Musukuma: SGR inawahudumu kama Ndege, tutapata hasara waondolewe

Musukuma: SGR inawahudumu kama Ndege, tutapata hasara waondolewe

Ulitaka watu wale wapi? 😹😹
Kwann usiwaseme wabunge ndio mizigo pale bungeni?? Min acha roho mbaya 🤣
Kabisa hasa wale wabunge wa viti maalumu , halafu karibu zote ni pisi kali sijui kwanini asee🤔
 
Nipo nafuatilia majina ya hawa wahudumu WA SGR na mishahara Yao ni sh. ngapi,
 
Kabisa hasa wale wabunge wa viti maalumu , halafu karibu zote ni pisi kali sijui kwanini asee🤔
Bunge liwe na mbunge mmoja kila mkoa, hao viti maalumu ulikuwa ni mkakati wao wa kusogeza viburudisho vyao karibu..!! 😹
 
Bunge liwe na mbunge mmoja kila mkoa, hao viti maalumu ulikuwa ni mkakati wao wa kusogeza viburudisho vyao karibu..!! 😹
Kila jimbo , na zile pisi za viti maalumu zimenyooka kichizi kumbe zipo kimkakati ? Aseeee
 
Viti maalum wanaanziaga hapa
 

Attachments

  • IMG-20250128-WA0054.jpg
    IMG-20250128-WA0054.jpg
    142.5 KB · Views: 1
Uliwahi kwenda China ukapanda SGR kutoka Beijing kwenda Gouzhuoh zaidi ya Kms 3000?
Kinachofanyika Tanzania SGR ni uhujumu uchumi na musukuma Yuko dawa 100%
Ndugu Sio kitu kinaigwa kama kilivyo!

Mabasi yetu ya mikoani hayakuwa a wahudumu, wahudumu wameanza miaka miwili iliyopita! Sasa hivi ni lazima kwa nini?

Nyie mnatumiwa na wenye mabasi ili kuua SGR. Ikishaanza kuwa chafu haina uangalizi, mtaikimbia itajiwndesja kwa hasara!

Ndege Zina wahudumu wangapi?

Kwa nini tusindoe wahudumu kwenye ndege?

Umeshawahi panda first class u second class ya international wewe msukuma? I bet not!
Kila seat ina dedicated hostess!

Hizo ni necessary running cost, toeni ushamba wenu hapa!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Anataka wahudumu wenye nguo za nongo na maneno machafu kama makonda wa daladala. Lakini msimshangae kwani anaendelea kuienzi au kuhimiza Ile sera yao ya kutaka watu waishi kama mashetani.
 
Yuko sawa. Sema kuna wachangiaji humu wanakurupuka kama Kasongo. Amesema liwepo behewa la chakula anayehitaji aende akale siyo awepo mtu wa kupita kuuliza watu kama wanataka kula. Misuse of public funds.
Una kichaa wewe Yani ulipe express train Kwa 120,000 halafu uende kula behewa la 12 kutoka behewa la 3 ambalo umekaa
 
Wewe ndiye una mawazo ya kijima. Umewahi walau kusafiri nje ya Tanzania? Sehemu nyingi sana wameshaondoa zile huduma za kutumia watu na wameweka self service. Treni zinakuwa na automatic machines na unanunua chochote unachotaka. Kwa sababu sisi bado tuko nyuma, ingekuwa vizuri wakaweka mabehewa ambayo watu wanakwenda kununua wenyewe. Kitu kama usafi wa vyoo watu wawili wanatosha kufanya shughuli au wanaocheki tiketi. Bila kubana matumizi treni zitakufa.
Yani unataka mtanzania umuwekee self service.


Hiyo train yenyewe Kila muda Kuna matangazo watu waiharibu vitu. Unataka ukute Kila kitu kimeharibika.


Hiyo mifano ya nje mkiwa mnaitoa muwe mnaangalia na raia wenu level ya uelewa wao ikoje.
 
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma amesema haina haja ya kuweka wahudumu wanaotoa huduma za ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) ili kuepuka shirika kupata hasara kwakuwa ndio kwanza mradi huo umeaanza hivyo haina haja ya kuweka gharama
Kitu niliacha kusikiliza au kutazama ni bunge halina mvuto,bunge lilikuwa Lile la wapinzani,lkn sas hv ni hatari Sana hio muda Bora nikasake hata mkate
 
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma amesema haina haja ya kuweka wahudumu wanaotoa huduma za ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) ili kuepuka shirika kupata hasara kwakuwa ndio kwanza mradi huo umeaanza hivyo haina haja ya kuweka gharama kubwa za uendeshaji.

"Hakuna haja ya kuwa na wahudumu wanaopita kuuliza abiria kama wanakunywa chai au kahawa. Treni inapaswa kuwa na behewa rasmi la chakula, kama ilivyo kwenye huduma za kimataifa, ambapo abiria ana uhuru wa kwenda kununua chakula au kinywaji bila kusubiri kuulizwa."

Mbunge Musukuma ameyasema hayo leo Februari 03, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia hoja ya Kamati za Kudumu za Bunge za Miundombinu na Nishati na Madini

Msukuma asiwe na wasiwasi, wale wahudumu wanajitolea bure, naambiwa wapo field, eti kwao wanajilipa kwa kubadilishana namba na abiria!!

Nimepita na mmoja tayari.
 
Ana magari mengi sana huyu, amepata fedha kupitia hoja zake hizi hizi za kuchekesha. KING MUSUKUMA. MWANZA~SHY~NZEGA~TABORA kila siku.
 
Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma amesema haina haja ya kuweka wahudumu wanaotoa huduma za ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) ili kuepuka shirika kupata hasara kwakuwa ndio kwanza mradi huo umeaanza hivyo haina haja ya kuweka gharama kubwa za uendeshaji.

"Hakuna haja ya kuwa na wahudumu wanaopita kuuliza abiria kama wanakunywa chai au kahawa. Treni inapaswa kuwa na behewa rasmi la chakula, kama ilivyo kwenye huduma za kimataifa, ambapo abiria ana uhuru wa kwenda kununua chakula au kinywaji bila kusubiri kuulizwa."

Mbunge Musukuma ameyasema hayo leo Februari 03, 2025 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia hoja ya Kamati za Kudumu za Bunge za Miundombinu na Nishati na Madini

Business oriented minds
 
Back
Top Bottom