Ni flashback tu sioni pa kumlaumu.Msukuma utampenda tu kumsikiliza hata masaa 10, jamaa kuanzia leo shabiki yake ni muwazi sana nani alikuwa anajuwa JPM alikuwa anaendesha Taxi usiku? andika kitabu msukuma ni hatari sana...
Nchi hii mwizi fisadi anapewa heshima zoteSeriously, unatetea mwizi na kuhalalisha mate do yao!? Kweli Watanzania tuna safari ndefu. Kwa maana hiyo unabariki pia yeye kuwa kiongozi pamoja na rekodi mbaya kama hiyo!?
Jinai haioziNi flashback tu sioni pa kumlaumu.
Ana ushuhuda mkubwa sana wa upambanaji.
Leo hii anaonekana shujaaaAmezungumzia pia jinsi walivyomuibia Muhindi na kumchomea duka Mombo, Tanga!?
JASILI HAACH ASILI. Hivi kweli huyu mtu kama kiongozi nategemea asitupige. Au mnaofikiri katosheka na huo wizi wake wa huko nyuma...!!?
Kwani alishawahi kuzungumza hadharaniTunasubiri na Lema, G. aje na namna alivyokuwa anafanya vitimbwi vyake!
Hata akishtakiwa ushahidi wa sauti hauwezi kumfungs.Jinai haiozi
Ova
Wewe ndio una record nzuri, Tz hii nani wa kumyoshea kidole mwenzake. acha uhasidi hakuna msafi Tz hebu kila mtu aanike ukweli wake. Sio mwanasiasa, mchungaji, shekh sijui nani sote tunamadoa mwili mzima ni vile tunajifanya watakatifu tu kila mtu mpigaji na kama hujapiga ni vile nafasi hujapata tu.Seriously, unatetea mwizi na kuhalalisha mate do yao!? Kweli Watanzania tuna safari ndefu. Kwa maana hiyo unabariki pia yeye kuwa kiongozi pamoja na rekodi mbaya kama hiyo!?
No wonder alipelekwa Dubai kwenda kubariki Wizi....!!Nchi hii mwizi fisadi anapewa heshima zote
Ova
Unajua ninyi mliokulia O'bay mliaharibu sana!! Mliishi maisha ya unyamwezini sana halafu unyamwezi wenyewe fake na si orijino. Mliiga maisha ya Dupree, DMX, Shabba Ranks, BIG,...BoysIIMen Mkasahau kuisha maisha ya kuja kukamata Uchumi wa nchi mkisaidiwa na sisi wa Kilimatinde, Simbangulu na kwingineko!!Nchi hii mwizi fisadi anapewa heshima zote
Ova
Hawezi kukamatwa, hizo story za maisha yake nimekuwa nikisikia akiziongea kwenye vyombo mbalimbali vya habari zaidi ya miaka 6 sasa. Kama ni kukamatwa angaeshakamatwa toka wakati huo.Hivi jinai ina ukomo?
Akamatwe huyu hapo hapo studio na washirika wake kokote waliko na bila kuchelewa.
Kwamba DPP, mahakama au polisi wanasubiri au kuhitaji ushahidi upi?
Wewe kama ni mwizi, Anika wizi wako. Mimi sijamuibia mtu.Wewe ndio una record nzuri, Tz hii nani wa kumyoshea kidole mwenzake. acha uhasidi hakuna msafi Tz hebu kila mtu aanike ukweli wake. Sio mwanasiasa, mchungaji, shekh sijui nani sote tunamadoa mwili mzima ni vile tunajifanya watakatifu tu kila mtu mpigaji na kama hujapiga ni vile nafasi hujapata tu.
Bado Mkuu, ndiyo maana nikashauri tumsubiriKwani alishawahi kuzungumza hadharani
Ova
Tatizo Watanzania wengi wanaamini bila wizi au rushwa, huwezi kufanikiwa. Kwa akili kama hizi, Nchi hii kamwe haziwezi kuendelea.Wewe ndio una record nzuri, Tz hii nani wa kumyoshea kidole mwenzake. acha uhasidi hakuna msafi Tz hebu kila mtu aanike ukweli wake. Sio mwanasiasa, mchungaji, shekh sijui nani sote tunamadoa mwili mzima ni vile tunajifanya watakatifu tu kila mtu mpigaji na kama hujapiga ni vile nafasi hujapata tu.
Leo hii yuko mjengoni anatunga sheriaKwa namna hiyo huyu alishafanya mpaka mauaji
Biashara ya madini utoreshe dhahabu kg 50 kwa trip kwwnza kuna kuwaibia watu, kuwatepel,kuwwpora na kuwaua kabisa
Dci ashughulike naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi iba wala dhulumuHata akishtakiwa ushahidi wa sauti hauwezi kumfungs.
Hata hivyo Watanzanis wote ni wezi kuanzia wewe hadi mkuu kabisa nyumba nyeupe
HahahaUnajua ninyi mliokulia O'bay mliaharibu sana!! Mliishi maisha ya unyamwezini sana halafu unyamwezi wenyewe fake na si orijino. Mliiga maisha ya Dupree, DMX, Shabba Ranks, BIG,...BoysIIMen Mkasahau kuisha maisha ya kuja kukamata Uchumi wa nchi mkisaidiwa na sisi wa Kilimatinde, Simbangulu na kwingineko!!
Tusingechezewa !