Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Safari ya masaa mane sijui matatu unakula?Una kichaa wewe Yani ulipe express train Kwa 120,000 halafu uende kula behewa la 12 kutoka behewa la 3 ambalo umekaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari ya masaa mane sijui matatu unakula?Una kichaa wewe Yani ulipe express train Kwa 120,000 halafu uende kula behewa la 12 kutoka behewa la 3 ambalo umekaa
Asante sana Mkuu kwa kunipa code. Namimi nitasafiri makusudi ili nipate kahudumu kamoja ka bariiiidi nijipimie. 🤣Msukuma asiwe na wasiwasi, wale wahudumu wanajitolea bure, naambiwa wapo field, eti kwao wanajilipa kwa kubadilishana namba na abiria!!
Nimepita na mmoja tayari.
Umeanza kupanda mabasi juzi we mzeeNdugu Sio kitu kinaigwa kama kilivyo!
Mabasi yetu ya mikoani hayakuwa a wahudumu, wahudumu wameanza miaka miwili iliyopita! Sasa hivi ni lazima kwa nini?
Nyie mnatumiwa na wenye mabasi ili kuua SGR. Ikishaanza kuwa chafu haina uangalizi, mtaikimbia itajiwndesja kwa hasara!
Ndege Zina wahudumu wangapi?
Kwa nini tusindoe wahudumu kwenye ndege?
Umeshawahi panda first class u second class ya international wewe msukuma? I bet not!
Kila seat ina dedicated hostess!
Hizo ni necessary running cost, toeni ushamba wenu hapa!
Achana na matan-boy, makondakta, na mafundi wa mabasi ya zamani. Nazungumzia hivi vibinti virembo vinavyohudumia na kukupa taarifa ya mwenendo wa safari!Umeanza kupanda mabasi juzi we mzee
Seng*ee limetumwa kuhujumu sgrMbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma amesema haina haja ya kuweka wahudumu wanaotoa huduma za ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) ili kuepuka shirika kupata hasara kwakuwa ndio kwanza mradi huo umeaanza hivyo haina haja ya kuweka gharama kubwa za uendeshaji.
"Hakuna haja ya kuwa na wahudumu wanaopita kuuliza abiria kama wanakunywa chai au kahawa. Treni inapaswa kuwa na behewa rasmi la chakula, kama ilivyo kwenye huduma za kimataifa, ambapo abiria ana uhuru wa kwenda kununua chakula au kinywaji bila kusubiri kuulizwa."
Mbunge Musukuma ameyasema hayo leo Februari 03, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia hoja ya Kamati za Kudumu za Bunge za Miundombinu na Nishati na Madini
Mkuu kipi ni rahisi mhudumu kupita kuuliza au abiria wengi kati ya 900 kuinuka kwenda huko lilipo hilo behewa la misosi(buffet car)?Yuko sawa. Sema kuna wachangiaji humu wanakurupuka kama Kasongo. Amesema liwepo behewa la chakula anayehitaji aende akale siyo awepo mtu wa kupita kuuliza watu kama wanataka kula. Misuse of public funds.