Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Madokta feki, hivi huyu udokta aliupataje?.Usafirishaji na customer care ni biashara
Achana nae tumvumilie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madokta feki, hivi huyu udokta aliupataje?.Usafirishaji na customer care ni biashara
Achana nae tumvumilie
Ana hoja nzuri sana. Wahudumu wa nini? Treni zinakuwa na behewa lenye mgahawa na kila mtu anakwenda kununua anachotaka. Hii kama wameweka wahudumu basi ni ujinga wa ndezi.Usafirishaji na customer care ni biashara
Achana nae tumvumilie
Na V8Wangeanza kupunguza idadi ya wabunge
Labda ndiye huyo muhudumu wa behewa la chakula hakuona watu wakienda kula akaona achangamshe miguuYuko sawa. Sema kuna wachangiaji humu wanakurupuka kama Kasongo. Amesema liwepo behewa la chakula anayehitaji aende akale siyo awepo mtu wa kupita kuuliza watu kama wanataka kula. Misuse of public funds.
Wewe ndiye una mawazo ya kijima. Umewahi walau kusafiri nje ya Tanzania? Sehemu nyingi sana wameshaondoa zile huduma za kutumia watu na wameweka self service. Treni zinakuwa na automatic machines na unanunua chochote unachotaka. Kwa sababu sisi bado tuko nyuma, ingekuwa vizuri wakaweka mabehewa ambayo watu wanakwenda kununua wenyewe. Kitu kama usafi wa vyoo watu wawili wanatosha kufanya shughuli au wanaocheki tiketi. Bila kubana matumizi treni zitakufa.Mawazo ya kijima!
Anataka SGR iwe kama "gogo" la kigoma!
Hata usafi wa vyoo usiwepo!
What a disgrace!
Dunia ya leo wahudumu wa nini?wahudum wanaweza kuwepo.ila miaka yote toka sisi wadogo reli ya kati kigoma moja. behewa la bufet huwa lipo.unainuka unaenda zako kupata misos.
AiseeeWangeanza kupunguza idadi ya wabunge
Wako wengi tuu ma Dr. wa namna ya msukuma, mbona wengine hujahoji?Madokta feki, hivi huyu udokta aliupataje?.
Hao watakaoajiriwa hawataweza kulipa kodi itakayozidi faida za SGR, Serikali inajali pesa zaidi kuliko life standard za hao watakaoajiriwaSo ana discourage ajira hapo then haoni shida Wala nini
Huyu anataka kuturudisha kwenye zama za kusafiri na ugali kwenye bag la nguo"Hakuna haja ya kuwa na wahudumu wanaopita kuuliza abiria kama wanakunywa chai au kahawa. Treni inapaswa kuwa na behewa rasmi la chakula, kama ilivyo kwenye huduma za kimataifa, ambapo abiria ana uhuru wa kwenda kununua chakula au kinywaji bila kusubiri kuulizwa."
Mwingine huyu hapaWako wengi tuu ma Dr. wa namna ya msukuma, mbona wengine hujahoji?
Dr mama nanihino!
Hii itamchoma hakawii kukujia usiku...Mwambie hata ATCL inawafanyakazi kibao na kila siku inaajiri, idadi ya wabunge nayo ni kubwa sana kama ilivyo idadi ya mawaziri pia.
Uliwahi kwenda China ukapanda SGR kutoka Beijing kwenda Gouzhuoh zaidi ya Kms 3000?Mawazo ya kijima!
Anataka SGR iwe kama "gogo" la kigoma!
Hata usafi wa vyoo usiwepo!
What a disgrace!
Hao ni chakula cha viongozi na nafasi zao hazitangazwi bali huwafikia walipo. Ushamba na ulimbukeni ndio ulifanya waajiriwe, alfajiri anasafiri na sanduku lake la magurudumu toka Dar. anakwenda Dodoma mchana anarudi Dar na sanduku lake ndani zimo zana za mashosti!Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma amesema haina haja ya kuweka wahudumu wanaotoa huduma za ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) ili kuepuka shirika kupata hasara kwakuwa ndio kwanza mradi huo umeaanza hivyo haina haja ya kuweka gharama kubwa za uendeshaji.
"Hakuna haja ya kuwa na wahudumu wanaopita kuuliza abiria kama wanakunywa chai au kahawa. Treni inapaswa kuwa na behewa rasmi la chakula, kama ilivyo kwenye huduma za kimataifa, ambapo abiria ana uhuru wa kwenda kununua chakula au kinywaji bila kusubiri kuulizwa."
Mbunge Musukuma ameyasema hayo leo Februari 03, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia hoja ya Kamati za Kudumu za Bunge za Miundombinu na Nishati na Madini
Ulitaka watu wale wapi? 😹😹Ni kama vile kuwa na mkuu wa mkoa na wawilaya na wakurugezi wakati kazi zote hizo zingemalizwa na mtu mmoja tu.