesa wanatuchanganya; wakati wa Magufuli walisema hakuna Corona na wakati huu wa Samia wanasema tuchanjwe

Anawaonea maana mpaka mawaziri walifikia hatua ya kuogopa kuvaa barakoa kwa sababu ya hofu ya dikteta hayati maiti
 
Anawaonea maana mpaka mawaziri walifikia hatua ya kuogopa kuvaa barakoa kwa sababu ya hofu ya dikteta hayati maiti
Nilicheka na kuchoka walipotangaza "mwamba kadancha" ghafla bin vuu nikamwona "profesa maja..." katinga barakoa... matumbo haya...
 
Hivi dada yako (dakitari), kweli hakujua kuhusu corona?! Ndiyo hayo hayo yanayo mshangaza Mh. Msukuma. Au dada yako alikuwa anahonga na kupewa maksi tu! Hivyo siyo kweli kwamba baba alimsomesha kwa gharama kubwa! Matokeo yake - ukipewa degree bila kufahamu kitu darasani, kitakacho kuua hutakijua!
 
Kama Maprofessa walisema hakuna corona, ile.nyungu uliyopigq huku unajirikodi ilikuwa.ya nini?
 
Msukuma anapotosha,vile vipimo walivyopimia Mapapai havikuonyesha kuwa Tanzania hakuna corona bali vilionyesha kuwa ni vipimo vyenye kasoro
 
Hata JPM siku zake za mwisho alisema tufuate maelekezo ya wataalamu ila wajiridhishe kwanza wasipokee kila kinachotoka nje ila hajawahi kusema wazi kwamba hakuna corona ila yeye aliamini zaidi njia za maombi na kujivukiza sasa kama ilikuwa au anaamini hakuna corona ziele kauli zake alikuwa anaamanisha nini. Alikiiri corona ila tusiogope Mungu yupo watu waombe siku 3 aliwahi kukiri mtoto wake aliumwa corona haya aliyasema mwenyewe. Ila yeye alikuwa na njia zake za kupambana na Mama ana maoni yake lakini hakuwahi kusema hakuna corona, na video kibao zipo.
 
Dah Msukuma ana aleji na maporofesa............ mapprofesa Maprosoo
 
Maprofesa wetu wamekuwa wanasiasa, wanaangalia wapi mkubwa kalalia. Angalia makarablasha watakyobeba kuonyesha usomi wao,inabidi wabebe na mkomkoteni kuja kuwakilisha hayo makarabrasha yao ili kuonyesha kwamba kweli yale wanayowakilisha ni ya kweli kumbe ni mbwembwe tu kama za msemaji wa simba.
 
Hamuna labda hiyo ilikuwa " Speaking Error"
Mbona " Typing Error" ipo inakubalika?
 
Mku sema tu hujaenda kupima, lakini ukipima tu utakutwa nayo!!!!!!
 
Hao walikuw wanamwend zake feelings
 
Anawaonea maana mpaka mawaziri walifikia hatua ya kuogopa kuvaa barakoa kwa sababu ya hofu ya dikteta hayati maiti
Hilo sio kweli kwa sababu hata sasa hao mawaziri hawavai barakoa au wewe unawaona bungeni na barakoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…